Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

TTCL yangu toka jana inaniandikia hivi, yani siweiz fanya chochote hata nikipiga huduma kwa wateja inaniambia nimevuka kiwango cha malipo ya simu.

Mwenye kujua tatizo nini anisaidie tafadhali.

Screenshot_20200125-205927.jpeg
 
Kwanza mimi niwapongeze Tigo kwa kuleta vifurushi vipya vya internet ambavyo hata hivyo bado haviko affordable in terms of gharama, japo vina wingi wa data. Kidogo wameongeza wingi wa data zao tofauti na wenzao Voda (sijajua mitandao mingine kama Halotel, TTCL n.k)

Nisiongee sana, naomba muangalie tofauti ya vifurushi kisha mfanye judgement nyie wenyewe. Hii ni list ya vifurushi vya internet ambavyo sio vya ofa yoyote.

Vifurushi vya Siku

Voda

5000/= ----> 2GB/48HRS
2500/= ----> 1.2GB
1200/= ----> 350MB
1000/= ----> 200MB
1000/= ----> 1GB/2HRS
500/= ----> 70MB
600/= ----> 100MB

Tigo
2000/= ----> 1.5GB
1000/= ----> 300MB
500/= ----> 75MB

Vifurushi vya Wiki

Voda

20000/= ----> 12GB + FB
15000/= ----> 5GB + FB
10000/= ----> 2GB + FB
5000/= ----> 800MB+ FB
3000/= ----> 500MB+ FB

Tigo
15000/= ----> 12GB
10000/= ----> 7GB
5000/= ----> 3GB
3000/= ----> 1.5GB

Vifurushi vya Mwezi

Voda

95000/= ----> 40GB + FB
50000/= ----> 20GB + FB
35000/= ----> 10GB + FB
20000/= ----> 4GB + FB
10000/= ----> 1GB + FB

Tigo
50000/= ----> 40GB
30000/= ----> 20GB
20000/= ----> 13GB
10000/= ----> 5GB
 
Kwa sa hivi kama hutumii TTCL au Halotel una wakati mgumu sana wa bando.

Tena nao hadi ujue vifurushi vyao vizuri vilipo kama Halotel wamevificha vifurushi vyao kwenye Halo Pesa, Tigo acha ibaki kwa Tigo pesa tu. Kwakweli Tigo ni kero; mtu najiunga unanipa meseji 5? sasa zina kazi gani? Et mia 5 unapata dakika 7 mitandao yote sijui na vimeseji vingapi. Wakati Halotel wanakupa 18.

Maisha ni kupanga na kuchagua.
 
Back
Top Bottom