Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

Hahahaa nimekuelewa!
Nape, January na Kinana ndio walikuwa mafundi mitambo wakuu wa 2015, waliweza kuchezea mpaka VAR ili goli la mkono lifungwe vizuri ili Edo asiende ikulu eeh!
Na hao jamaa inaonekana waliweza pia kumtingisha Magu vyema kwa ile style ya kuvujisha nyeti huku wakijificha kwenye kuvuli fake cha Pdidy wa kule Twitter.
Safari ijayo hawambebi tena mtu, wanajibeba wenyewe, Samia ajipange.

Samia alikuwa na namna bora na tofauti ya kuwalipa fadhila kuliko kuwarejesha haraka haraka kwenye post zile zile za kisiasa. Samia ameziba tundu kwa kutoboa tundu lingine. Kisiasa naona Samia alikosea.
 
Ikulu ya Chamwino ina uhusiano au mchango gani katika maendeleo ya nchi??
 
Unamaanisha jiwe alikuwa anateua watu dhaifu ambao wamerithiwa sasa?
Kwa nini alikuwa anafanya hivyo?!
 
Umewahi kufika jimboni kwake ukapaona palivyo choka na umaskini??
Ni Moja ya Viongozi ana heshima na nguvu kubwa kubwa nyanda za juu kusin. Mikoa ya Iringa, njombe,songea ,mbeya ,rukwa na katavi na Bado maeneo mengine unaanzaje kusema mtu huyo Hana nguvu
 
Umeandika yote ila namba tano bado hujaandika.
 
Mwambieni huyo mamaenu hii nguvu aitumie kuleta umeme, maji na kupunguza makali ya maisha kuliko huu utaahira wenu!

Kuwaondoa kina Bashiru na Polepole aliwaondoa labda useme awafukuze nchini sasa!

Unaweza kuwaondoa serikalini lakini huwezi kuwaondoa kwenye mioyo ya wale wanaoona wao wanao ukweli.

Kuuweka Utawala mpya wa kifisadi ndani ya CCM ndilo kosa kubwa linalomgharimu Samia wenu.
 
Ikulu ya Chamwino ina uhusiano au mchago gani katika maendeleo ya nchi??

Kukopea fedha ya pembejeo za kilimo inaweza tumiwa. Kumbe yale magari ya kuchimba visima yanachangia kwenye 350B za kilimo umwagiliaji kwa maana ya kuchimba na mabawa.
 
We maku, mitambo gani haikufanyiwa ukarabati? Ilizalishaje umeme?

Sababu ya kipumbavu kabisa hii. Huo ukarabati unafanywa mwaka mzima?

Na yale mabilioni ya kununua mfumo wakuuzia umeme mliyatoa wapi kama siyo mliyakuta mkayafuja?

Nchi mnailamba hadi imekauka halafu eti Magufuli alitumia mitambo bila kukarabati.

Ninyi, dhahama inakuja. Mnatufanya watanzania poyoyo. Mungu atatulipia 2025
 
Unamaanisha jiwe alikuwa anateua watu dhaifu ambao wamerithiwa sasa?
Kwa nini alikuwa anafanya hivyo?!
Mwambie dadako hapo kwa shemeji yako unapokaa akupikia chai unywe kwanza ndio uje kubishana na sisi wakubwa zako!
 
Umeandika yote ila namba tano bado hujaandika.
Jaribu kuwaza vyema na kutafakari. Kuna watu Samia bado anawalea ndani ya utawala wake, hawahitaji, hawana faida kwake, hakuwatengeneza yeye, wanachafua tu utawala wake, wanamuumiza tu akili nk. Kwanini hakuachana nao mapema tu, ili mambo mengine yaendelee?

Covid 19 wanamsaidia nini mama?
Bashiru anamsaidia nini mama?
Pole Pole anamsaidia nini mama?
 
Kumfanya kingai kuwa kachero mkuu wa upelelezi wkt alishatoa boko kwenye kesi ya kubumba ya mbowe.

That was a grave mistake [emoji3061]
 

Imekuzaa.
 

Kwahiyo unasema wanaomlaumu SSH hawana uelewa wa mambo?
 
Kilichomtia doa ni maji na umeme
Hizo siasa zingine watajuana siasani humo umo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…