Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..

Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Siku hizi tafiti zisizo na data zinaongezeka kwa kasi mno, tunaambiwa tu tafiti zinaonyesha bila kujua aliyetafiti ni nani, tafiti kafanyia wapi; na mbaya zaidi hakuna takwimu.
 
Kuna kua na nguvu

Na kuna kua na nguvu za kiume

Wee semea mazoezi yanaongeza Pumzi na Stamina.


Na nivema wanaume wafanye mazoez hasa ya kukimbia, mpira n.k

Mimi mazoez yangu ni kukimbia na mpira na Ukijirongea siku nikukute ndani kwangu ukiwa Uchi, utakua kama uyu[emoji116]
 
Sis usalama wa taifa umetusahau.
 
Lakini ungejua concept ya Testosterone Hormone walau ungeweza ku connect dots mkuu. This Hormone plays a vital role in male sexual characters accompanied by enough sleep and good blood flow mtu lazma awe imara.

Kulala vizuri lazma uchoke sana, kuchoka lazma uwe na enough physical activities.

Unless uwe na mapungufu ya kuzaliwa nayo ila kama uko physicaly fit. Basi utakuwa imara kitandani.
 
Kwani zinatakiwa nguvu sana eee
Hahahah ingekuwa inawezekana kuazimana jinsia ungeazima ya kiume uone mziki wake. Hasa ukiwa na kitambi ujue mashine lazma ilendemke af mwanamke anakwambia hunifikishi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahah ingekuwa inawezekana kuazimana jinsia ungeazima ya kiume uone mziki wake. Hasa ukiwa na kitambi ujue mashine lazma ilendemke af mwanamke anakwambia hunifikishi [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hamna sio nguvu ni akili tu
 
Wewe umenielewa Sana Sana. Stamina stamina satamina na uwezo wa kurudia mara kwa mara.
Uwezo wa kurudia mara kwa mara sio wote wenye nao, unaeza kuta mtu ana stamina ila akipiga tatu mwisho. Hawez endelea mzigo unakuwa umekata ila kuna wale utaskia dah....nimempiga goli 7 mtt Aisha yupo hoi ndani huko...Hili sina evidence nalo kama ni chai ama vitu ambavyo vipo kihalisia.
 
Subiria uote tambi mafuta yazibe mishipa ya damu then utagundua jambo flani [emoji16][emoji16][emoji16] we unahisi wanaobugia viagra hawana akili wale?.

Kuongeza stability lkn mkuu tofautisha nguvu na kuhimili
 

Chai za corona hixo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…