Mungu akuinue zaidi kwa mwaka ujao na inayoendelea mkuu. Mimi namuomba Mungu angalau Dec hii anipe mwanga wa vipi naianza 2023 maana sina direction kabisa nina imani kwa jitihada atatenda tuu.Heri Yako umerudi nyumba kwa mwaka mmoja. Mm 2022 nimeinuka kidogo baada ya kurudi nyuma kwa miaka 7 mfululizo. YAANI tangu 2014 - Dec 2021
All is well mamii...Mrembo[emoji3059][emoji3059]
How have u been??
I miss u more
Cheza kwa stepKutopata UKIMWI
Keep it up mkuuTarehe 31 Dec 2021. Nilijiwekea malengo ya kutimiza 2022. Wakati huo Sina hata mia , YAANI nimefulia Sana.
Ikumbukwe kuwa Sina Ajira.
KWA IMANI KABISA NILIMUOMBA MUNGU ANIWEZESHE KUTIMIZA YA FUATAYO.
1. Kupaua frem zangu Tatu za biashara.
Hlo lilikuwa lengo langu kuu lkn sikujua nitapata wapi pesa. Lakini pia nikamuomba Mungu kwamba Kama ukipenda niwezeshe niweke geti hata frem moja.....nikamwambia Tena Mungu ukipenda zaidi nifanye hata finishing ya kuanzia.
MUNGU NI MWEMA SANA. Nimepaua zote , nimeweka mageti zote, nimefanya finishing zote na chazaidi nimefungua na kabiashara kadogo kwenye hizo frem.
SIKO ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA
Mtaro ?? DahKuna demu nilitaka kumbamiza du.du mwaka huu nimemkosa mwisho nikadondokea Kwa shogger nikalifumua
Hongera mdadaMimi malengo yangu asilimia 90% yametimia nilijiwekea huu mwaka niwakujua kwanini nipo hivi mpaka Sasa nimejua kabisa kuwa duniani Mungu ndie anayejua .
Walahiii
Live sioSubscribed
Ulipumzika baada ya mda gan ndo ukarudi . ? [emoji2]Wakati mwaka unaanza moja ya malengo yangu ilikuwa ni kuacha bia. Nilichofanikiwa ni kupumzika tu.
Siku 17 nilipumzika, siku hizi mara nyingi nanywea kwa mangi angalau situmii hela nyingi.,Ulipumzika baada ya mda gan ndo ukarudi . ? [emoji2]
2. Mwambie mzee wa subaru akuelekezeNilikuwa na ma3, nimetimiza moja..
1. Kuanza kuwekesha pesa ambazo sitozigusa βutt β
2. Kujua kudrive manual gear..
3. Kuwa na smart tall dark handsome.. badoo sipati ππππ Lenie
1. Subaru ni automatic πππ2. Mwambie mzee wa subaru akuelekeze
3. Wenye vitambi ndio wako wamejaa tele π€£π€£
1. Momo je?1. Subaru ni automatic πππ
3. ππππ naumia sanaaa
AmenTarehe 31 Dec 2021. Nilijiwekea malengo ya kutimiza 2022. Wakati huo Sina hata mia , YAANI nimefulia Sana.
Ikumbukwe kuwa Sina Ajira.
KWA IMANI KABISA NILIMUOMBA MUNGU ANIWEZESHE KUTIMIZA YA FUATAYO.
1. Kupaua frem zangu Tatu za biashara.
Hlo lilikuwa lengo langu kuu lkn sikujua nitapata wapi pesa. Lakini pia nikamuomba Mungu kwamba Kama ukipenda niwezeshe niweke geti hata frem moja.....nikamwambia Tena Mungu ukipenda zaidi nifanye hata finishing ya kuanzia.
MUNGU NI MWEMA SANA. Nimepaua zote , nimeweka mageti zote, nimefanya finishing zote na chazaidi nimefungua na kabiashara kadogo kwenye hizo frem.
SIKO ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA
Zote Auto na manual π sasa muda ukwapi1. Momo je?
3. Life sio fair eeh
Hapo bado hujapigwa na heavy object kichwani, daah kikubwa uhai π€£π€£π€£
Bora unywee kwa mangi,,, zile mnakaa bar kampani kubwa,, unapiga round unatumia hela nyingi Sana ! Unaweza tumia 60k ukaishia kunywa bia 4 na mchemsho tu ,,,, kumbe ungekua alone ungepata huduma hio hio kwa gharama kidogoSiku 17 nilipumzika, siku hizi mara nyingi nanywea kwa mangi angalau situmii hela nyingi.,