Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Haya mambo haya.....
Tumuachie Aonaye sirini.
R.I.P Malkia
Tumuachie Aonaye sirini.
R.I.P Malkia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analects; way and its powersReincarnation iko kwa baadhi ya Clans ikiwa ndiyo mpango wao!
Dalai Lama ni tunda la Reincarnation linaloishi hivi sasa!
Reincarnation huwepo tu pale ambapo Roho iliyopata kuishi imetamani kuja kukamilisha mpango Mahsusi.
Na ikiwa KURUDIA kwake ni katika Maumbile gani...ya Kike?kiume? Au nini...
Inawezekana Mtu akaja kutimiza PURPOSE YAKE....Lakini akatokea kuzaliwa kwenye mikono itakayopelekea kusahau kilichomleta hapa Duniani....
Sidhani kama Royal Family ya GB inamfululizo wa rebirth.....lakini ikiwa upo basi na utaendelea kuwepo...
Books:
Autobiography-His Holiness Dalai Lama.
Life after Death-Deepak Chopra.
And a lot more others!
Na mara nyingi utotoni alikaa hapo hata kabla hajawa Malkia. Maisha yake yote hajawai kuonja magumu! Lakini usisahau kifamilia alikuwa na tabu, baadhi ya watoto wake wamemsumbua sana, na imehamia kwa wajukuu! Hakuwa na shida ya pesa, lakini kuna nyakati hakua na raha kabisa kutokana na watoto wake.Ziada ya maarifa
Ngome ya Balmoral au Kasri la Balmoral (the Balmoral Castle), haya ni Makazi ya Malkia Elizabeth II yaliyoko katika Mkoa wa Aberdeen (Aberdeenshire) nchini Scotland, ambayo ni moja ya nchi 3 zinazounda Great Britain, nazo ni England, Scotland na Wales. Scotland pia ni moja ya nchi 4 zinazounda Uingereza (United Kingdom) ambazo ni England, Scotland, Wales na Northern Ireland.
Balmoral Castle ndipo mahali ambapo Malkia Elizabeth II alimalizia safari ya maisha yake hapa duniani. Balmoral Castle ilianza kujengwa mwaka 1853 na kumalizika mwaka 1856, yaani miaka 166 iliyopita. Mikoa mingi ya Uingereza ina Kasri angalau moja ambayo ni Makazi ya Malkia na sasa ni Makazi ya Mfalme Charles III. Makasri hayo yalijengwa zamani sana. View attachment 2352599
Kiroho ni kwamba mambo yalikuwa hayaendi sawa kutokana na past negative actions.. Yaani karma ilianza kufanya yake mapema kabisaNa mara nyingi utotoni alikaa hapo hata kabla hajawa Malkia. Maisha yake yote hajawai kuonja magumu! Lakini usisahau kifamilia alikuwa na tabu, baadhi ya watoto wake wamemsumbua sana, na imehamia kwa wajukuu! Hakuwa na shida ya pesa, lakini kuna nyakati hakua na raha kabisa kutokana na watoto wake.
Kila mtu ana adha za aina yake, unapata hiki unakosa kile! That is fairness of life.
Cheni ya kiuno yenye kikuba yenye madini ya wiziShingo na fimbo yake ilijaa madini waliyopora waafrika
Mnaoamini kwamba kuna uchawi wote ni wajinga tu!We ni mchawi
Wanyama hawana roho.Exactly,
Hata Newton's Third Law of Motion isemayo "To every action, there's an equal and opposite reaction" imethibitisha hili na kama tujuavyo Sayansi ni somo pana na lisilodanganya hata kidogo kwa sababu linakupa fact na verifiable evidence.
Uwezekano wa kupitia yote ni mkubwa kwa sababu inatakiwa upitie yote uliyowatendea watu ili ujue jinsi inavyokuwa ukiwatendea wengine. Ulimwengu ni wa ajabu sana, na unaweza kukuacha na maswali mengi sana lakini utakufa, utaishi, utakufa na utaishi tena mpaka uelewe kwamba kinachoweza kutuunganisha binadamu wote na kutuweka pamoja ni UPENDO.
Hata waKatoliki wana amri yao kuu, ambayo ni AMRI YA UPENDO "Unconditional love" ambayo ukiipitia utaweza kumuona binadamu mwenzako kama wewe mwenyewe.
Na ukiifuata amri hii utagundua hata kuchinja wanyama ni ukatili mkubwa sana kwa sababu wao pia ni roho na viumbe kama Mimi na Wewe na Binadamu wote, na tunawadhulumu haki yao ya kuishi na ku-experience maisha.
Yes sikuchaguliwa, kwasababu kumejitokeza watu wazuri kuliko mimi, ambao wamenizidi sana kwa sifa na vigezo EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!Paskali hajachaguliwa kumbe
Ova
Sikubahatika hata kufika stage ya kura, sisi ni zile pumba tuliopepetwa mwanzo. Majina hayo yaliyopendekezwa, sasa ndio yanakwenda kupigiwa kura.Kura hazikutosha
Niliisha kuja humu Malkia Elizabeti kalala kuzimu, je karma itachukua mkondo wake?ngoja aje paskali tumsikie yeye anasemaje!
Duh...!..Vikapimwa vinasaba hata ikajulikana baba wa mtoto nahisi ni baada ya Diana kufa
Wakamtupa jeshini.
Unajuaje?. Vipi kuhusu Ben wetu?. Kwa vile mwisho wa siku wote lazima tuu tutakufa siku yetu ikifika, unawezaje kutofaitisha kifo cha laana ya karma na natural death?.Laana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua Azory nae kafa,
Kama hujaelewa muktadha wa mada nakushauri uulize ili upate kuelimishwa kwa weledi JUAN MANUELHilo ni Dua la kuku,hakuna karma kwa mzungu,
Wazungu wametufsnya watumwa,wametutawala,kwa zaidi ya Miaka 100!lakini ndio wanazidi kubalikiwa,sie Bado choka mbsya
...ndiyo imempa la kunena Bwana Malema.Ile kofia yake ina madini yenye thamani ya Tsh billion moja na yaliporwa South Africa
Yes Malkia Elizabeti kalala kuzimu, je karma itachukua mkondo wake?Namuona Pascal Mayalla ana -type? Ebu tusubiri.
Nilikadiria chini sana...ndiyo imempa la kunena Bwana Malema.
Na lile kapu la Dhahabu linalombeba likuvutwa na Horse Power ya nguve;Just a Jest
Duh 1 bil V8 ngapi hizo