Makonda: Ninawajua wanaowalipa vijana kuwatukana viongozi mitandaoni, wakiendelea nitawataja

Makonda: Ninawajua wanaowalipa vijana kuwatukana viongozi mitandaoni, wakiendelea nitawataja

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mapokezi yake Jijini Dodoma amesema anawafahamu wanaowalipa vijana ili wawatukane viongozi mitandaoni wakiwemo viongozi wa CCM, Mwenyekiti, Rais Samia Suluhu, Makamu Mwenyekiti Bara, Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti Zbar, Dkt Hussein Mwinyi na Katibu Mkuu Daniel Chongolo

View attachment 2800205
Kishindo cha Daudi...
 
Cheo alichopewa ni mzigo mzito, huyu binadamu hawezi propaganda bali utumiaji wa nguvu pasi akili.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mapokezi yake Jijini Dodoma amesema anawafahamu wanaowalipa vijana ili wawatukane viongozi mitandaoni wakiwemo viongozi wa CCM, Mwenyekiti, Rais Samia Suluhu, Makamu Mwenyekiti Bara, Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti Zbar, Dkt Hussein Mwinyi na Katibu Mkuu Daniel Chongolo

View attachment 2800205
hapo alipomtaja sita najua kutakuwa na maneno mengi. kumbe sita alimlea?
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa ccm ndugu Paul Makonda amewaonya wanaolipa watu watukane matusi mitandaoni kuwa anawajua na atawataja kwa majina yao kwani haogopi kitu.
Makonda amebainisha kuwa kama aliweza kuwataja wauza madawa ya kulevya wakubwa akina Mbowe ,Gwajima na wengineo hatasita kama wakiendelea na tabia yao hiyo chafu, hivyo amewataka waache mara moja.



View: https://youtu.be/aJxmfFfSuG4?si=kD9aKyhW2VQqRnyJ
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa ccm ndugu Paul Makonda amewaonya wanaolipa watu watukane matusi mitandaoni kuwa anawajua na atawataja kwa majina yao kwani haogopi kitu.

Bado hajakua huyu...hasara kwa aliyemwamini na kumrudisha
 
Tulidhani Bashite kwisheni kumbe alikuwa natungiwa sheria ili aje nazo kijiweni. BASHITE KARIBU TENA JF.
 
Sawasawa..... Mi ninachojua unapopewa second chance unatakiwa uitumie vizuri na kwa makini
Rejea, Mashitaka yaliyoletwa(shutuma) dhidi ya Nguli wa Filosofia Socrates.

Utaona kuna baadhi ya mambo yanayofanana kati ya Meletus na Makonda.

Meletus alikuwa ndio mwendesha mashitaka wa Athene, ndie aliye mshitaki Sokreti.

Makonda ndie Mwendesha mashitaka wa CCM, if I may, in this Context.

Wote ni Vijana na wote walikuwa wakilinda masilahi ya vigogo.

Fuatilia link hii
Socrates alivyopatiwa Second Chance tunajua alichagua nini. CCM itachagua inayochagua.
 
Back
Top Bottom