Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Mkuu Andrea unakumbuka swali langu. .wewe ni mtoto wa nyerere the only and.1
 

Kwanini akutane na wafanyabiashara awaakikishie anakubaliana na uchumi wa kisasa. Watanzania mmekuwa washabiki wa ubepari bilakujua faida zake wakati wamarekani mabepari waliopitiliza washaanza kuona ubaya wa ubepari
 
Andrew Nyerere

Kaka asante kwa kujua kweli ukiujua ukweli nayo kweli itakuweka huru Ndugu Andrew Nyerere kikombe hichi kikuepuke manake hata siku ya mwisho kila mtu atahukumiwa sawa sawa na matendo yake , ndani ya ccm hata awekwe malaika hawezi kuisimia tena Misingi ya Mwl Nyerere kutokana watu waliopo humo karibu woote ni mafisadi na Mungu hapendi,

Hakika nakwambia jitenge na kundi la wanyanganyi na walanguzi wanaotesa wajane, yatima, wadhulumati , wafitini, wanaodhulumu haki za wenzao wakijikweza hakika ipo siku watashushwa,

Huyu Mungu tunaomtumaini ni wa wote sio wa ccm na akiamua atafanya na kuibadilisha mioyo ya watanzania iliyokuwa migumu na kuweza kufanya mabadiliko makubwa kama yale Daud na Goliati waambie ukweli japo hawautaki utabaki kuwa huru siku zote.
 
Last edited by a moderator:

Kwa kauli na vitendo vyoote vya watoto wa viongozi wastaafu,ndio viwe point ya kwanza ya kuwatoa ktk hata kwenye foreni ya kusubiri kupigiwa kura.
 

mkuu zero point zako zinaekeweka ,lakin umeshindwa kutuekeza ,who among the aspirants anafaa,especially ndani ya ccm.
men personally kwa wana ccm wote walio tangaza nia namuona at least yeye kidogo,bado nasubiri na wengine so far he is the man to beat .
so ebu tupe mwangaza kidogo ,apart from makongoro who else mr zero.
 
Nasema hivi

Ikulu siyo maabara...! We need someone who is able to live in meritocracy sphere, pragmatism, and zero corruption sphere. Only few, their lives are compatible with these sphere!
 
Andrew Nyerere

Mhe. Makongoro Nyerere ameweza kutamka maneno magumu yanayohusu mustakabali wa nchi yetu. Mfano kukemea ufisadi na rushwa. Amefanya hivi akiwa ndani ya chama. More credits to him.

Huyu atarudisha utaifa wetu na heshima ya Jeshi, Polisi, Usalama na Katiba ya Jaji WARIOBA.

Big up brother Makongoro.

Queen Esther
 
Last edited by a moderator:

Don't exeggerate mkuu (hapo kwa red), usilete za samaki mmoja akioza wote wameonza - not realistic, not practical, and not fair

Watz tulio wengi tunachukia ufisadi na rushwa, lakini usituaminishe eti kila aliyeoko ccm anapaswa kulaumiwa kwa ufisadi na rushwa. For your information mambo ya ufisadi na rushwa ni ya watu wachache, often powerful people. If you are not powerful by virtual of position you hand up doing nothing, if not mere words kama una uthubutu. Bora Makongoro anauthubutu wa kukemea mafisadi na wala rushwa.

Mapungufu yapo kila chama, hata CUF, Chadema, NCCR na wengine wana mapungufu yao na unafiki vilevile. Chadema walivyokuwa wanapinga posho kinafiki machoni mwa wananchi huku wanaendelea kuzipokea. Mbowe alivyokataaga gari la serikali kinafiki huku analitumia, walivyoweka ndg zao na mahawala zao viti maalum. Mifano iko mingi, lakini hatuwezi ku-generalize eti ukawa wote hawafai kwa sababu ya madudu ya hao wachache ndani ya ukawa. Tukifanya hivyo hatuwatendei haki wengine, so let us be honest and realistic.

