Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
 
Kuna Butwaa, na ilipofikia anaona bora liende tu, mda uishe. Ni kama mtu aliengia kwenye mtego na kamba zime mkamata ile kisawa sawa
Ukimtazama sura yake imeanza kuzeeka ghafla bila mpangilio laana ya kudhulumu haki ya mwingine kilaghai ni mbaya ni sawa na kurusha jiwe hewani ukidhani litapotelea huko, hamadi linakugonga kichwani kwa kasi ya nguvu ya mvutano na uzito wake bila kuepushwa na kinga uliyojiwekea.
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
Ongeza kuwakumbatia walamba asali au mafisadi kutoka mitaa ya msoga.hawa lazima wamuangushe kama sasa hivi Kwa sababu wanarudisha hasara waliyopata kipindi kile Kwa kuwanyonya watanzania Sana kupitia makampuni Yao.
 
Why suala la umeme alaumiwe Mh Rais? Msaada tafadhali. Kama mambo ndivyo yanaenda hivyo basi kumhujumu Rais kumerahisishwa sana. Umeme ukame una nafasi na kule kusema mitambo ilizalisha umeme ikimuhofia mtu flani lakini haikuwahi kukarabatiwa inavyo takikana kwa miaka 5. Matokeo yake ndio haya sasa umeme umekuwa ni wa mgao wakati mitambo inafanyiwa ukarabati stahiki na kwa wakati.

Walio muumiza Mh Rais SSH na wanoo na watakao endelea ni wale waliomshauri kwamba anaweza akajitenga na Utawala awamu ya 5 wa JPM wakati yeye alikuwa Makamu wake. Kwenye kampeni wakipiga na baadaye kuongoza kwa kushirikishana.

Kimsingi mambo yote mazuri ya JPM yamebaki kuwa ya JPM wakati kiuhalisia Mh Rais SSH ana shares hapo. Na hizi shares zingekuwa mtaji mzuri mno kwake wa kisiasa kuliko kutafuta wapambe njaa kali wanao mvisha vilemba vya ukoka kulinda maslahi yao wakati kiuhalisia huku mitaani mambo sivyo yalivyo.
 
Sikia mkuu!...

Ni kwamba Samia hana uwezo wowote kiuongozi, hii inayotawala sasa hivi ni ccm ya kikwete.

Hao mawaziri wa Magufuli unaosema Samia amewarithi hakuna hata mmoja wa kumtingisha maana wenye nguvu wote kama kina Lukuvi aliwatoa akabaki na watu dhaifu tu kama kina Doroth Gwjima na kia Bashungwa.
 
Why suala la umeme alaumiwe Mh Rais? Msaada tafadhali. Kama mambo ndivyo yanaenda hivyo basi kumhujumu Rais kumerahisishwa sana. Umeme ukame una nafasi na kule kusema mitambo ilizalisha umeme ikimuhofia mtu flani lakini haikuwahi kukarabatiwa inavyo takikana kwa miaka 5. Matokeo yake ndio haya sasa umeme umekuwa ni wa mgao wakati mitambo inafanyiwa ukarabati stahiki na kwa wakati.

Walio muumiza Mh Rais SSH na wanoo na watakao endelea ni wale waliomshauri kwamba anaweza akajitenga na Utawala awamu ya 5 wa JPM wakati yeye alikuwa Makamu wake. Kwenye kampeni wakipiga na baadaye kuongoza kwa kushirikishana.

Kimsingi mambo yote mazuri ya JPM yamebaki kuwa ya JPM wakati kiuhalisia Mh Rais SSH ana shares hapo. Na hizi shares zingekuwa mtaji mzuri mno kwake wa kisiasa kuliko kutafuta wapambe njaa kali wanao mvisha vilemba vya ukoka kulinda maslahi yao wakati kiuhalisia huku mitaani mambo sivyo yalivyo.

..usipate shida Ssh kulaumiwa kwasababu ya umeme kukatika.

..umeme utakapokuwa wa uhakika Ssh atapongezwa kwamba yeye ndio amefanikisha.
 
..usipate shida Ssh kulaumiwa kwasababu ya umeme kukatika.

..umeme utakapokuwa wa uhakika Ssh atapongezwa kwamba yeye ndio amefanikisha.

