Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisipoteze muda.
Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni
1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.
2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.
3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk
4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.
5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.
6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
Vipi kuhusu walimu wa gym,
Wapaka rangi za kucha
Bodaboda
Wabeba zege
Nguvu za Kiume zinakuzwa sana kuliko uhalisia.
Ndio maana kutwa vijana wa dar mnababaika na kuhangaika kubugia michuzi na madudu ya ajabu ajabu! Mara sijui pweza?
Ngono ipo kwa ajili ya kuridhisha mwili na kuzaa! Ukishazaa na kuridhika INATOSHA.
Unataka upampu kama tembo? ili iweje?
Huu ni ugonjwa wa akili sasa! exaggerated imaginations and hallucinations!
TOSHEKAA!!!!!!!!
Hutokaa uamini pale wewe ni kuli umeenda kwenye mishe mishe zako za kila siku huku nyuma anaingia mpaka kucha rangi.Nisipoteze muda.
Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni
1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.
2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.
3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk
4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.
5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.
6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
Ukiona hatosheki basi achana nae!Tatizo linakuja kwa wanawake, ndio huwa hawatosheki hapo ndipo wanaume wengi wanapoanza kusumbuka akili
Acha uongo, makundi hayo hayawezi kamwe kuwa na upungufu wa nguvu za kiume.Basi buwana pale sokoni Buguruni wanaongoza kununua dawa za kurefusha na kuchelewa ni makuli ahh ahh, Babu muuza mchuzi wa Pweza wateja wake wengi na JAY-WEE, Nina jamaa yangu nielenda kununua dawa za mitishamba si nikakuta wachezji wa mpira wanunua dawa ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi?? dahh noma sana
Wanawake 75. Ukrasa wa pili wa uzi huu Kuna mchanganuoUliwahoji wanawake wangapi lini na wapi?
HaswaaaNilichoelewa ni kuwa watu wajishughulishe na shughuli flani za kufanya mwili uwe active
Itawasaidia kudumu muda wa kutosha kitandani
Maana wote uilowataja ni watu wanaoshughulisha miili yao
Wale wanalipiza kisasi kwa kuwa waume zao nao wanatembeza na sio kwamba hawatoshekiKatika watu wanaoongoza kugongewa basi ni majeshi, wake zao wanagongwa ovyo mno mitaani
Wabeba zege, walim wa Jim ni watu mazoez na hivyo miili ina stamina.Vipi kuhusu walimu wa gym,
Wapaka rangi za kucha
Bodaboda
Wabeba zege
Wanaofanya shughuli za kukaa muda mrefu, watu wanaotumia computer muda mrefu, wasiopenda mazoezi, wanaopenda kulala muda mwingi nkYasio na nguvu za kiume ni yapi?
Ndivo munavojidanganya hivo?Wale wanalipiza kisasi kwa kuwa waume zao nao wanatembeza na sio kwamba hawatosheki
Nimecheka kwa sauti..teja, kweli