BTW sishangai kusikia exeggerations kama hizi kwa Makongoro kwani tunajua wazi jamaa ni threat kwa ukawa.

cc DSN, Andrew Nyerere, baro, Edson, Ndalama, lancanshire, Ndallo, makorere, kwamtoro
 
Last edited by a moderator:

Hana ubavu huo kuku kuku tu jogoo jina.
 
Tunahitaji kumchambuwa kwa kina huyu Makongoro.
 

Nachoweza kusema, Mimi ni mwana CCM mzalendo , nirudi nyuma kidogo kukumbushia kauli ya Mkiti wa CCM taifa aliyoitoa songea siku ya maadhimisho ,nanukuu " kuna watu tutawashawishi , wachukue fomu" kauli hii ilichukuliwa kusiasa lakini ilikuwa nzito sana , kwa taarifa za ndani makongoro nyerere ndiye chaguo la watu wa mfumo kwa sababu kuu zifuatazo
1 ndiye candidate atakaemaliza makundi ndani ya Ccm
2 ndiye candidates mwenye kuweza kurudusha heshima ya CCM na taifa
3 ndiye candidates msafi na asiye tiliwa shaka kwa uadilifu wake ,rejea mabilioni ya Gaddafi ambayo kupitia familia yake ya baba wa taifa ilizikataa kuzipokea na kusema ipewe serikali ijenge shule ,hospital n.k , fedha ambazo ziliibiwa na mgombea flani anaetangaza nia tarehe 6/7 kwa kumuua balozi wa libya

4 ndiye candidates pekee mwenye uthubutu wa kupambana na lowasa kwa vitendo na lowasa kukosa la kumfanya , kwani lowasa kama kinara wa mtandao wa mafisadi mtu pekee anayemuogopa ni makongoro nyerere

5 ndiye candidates , anaekubalika nje ya Tanzania na kupendwa na nchi nyingi ambazo zilitaka kujitolea kumsaidia msaada wa pesa lakini alikataa na kusema wazalendo wa Tanzania ndio wataniweka madarakani( wananchi) na sio pesa , nchi hizo n kama china , USA ,Zimbabwe ,Uganda ,SA n.k


Hivyo , ili CCM ibaki madarakani na kurudisha heshima huko duniani na kuleta maendeleo ya haraka turufu iko kwa Makongoro Nyerere
 
Last edited by a moderator:

Exactly mkuu
 
hawafai wote,awe mtoto wa nyerere,awe mtoto wa karume,awe mtoto wa mwinyi,awe mtoto wa mkapa,awe mtoto wa kikwete,hawatufai kabisa kwa hapa tulipofikia tuseme imetosha.

pwenti!!!
 
Baro ongezea hapo :-

6. Ndiye candidate atakayerudisha Katiba ya WARIOBA
7. Ndiye candidate atakayeweza kukemea rushwa na ufisadi bila kumumunya maneno
8. Ndiye candidate atakayeleta heshima kwenye chama, mahakama, polisi, magereza, jeshi, usalama n.k kuna makanjanja wengi wameibuka kwenye hizi nyanja muhimu.
9. Anaweza kurudisha matumaini kwa wanyonge maana wamepoteza matumaini
10....
11....

Queen Esther

[QUOTE=baro;
 
akutuna na sisi tutakaopiga kura masuguri atamsaidia nini?

Mkuu kwani mile kipengele kwamba!: tume ikimtangaza rahisi hakuna mamlaka ya kuhoji, imesha ondolewa??:sad:
 

Wacha kutudanganya hapa,na inaonekana unaongea ki shabiki zaidi kuliko kujua nini kinaendelea ndani ya ccm,kwa kuanzia tu je unaweza sababu kubwa iliyompelekea Ally Karume kutoka Zanzibar,atangaze Jana kuingia kwenye kinyang'anyiro cha urais wa muungano na siyo visiwani? Kama hujui unachokiongelea nyamaza Mkuu.
 
Binafsi sijui wasifu wa huyu jamaa hasa (strengths and weaknesses) ukiacha ile ya mtoto wa simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…