Mh Rais anaendelea kujenga SGR sifa zinaenda kwa Hayati Rais JPM unaona hiyo ni haki na sawa? Wakamtafutia Royal tour anze upya. Nani ana uhakika huo kwamba umeme ukitengamaa sifa zitaachwa ziwe za Mh Rais kama walizuia za awamu ya5 zisimnufaishe inavyo stahiki.

Ikulu chamwino imeisha Raia huku kitaa wanasema JPM asingekufa angeifikisha hii nchi mbali sana katika suala la maendeleo.
 
Mh Rais anaendelea kujenga SGR sifa zinaenda kwa Hayati Rais JPM unaona hiyo ni haki na sawa? Wakamtafutia Royal tour anze upya. Nani ana uhakika huo kwamba umeme ukitengamaa sifa zitaachwa ziwe za Mh Rais kama walizuia za awamu ya5 zisimnufaishe inavyo stahiki.

..kwa mfumo wetu, Raisi ndio kila kitu. Ni kama mungu-mtu.

..kwa hiyo Sgr ikikamilika atakayepongezwa ni Ssh kwasababu tuna utamaduni wa kumsifia, kumkweza, na kumtukuza, Raisi wetu.

..Mara nyingi wapambe wa Rais aliyeko madarakani hufanya juhudi kubwa kuonyesha kwamba mtangulizi alikuwa si lolote si chochote. Hali hiyo nimeiona hata nje ya Tz.
 
..kwa mfumo wetu, Raisi ndio kila kitu. Ni kama mungu-mtu.

..kwa hiyo Sgr ikikamilika atakayepongezwa ni Ssh kwasababu tuna utamaduni wa kumsifia, kumkweza, na kumtukuza, Raisi wetu.

..Mara nyingi wapambe wa Rais aliyeko madarakani hufanya juhudi kubwa kuonyesha kwamba mtangulizi alikuwa si lolote si chochote. Hali hiyo nimeiona hata nje ya Tz.

Washauri hao wapambe watathimini upya hiyo strategy maana kwa JPM imekataa. Inamgharimu Mh Rais SSH kuliko kumnufaisha.
 
Sikia mkuu!...

Ni kwamba Samia hana uwezo wowote kiuongozi, hii inayotawala sasa hivi ni ccm ya kikwete.

Hao mawaziri wa Magufuli unaosema Samia amewarithi hakuna hata mmoja wa kumtingisha maana wenye nguvu wote kama kina Lukuvi aliwatoa akabaki na watu dhaifu tu kama kina Doroth Gwjima na kia Bashungwa.
Mara nyingi sana nimekuwa nikikupinga lakini kwenye hili nakuunganmkono hasa suala la Mh Lukuvi.
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
we ni mhogo wa kiangazi mkuu
 
Washauri hao wapambe watathimini upya hiyo strategy maana kwa JPM imekataa. Inamgharimu Mh Rais SSH kuliko kumnufaisha.

Strategy ni hii hapa.

1. Hakuna Katiba Mpya wala Tume Huru ya Uchaguzi.

2. Uchaguzi wa 2025 CCM itashindana na vyama vya vibaraka. Vyama makini vitasusia.

3. Uchaguzi mkuu utadorora lakini utakuwa wa amani.

4. SSH na CCM watatangazwa washindi ktk matokeo ambayo yamepikwa kitaalamu kuliko ilivyofanyika 2020.


5. Shida za wananchi zitatatuliwa kutegemea kama CCM watapenda au la.

6. Wanaompenda Jpm wataendelea kumkumbuka na kumlilia lakini hakuna kitakachobadilika.
 
Strategy ni hii hapa.

1. Hakuna Katiba Mpya wala Tume Huru ya Uchaguzi.

2. Uchaguzi wa 2025 CCM itashindana na vyama vya vibaraka. Vyama makini vitasusia.

3. Uchaguzi mkuu utadorora lakini utakuwa wa amani.

4. SSH na CCM watatangazwa washindi ktk matokeo ambayo yamepikwa kitaalamu kuliko ilivyofanyika 2020.


5. Shida za wananchi zitatatuliwa kutegemea kama CCM watapenda au la.

6. Wanaompenda Jpm wataendelea kumkumbuka na kumlilia lakini hakuna kitakachobadilika.

Mipango hii yote inategemea wanadamu kuifanya.
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P
 
Back
Top Bottom