Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Yasio na nguvu za kiume ni yapi?
 
Nilichoelewa ni kuwa watu wajishughulishe na shughuli flani za kufanya mwili uwe active
Itawasaidia kudumu muda wa kutosha kitandani

Maana wote uilowataja ni watu wanaoshughulisha miili yao
 
Mtoa mada umechanganya sex na kupiga kabari!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya nguvu za kiume na nguvu za mwili.
Kuna watu wanabeba machuma wametanuka miili wanashinda gym lakini jogoo haliwiki tena wengine hata marinda hawana kabisa.
Kuna mke wa mjeshi jirani yetu alikuwa anachukuliwa na mshikaji tena muhuni tu wa maskani hana mazoezi wala hana pesa.
Usichokijua ni kwamba nguvu za kiume ni asili ya mtu alivyozaliwa na utimamu wa mwili wake.
 
Vipi kuhusu walimu wa gym,
Wapaka rangi za kucha
Bodaboda
Wabeba zege
 
Katika watu wanaoongoza kugongewa basi ni majeshi, wake zao wanagongwa ovyo mno mitaani
 

Tatizo linakuja kwa wanawake, ndio huwa hawatosheki hapo ndipo wanaume wengi wanapoanza kusumbuka akili
 
U
Hutokaa uamini pale wewe ni kuli umeenda kwenye mishe mishe zako za kila siku huku nyuma anaingia mpaka kucha rangi.
 
Mkeo akikutana na mywa kvant na value basi ujue huna chako
 
Acha uongo, makundi hayo hayawezi kamwe kuwa na upungufu wa nguvu za kiume.
 
Nilichoelewa ni kuwa watu wajishughulishe na shughuli flani za kufanya mwili uwe active
Itawasaidia kudumu muda wa kutosha kitandani

Maana wote uilowataja ni watu wanaoshughulisha miili yao
Haswaaa
 
Katika watu wanaoongoza kugongewa basi ni majeshi, wake zao wanagongwa ovyo mno mitaani
Wale wanalipiza kisasi kwa kuwa waume zao nao wanatembeza na sio kwamba hawatosheki
 
Yasio na nguvu za kiume ni yapi?
Wanaofanya shughuli za kukaa muda mrefu, watu wanaotumia computer muda mrefu, wasiopenda mazoezi, wanaopenda kulala muda mwingi nk
 
Hiyo namba 5.(pushaup) ina maana Jiwe yuko vyema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…