Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Mipango hii yote inategemea wanadamu kuifanya.

..najua umemaanisha kwamba Ssh anaweza kufa.

..Ccm hawataki Katiba mpya wala Tume Huru na haijalishi Mwenyekiti ni Ssh, Philip Mpango, Hussein Mwinyi, Kassim Majaliwa, etc.
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
6. Kumpa mtu mwingine amshikie remote control huku yeye akiwa anatazama tamthiliya
 
Dhaifu. kutokuwa na kauli ikaingia maskioni mwa watendaji.
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
Naunga mkono hoja.

Kitendo cha kutoruhusu mjadala na hatua za kupata katiba mpya itamgharimu sana na atakuja kumbuka shuka kumekucha
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
Huyu mama yenu alipokwamia ni kuwarudisha kazini kinana na makamba sana sana kinana ni mafia saana yule mzee
 
Sikia mkuu!...

Ni kwamba Samia hana uwezo wowote kiuongozi, hii inayotawala sasa hivi ni ccm ya kikwete.

Hao mawaziri wa Magufuli unaosema Samia amewarithi hakuna hata mmoja wa kumtingisha maana wenye nguvu wote kama kina Lukuvi aliwatoa akabaki na watu dhaifu tu kama kina Doroth Gwjima na kia Bashungwa.
Lukuvi alikuwa na nguvu gani? Acha vichekesho
 
. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.
Kesi hii ilianza July 2020.
 
Hoja zako zimetulia. Ila tusaidie kama mh yeye na jpm ni kitu kimoja mbona wateuliwa wa jpma walitemwa ghafla within a week ukianza na yule wa DCEA.hawa wakina bashiru hata mwigulu jpm alimtoa na kumbuka raisi ni tasisi anapokea taarifa nyingi. Huko ujenzi akachomoa watu waliojenga miradi, akaweka watu wake. Na raisi anateua watu wengi kiasi kwamba sio wote atakuwa amewaelewa nia zao wengine ni wezi wasomi na masuti yao.

Watu ambao jpm aliwatoa wengine kwa viashiria vya ufisadi yeye taratibu akawarudisha akina Mchechu, yule deputy wa mchechu sasa kapewa mwenyekiti wa bodi ya maji somebody mndolwa. Mafuru, akina sofia simba, hawa ghasia na wengineo wengi.

Kwa hayo yaliyoendelea mpaka ile dhana potofu ya msoga kashika usukani ikatamalaki uraiani.

Siku tukipata kiongozi atakayejua tanzania kuna watu milioni 62 na haifai wala haipendezi kurudia kuteua watu wale wale na ndio maana wenzetu wana mikataba mifupi ya ajira. Ili mtu asizoee kazi mpaka akaugua bado yuko ofisi hiyohiyo mawazo yaleyale.
 
Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P
Kuna muda na wewe huwa unapenda kutetea ujinga aisee . Umeyaona ya Sasa wanavyo fanya ujinga Kuna mambo mengine walikuwa wanafanya chini kwani chini na Mzee alikuwa na taarifa zao rejea tukio la kumsengenya magufuli na tukio ambalo ni muendelezo wa mengi waliyofanya jamaa alikuwa anawachora tu kwahiyo usiseme hawakuwa na makosa

Tazama utendaji wao Sasa hiv
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
Hata Mtafute makorokoro, huyu bibi hatoshi kwenye hicho kiti full stop.
 
Upo vizuri ndugu..
Ungeongeza asivyoweza bana matumizi..
Kuwa tegemezi kwa ushauri kwa mzee wa msoga..
Apunguze mipasho na rusha roho, yeye rais na siyo kina kopa!
 
Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P

Ni sifa zipi za kiongozi kutumbuliwa ama ni rais yy anavyoamua kufanya maamuzi?katiba inassemaje khs hilo?cc-P
 
..najua umemaanisha kwamba Ssh anaweza kufa.

..Ccm hawataki Katiba mpya wala Tume Huru na haijalishi Mwenyekiti ni Ssh, Philip Mpango, Hussein Mwinyi, Kassim Majaliwa, etc.

Nilimaanisha amuulize Odinga sio atakufa hata kidogo..
 
Kwenye siasa kila maamuzi yanazaa matokeo na matokeo yanaweza kuwa chanya au hasi. Hapa chini nitaweka baadhi ya matukio ya kimaamuzi yaliyofanyika kimakosa na Rais Samia mwanzoni mwa utawala wake na yanamgharimu vibaya kwa sasa.

1. Kurithi baraza la mawaziri la Magufuli. Mbali na kuwa lilikuwa ni kosa la kikatiba pia lilikuwa ni kosa la kisiasa. Ule ulikuwa ni udhaifu mkubwa wa Samia kisiasa. Wanasiasa wale wale, leo ndio wanatumika kumzunguka na kunyemelea kiti chake.

2. Kumtengenezea Mbowe kesi ya ugaidi ili kuzima mjadala wa Katiba Mpya. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa la kisiasa. Pasipo sababu ya msingi Samia aliamua kujitengenezea uadui na wapinzani wa CCM. Japokuwa Samia alikuja kuifuta ile kesi baadaye sana lakini itachukua muda mrefu sana kuirudisha hiyo imani.

3. Kuanza mapema wazi wazi harakati za urais 2025 kwa mwamvuli wa kijinsia. Siasa za kuukumbatia uanamke ni sumu inayochukiwa vibaya sana na jamii yenye mtizamo wa mfumo dume na wanawake wanaoamini mwanamke hafai kuwaongoza au kuwatawala. Bila kujua, ghafla wanaume na wanawake wengi wanamchukia rais Samia kwa mtizamo huo.

4. Kuwarudisha haraka serikalini na ndani ya CCM watu waliofukuzwa (kwa haki au chuki) na Magufuli au wanasiasa waandamizi waliokuwepo katika serikali au CCM kipindi cha Kikwete. Watu kama Kinana, January Makamba, Nape etc. Watu wengi wenye mtizamo chanya kuhusu Magufuli wanamuoa Samia kama mtu aliyekuja kuzika yote mema ya Magufuli ili kuyafufua yote mabaya ya Kikwete.

5. Kuwapooza au kuwakumbatia baadhi ya watu wasioweza kufaa kabisa katika utawala wake. Kundi kama la Covid 19, Sukuma gang (Bashiru, Pole Pole) lilipaswa liwe ni hadithi iliyosahaulika ndani ya wiki mbili tu toka Samia aingie madarakani. Uwepo wa hao watu bungeni, serikalini au ndani ya CCM ni kujiharibia kisiasa.

Bado Rais Samia hajachelewa sana, anaweza kurekebisha baadhi ya mambo sasa na baadhi ya mambo kwenda sawia kwa sehemu.
Wapi ilipomgharimu ? Au Ni shida zako zinakusumbua?
 
Back
Top Bottom