Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
- Thread starter
- #41
Hahahaa nimekuelewa!Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity
P
Nape, January na Kinana ndio walikuwa mafundi mitambo wakuu wa 2015, waliweza kuchezea mpaka VAR ili goli la mkono lifungwe vizuri ili Edo asiende ikulu eeh!
Na hao jamaa inaonekana waliweza pia kumtingisha Magu vyema kwa ile style ya kuvujisha nyeti huku wakijificha kwenye kuvuli fake cha Pdidy wa kule Twitter.
Safari ijayo hawambebi tena mtu, wanajibeba wenyewe, Samia ajipange.
Samia alikuwa na namna bora na tofauti ya kuwalipa fadhila kuliko kuwarejesha haraka haraka kwenye post zile zile za kisiasa. Samia ameziba tundu kwa kutoboa tundu lingine. Kisiasa naona Samia alikosea.