Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Anajiandaa kuchukua mikoba ya Bashiru [emoji16]
Mwambie dadako hapo kwa shemeji yako unapokaa akupikia chai unywe kwanza ndio uje kubishana na sisi wakubwa zako!
 
Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P
Ndugu yangu Pascal naomba nikupe ushauri kidogo.Nchi yetu ni ya watu milion zaid ya sitini.Kwa maana hiyo Ina vipaji vingi ,Ina watu wenye akili nyingi sana.Tumeshuhudia huko mashuleni ,vijana wenye uwezo mkubwa wa akili nyingi.Lakin katika uongoz wa wizara na idara za serikali tumengangania kuwa na watoto wa wazee waliopita kwenye uongozi.Na tena wazee walioshindwa kabisa.Hatuwezi kuendelea Kama tutaongozwa na akili ndogo ndogo.Tutapewa ratiba za umeme na Maji kukatika kila kukicha.Asante.
 
Akubali tu hii show haiwezi katu, walimdanganya watamsaidia wakati wao wenyewe mbele ya jamii hawakubaliki tena. Huu wote ni ubatiri tu na hawavumiliki tena
 
Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P
Una uzoefu wa mambo mengi sana na hata kiuandishi ila kwa hili umeshindwa kusoma nyuso za watanzania walio wengi. Hata kama una upande wa 2025 kama ambavyo unasema, nakushauri waangalie tena watanzania usoni kwa sasa alafu waonee huruma.

Waandishi mnahitaji sana kuisoma jamii ili kuwasaidia watawala na si kuwasoma watawala ili kuwasaidia wananchi
 
namba 4. kiukweli tangu alipowarudisha hawa watu namuona kama msaliti mnafiki namba moja Duniani.

lakini kuna mtu akaniambia ndivyo walivyo nisishangae sana
 
Mkuu Zanzibar-ASP, thanks for this!, very objective na hoja zote ni kweli kabisa, ila hoja ya kuwarejesha Nape na January ni baraka kwa Samia kwasababu kiukweli kabisa, hawakutendewa haki na hawakuwa na kosa lolote la kustahili kutumbuliwa!. Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

P
mkuu sikubaliani na wewe kwa walichofanya walistahili adhabu hiyo ''boss is always right'' wao walikuwa wanataka kupindisha walikosea na ndio maana baadhi walitubu kwa kuomba msamaha.
 
Kinana, mwizi wa pembe za ndovu wa kimataifa, aliyekubuhu.
 
Ukimtazama sura yake imeanza kuzeeka ghafla bila mpangilio laana ya kudhulumu haki ya mwingine kilaghai ni mbaya ni sawa na kurusha jiwe hewani ukidhani litapotelea huko, hamadi linakugonga kichwani kwa kasi ya nguvu ya mvutano na uzito wake bila kuepushwa na kinga uliyojiwekea.
Insakitisha sana, dhuluma imekisiri kupita maelezo
 
Back
Top Bottom