Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Yasio na nguvu za kiume ni yapi?
 
Nilichoelewa ni kuwa watu wajishughulishe na shughuli flani za kufanya mwili uwe active
Itawasaidia kudumu muda wa kutosha kitandani

Maana wote uilowataja ni watu wanaoshughulisha miili yao
 
Mtoa mada umechanganya sex na kupiga kabari!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya nguvu za kiume na nguvu za mwili.
Kuna watu wanabeba machuma wametanuka miili wanashinda gym lakini jogoo haliwiki tena wengine hata marinda hawana kabisa.
Kuna mke wa mjeshi jirani yetu alikuwa anachukuliwa na mshikaji tena muhuni tu wa maskani hana mazoezi wala hana pesa.
Usichokijua ni kwamba nguvu za kiume ni asili ya mtu alivyozaliwa na utimamu wa mwili wake.
 
Vipi kuhusu walimu wa gym,
Wapaka rangi za kucha
Bodaboda
Wabeba zege
Nisipoteze muda.

Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
 
Katika watu wanaoongoza kugongewa basi ni majeshi, wake zao wanagongwa ovyo mno mitaani
 
Nguvu za Kiume zinakuzwa sana kuliko uhalisia.

Ndio maana kutwa vijana wa dar mnababaika na kuhangaika kubugia michuzi na madudu ya ajabu ajabu! Mara sijui pweza?

Ngono ipo kwa ajili ya kuridhisha mwili na kuzaa! Ukishazaa na kuridhika INATOSHA.

Unataka upampu kama tembo? ili iweje?

Huu ni ugonjwa wa akili sasa! exaggerated imaginations and hallucinations!

TOSHEKAA!!!!!!!!

Tatizo linakuja kwa wanawake, ndio huwa hawatosheki hapo ndipo wanaume wengi wanapoanza kusumbuka akili
 
U
Nisipoteze muda.

Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
Hutokaa uamini pale wewe ni kuli umeenda kwenye mishe mishe zako za kila siku huku nyuma anaingia mpaka kucha rangi.
 
Mkeo akikutana na mywa kvant na value basi ujue huna chako
 
Basi buwana pale sokoni Buguruni wanaongoza kununua dawa za kurefusha na kuchelewa ni makuli ahh ahh, Babu muuza mchuzi wa Pweza wateja wake wengi na JAY-WEE, Nina jamaa yangu nielenda kununua dawa za mitishamba si nikakuta wachezji wa mpira wanunua dawa ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi?? dahh noma sana
Acha uongo, makundi hayo hayawezi kamwe kuwa na upungufu wa nguvu za kiume.
 
Nilichoelewa ni kuwa watu wajishughulishe na shughuli flani za kufanya mwili uwe active
Itawasaidia kudumu muda wa kutosha kitandani

Maana wote uilowataja ni watu wanaoshughulisha miili yao
Haswaaa
 
Hiyo namba 5.(pushaup) ina maana Jiwe yuko vyema?
 
Back
Top Bottom