Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Mioyo inatuuma sana, 🤷🏾‍♂️🙆🏻‍♀️,yaani huyo kijana siku akifukuzwa kazi, ntachinja kuku😂,yaani anakera sana, 🙂,anajitia kuchomekea mara tai, mara mkanda nje, 🤷🏼‍♂️yaani ananikera sana,
Naomba mama amuondoe huyu
January siyo kijana bana ana miaka 50
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Kalemani hawezi kurudishwa ni mkristo
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Amteme kipara ngoto kibabe tu. Akimuuliza mstaafu jk yule toboatobo wameshibana tangu enzi za ujana atasema muache tu kijana wetu huku nchi inaumia. Juzi kule kwenye bwawa mumeona anachekacheka ovyo utafikiri rais wetu ni mama yake.
This incompetant confident will cause enomous demage to our welfare.
 
Ampoteze ki medani tu.

Anaweza kumpa ubalozi wa Taiwan au Togo huko so anakua amepotea kwa style hyo.
 
Mama Bora aniteue Mimi niwe msaidizi wake wa hii sekta muhimu ya umeme. Namuhakikishia kwa 100% hatojutia maamuzi yake.
Nashindwa jinsi ya kumfikishia ujumbe Katibu Mkuu kiongozi Ili ajue ni namna gani watu wanaweza kusaidia maeneo nyeti kama haya kwa mustakabali wa maendeleo ya wananchi na TAIFA kwa ujumla wake

Nimefikia hatua najaribu kuwaza, hivi nchi hii kwanini watu hawana huruma na mamilioni ya watanzania? Kwanini rasilimali za nchi hii zinachezewa kwa manufaa ya wachache ambao wao ndio wanaona Wana hati miliki ya nchi hii wakati hii nchi ni ya watanzania wote na Wana haki ya kufaidika na utajiri au rasilimali za nchi ! JIBU ni HAPANA, HAPANA HAPANA.
MH. Rais , na MH. Katibu Mkuu Kiongozi, Kuna kitu inabidi mfanye Ili muache legacy ambayo kila kizazi kitawakumbuka. Waswahili Wana msemo unasema ukimchekea nyani mwishowe utavuna mabua. Chukueni maamuzi magumu japo wachache kwa maslahi Yao binafsi hayatawafurahisha lakini mtakua mmesaidia mamilioni ya watanzania na TAIFA letu litazidi kuheshimika duniaini.

Natamani kuonana nawe Mh. Rais , face to face tuongee mengi tu, ikishindikana basi Katibu Mkuu Kiongozi. Naomba tuwasiliane kama hamtojali, japo naamini ujumbe huu mtaupata ila mta-ni-underate na kunipuuzia, POA HAKUNA TATIZO ILA SIKU MOJA MTAKUJA KUNIELEWA KUWA NILIKUWA SAHIHI KWA MUDA SAHIHI.

MY PROFILE
1. Sio mchumia tumbo, na sio chawa na siutaki uchawa.
2. Mwaka 2020 niliomba kuteuliwa na Chama kupitia CCM kugombea Ubunge na kwa bahati mbaya kura za maoni hazikuniwezesha kusonga mbele.
3. Mwaka huu January niliomba Chama kiridhie kupitisha jina langu kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM, katika majina yaliyokuwa yanasambaa mitandaoni jina langu lilikuwa namba 3, likitanguliwq na la Mh. Sophia Simba, Mtemi Chenge, then la kwangu linafuata.
4. Uchaguzi wa CHAMA CHA MAPINDUZI - niliomba nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa, na MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM, huko jina langu lilichinjiliwa mbali kabisaa.


Anyway, nisiwachose , naendelea kutumikia serikali yangu kwa nafasi niliyopo and I feel proud with my career lakini naumia kuona namna Gani watu wanashindwa kuwa na uchungu na maisha ya watanzania ambao ni mamilioni ya watu huku wao wakifanya mambo ya kifisadi kwa maslahi Yao na familia zao.

Binafsi nasema hapana, something should be done.
I believe that still your not late, you can do something better for the benefits of the majority of citizens and the entire nation.

Nawatakia kazi njema na Mungu awape maoni mazuri ya kuliongoza TAIFA letu.

ASANTE.
Nextpresd



.
Andishi nzuri sana .... Ila umekosea kusema ni Moja Kati Yao , Yani CCM so utabadiousha nn ndani ya mfumo iliyo hoza mkuu
Kimsingi hapo omba Mungu siku update kiti Cha u_rais then ndio unaweza kufanya transformation .... Unless otherwise unatwanga maji kwenye kinu kama wasemavyo waswahili....,
Anyway Big up to you for your vision.
 
Sioni kama kalimani ni Mwarubaini wa tatizo la UMEME nchi hii... Tatizo ni mfumo uliopo kwa maana ya namna ya Usimamizi wa Rasilimali zetu ni WA ovyo sana.

Kila hatakae ingia niazima atengeneze mazingira yake ya upigaji na namna ya kutoboa, Ila siyo Maslahi ya Taifa,
 
Ulivyoandika utasema ulikua karibu na mama akawa anakuadithia hiki kitu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Umetumwa siyo? Unalipwa posh? Rudisha huu uzushi wa kizandiki ulikokutoa. Rais hawezi kuogopa kima yoyote ndani ya nchi hii ni kwamba ameona Kalemani hamfai full stop.
 
Samia hajashindwa kumtoa makamba ila kumtoa makamba ni sawa na kumdhalilisha kikwete na kikwete kwa samia ndiye kila kitu
Ni kweli ila Samia amefanya kosa la kisiasa kujihusisha na kambi hiyo.

Kikwete anapoteza ushawishi ndani ya chama na serikali.

Matokeo ya kura ndani ya chama recently ni mfano mzuri.

Watu wengi hawapendi vitendo vinavyofanyika na hilo kundi.

Itamwia vigumu kuongoza katika hali hii.

Atafanikiwa kurudi madarakani ndio ila hataweza kufanya lolote la maana akiwa na timu hiyo.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
...unampa ushauri wakati yeye hajaomba,labda yeye kinacho endelea ndio anataka.Maadamu anapita hapa endelea ataokota siku akipita.
 
Kwani hamna watanzania wengine wanaoiweza hio nafasi mpaka amrudishe Kaleman?
 
Wizard hiyo imekuwa shamba Lao, Raisi apaswi kuwa muoga katika maamuzi yake kwani katiba inambeba sana.
.Nishati haina watu smart ni ujuaji usiyokuwa na tija kwa Taifa (Miungu watu kuanzia Waziri, Ps Hadi MDs).
 
Kiukweli, kuna watu ukiwaangalia tu imani inapotea au hawaaminiki, mmojawapo ni huyo Dogo janja, hata uweke moyo ukwambie vumilia, roho inakwambia mmhh hapana, huyo sie. Uongozi ni Imani, uaminifu mkubwa sana, so ukiwa watu hawana imani au huaminiki ndio basi tena.

I see! [emoji849]
 
Narudia tena, Wizara sio TANESCO peke yake, Kuna mengi makubwa yanakuja. Yanahitaji exposure na uelewa wa Diplomasia ya Uchumi wa kileo. Makamba ana sifa hizo ndio maana akachaguliwa. Mama ataibadilisha Nchi hii pakubwa sana. Watch this space! Wala Mama hata angalia nyuma, asije akageuka jiwe.

Tumechoka na ahadi hizi za ajabu, hamjui tu [emoji35].. Eti watch this space!!!!
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Watu wazuri hawafi!
 
Back
Top Bottom