Makosa ya Hayati Magufuli hayasahihishiki

Sawa dada angu
 
Unaweza kusoma tena nilichokiandika. Kama utakielewa basi sawa. Ila kama hutakielewa basi sina namna nyingine ya kuandika.

Nikutakie jioni ya baraka!
Nimesoma na kuelewa na ndiyo maana nimekunukuu.

Mungu yu mwema kwa kila mtu.
 

Tunataka tujue mchango wako kwenye hii nchi kabla ya kujadili….. ushangae ulikutwa na cheti feki!?
au ulikua unaptisha mizigo bandarini bila kodi??

Au ulitumbuliwa!!
karibu
 
Nyerere alifanya makosa na mwenyewe anakiri kabisa kuwa alikosea.

Mwinyi alifanya makosa.

Mkapa alikosea.

Kikwete kakosea pia.

Wewe una makosa mengi tu ila kwa unafiki wako unayaona ya wengine zaidi kuliko hata yako.

Hulka ya binadamu ni kukosea.

Na huwa tunajifunza kutokana na makosa.

Sasa kama kuna makosa ya Magifuli yanakukera ni vyema tuliopo tukayatumia kama njia ya kuboresha utendaji serikalini kwa manufaa ya Taifa.

Ukiachana na Makosa yake ambayo lazima awe nayo kama binadamu, ana mazuri yake pia, ni jukumu letu sisi kuyaenzi.
 
@Allen Kilewella

Siku zote utambuwe kwamba wanasiasa ni kikundi kidogo sana cha watu katika jamii ya watanzania.

Ambacho kinajinufaisha na jasho la walalahoi bila chenyewe kutoa jasho.

Wakati wananchi wakitoa jasho lao,nyinyi wanasiasa mnadondosha mate,mkiyatamani matokeo ya hilo jasho lao.

Huwezi kutoka na kikundi kidogo kilichozowea uporaji kupitia vyeti feki,mishahara hewa, ubia wa wizi kimfumo na huu upumbavu mwingine unaluongea wewe humu.

Kwanza uelewe kwamba hatuwezi kukaa kila siku chadema mkitulisha habari za mauaji yasiyothibitika kufanywa na mnayemtuhumu.

Halafu ulipaswa kuelewa kwamba wananchi hawali sera za tuhuma za mauaji bali sera zenye kuwaletea unafuu wa maisha bora.

Habari yenu kukaa kila saa Saanane, Azori gwanda,sijui nini na nani hiyo haiwezi kuwapeleka Ikulu.

Watu walikufa kwa uhanga wa kisiasa tangu enzi za mababu zetu.
Pia uelewe kwamba hata hao wajerumani wanaoifadhili chadema kwa sasa,ndio waliwaua mashujaa wetu kina Mirambo,Mkwawa na Songea!

Lakini leo wameipakata chadema mapajani huku wakiwaambia Demokrasia.

Ni ujinga mtupu na ujuha uliopitiliza kama wewe Killewea na walevi wa ufisadi wenzako kuiona miradi hii ya SGR na bwawa la Nyerere ambayo ni ya kimkakati kama ni hasara kwa taifa.

Ila ukamuona huyo mama yenu anayekopa fedha kuhonga wananchi bila mikakati wala miradi endelevu na yenye tija kwa taifa.
Eti ni shujaa.

Chadema hamjitambuwi kikubwa mnachoweza ni kugawana vyeo na mahusiano ndani ya taasisi.

Ukibisha hilo nitakuwekea ushahidi humu.
 
Kumbe?

Ilikuwa halali yake kuuawa! Mtu tayari ni rais, ila wewe na mavi yako umekazana kuhoji phd yake kwanini usile chuma?

Wapumbavu kama hao ndio dawa yao hiyo japo inawezekana kifo chake ni kma kile cha wangwe tu
Nisalimie immortal na muuaji Magufuli
 
SGR Itakuwa na faida kiasi gani na kwa muda upi?
 
Bongo kuna watu wengi wenye ubungo mdogo sana wa kuelewa na kuchambua mambo mepesi sana. Inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…