Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?


Hivi miaka hiyo kusafiri toka Ethiopia mpaka Israel walikuwa wanatumia usafiri gani? Meli?
 
Jedediah, suleiman, Solomon nashindwa kuelewa nami nahitaji msaada
[emoji12]

Mfalme Suleimani ni kwa lugha yetu ya Kiswahili.
King Solomon ni kwa lugha ya Kiingereza.
Mfalme Suleimani alipewa majina mawili, la kwanza lilikuwa ndiyo Suleimani likimaanisha "Mtulivu"
Jina la pili ni Jedediah au Yededia likimaanisha "Mpendwa wa Mungu" hili alipewa na nabii wa kiebrania aitwae Nathani.
 
Hivi huyu Solomon alikua Nabii au tapeli? Maana haiwezekani zinaa iwe zambi ila yeye ndie hodari wa kuzini sasa alikua anawafundisha nini wafuasi wake afu mnatuambia alikua na hekima,hekima gani za kutafuna wageni alafu yeye mwenyewe ni mume wa mtu? Mi hawa manabii wa kwenye Biblia nawaona kama vibaka tu na kuiamini Bible inabidi akili yako iwe na walakini kidogo.
 
Asante mleta uzi na wachangiaji,nimejifunza kitu kuhusu mfalme suleiman,malkia sheba na Haile selassie.kwa hio wakuu wayahudi ni rastafarian?
 
Hii simulizi yako inapatikana ktk kitabu gani cha hadithi,
Ambacho binadamu anakuwa na mguu Wa mbuzi harafu unabadilika unakuwa Wa binadamu kwa sekunde tu.
 
Hakuna sehemu nimesema binadamu katokana na nyani.

Hilo fuvu la Dr. Leakey halikua la nyani. Acha kupotosha bana. Haikusaidii kitu.

Kuhusu huyo Nuhu kuwa chanzo cha hizo kabila bado hakuna utafiti unaoweka wazi hayo. Huyo Plotemy yeye aliandika historia na sio utafiti wa kisayansi.

Kama una chochote kinachothibitisha Nuhu kuwa chanzo cha waLibya. WaMisri na waEthiopia let's share. Sio masimulizi.
 
Safi kabisa kwa maneno mazuri. Ni miaka nenda tumeona nyani kibao lakini hakuna hata mmoja aliepatikana kukaribia na binadamu. so theory ya dr leakey ni ya uongo.
Ila binadamu ni binadamu tuu na tunabadilika kulingana na mazingira.
Theory ya evolution sio ya Dr. Leakey. Kama unajua tofauti nijuze.
 
Hii simulizi yako inapatikana ktk kitabu gani cha hadithi,
Ambacho binadamu anakuwa na mguu Wa mbuzi harafu unabadilika unakuwa Wa binadamu kwa sekunde tu.
Stori zingine ndo kama sungura alivyomwambia fisi miaka ile tunakua. Hiyo ya mguu wa mbuzi imeharibu stori yote.
 
Utumie lugha za kiungwana unapomzumngumzia suleiman ni nabii anayeheshimiwa na dini zote. Usitumie lugha za kumdhalilisha wala maneno ya kihuni kama kusex n.k
 
Hahahahaha, suala la amri kumi aliliinvent mzee mmoja hivi na kujidai amepewa na Mungu. Solomon alikuwa karibu sana na Mungu wake, na kujamiiana ilikuwa ni kiburudisho huru enzi hizo!
 
Alisema hayo n batili
 
Utumie lugha za kiungwana unapomzumngumzia suleiman ni nabii anayeheshimiwa na dini zote. Usitumie lugha za kumdhalilisha wala maneno ya kihuni kama kusex n.k
Hivi huyu Solomon alikua Nabii au tapeli? Maana haiwezekani zinaa iwe dhambi ila yeye ndie hodari wa kuzini sasa alikua anawafundisha nini wafuasi wake alafu mnatuambia alikua na hekima,hekima gani za kutafuna wageni alafu yeye mwenyewe ni mume wa mtu?
 
HAO UNAOWAZUNGUMZIA WOTE NI WATU WEUSI. ....wazungu waongo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…