Malkia Elizabeth kalala kuzimu. Je, karma itachukua mkondo wake?

Analects; way and its powers
You can change your destiny; Liao Fan four lessons
The realm of eternity etc
 
Na mara nyingi utotoni alikaa hapo hata kabla hajawa Malkia. Maisha yake yote hajawai kuonja magumu! Lakini usisahau kifamilia alikuwa na tabu, baadhi ya watoto wake wamemsumbua sana, na imehamia kwa wajukuu! Hakuwa na shida ya pesa, lakini kuna nyakati hakua na raha kabisa kutokana na watoto wake.
Kila mtu ana adha za aina yake, unapata hiki unakosa kile! That is fairness of life.
 
Kiroho ni kwamba mambo yalikuwa hayaendi sawa kutokana na past negative actions.. Yaani karma ilianza kufanya yake mapema kabisa
 
Wanyama hawana roho.
 
Laana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua Azory nae kafa,
Unajuaje?. Vipi kuhusu Ben wetu?. Kwa vile mwisho wa siku wote lazima tuu tutakufa siku yetu ikifika, unawezaje kutofaitisha kifo cha laana ya karma na natural death?.
P
 
Hilo ni Dua la kuku,hakuna karma kwa mzungu,
Wazungu wametufsnya watumwa,wametutawala,kwa zaidi ya Miaka 100!lakini ndio wanazidi kubalikiwa,sie Bado choka mbsya
Kama hujaelewa muktadha wa mada nakushauri uulize ili upate kuelimishwa kwa weledi JUAN MANUEL
 
Ile kofia yake ina madini yenye thamani ya Tsh billion moja na yaliporwa South Africa
...ndiyo imempa la kunena Bwana Malema.

Na lile kapu la Dhahabu linalombeba likuvutwa na Horse Power ya nguve;Just a Jest
Duh 1 bil V8 ngapi hizo
 
...ndiyo imempa la kunena Bwana Malema.

Na lile kapu la Dhahabu linalombeba likuvutwa na Horse Power ya nguve;Just a Jest
Duh 1 bil V8 ngapi hizo
Nilikadiria chini sana

Moja ya vipande vilivyotazamwa sana katika Vito vya Taji ni Crown ya St. Edward, ambayo ina mawe 444, ya thamani na ya nusu ya thamani. Takriban pauni tano za dhahabu zilizotumika kujenga taji hilo leo zina thamani ya zaidi ya $100,000, huku mkusanyiko wa mawe katika madini hayo ya thamani ukiweka thamani ya taji hili karibu dola milioni 39.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…