GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Tafuteni jasho lenu acheni kutolea macho mali za wazazi vijana wa dar sijui mkojeSawa umetushinda huko ila sisi tutaenda mahakama ya mnyonge na kuku mweupe (kwa sauti ya firstborn)
Mrungi sio mzuri davoo wangu achana nayo kabisaZungumzia hayo mengine mkuu, mirungi ikae pembeni, heshimu mirungi boss, inatoa sapot kubwa kwa sisi madereva wa in transit
Anayeshukuru ni aliyepata haki. Anajua sababu za kushukuru pamoja na udhaifu mkubwa ukiopo katika mifumo yetu ya utoaji haki."Kesi iko mahakamani kwa miaka 18"
Na bado mtu anaishukuru mahakama, Rais, waziri!!
Bora mrungi kuliko pombe mkuu.Mrungi sio mzuri davoo wangu achana nayo kabisa
Ni aibu kufanya kesi za mirathi kwa miaka yote hiyo.Anayeshukuru ni aliyepata haki. Anajua sababu za kushukuru.
Ingekula kwake. Wakusaidia huu hizo kuondoka sisi Watanzania wote siku tukiipata sawa sawa na sindano ikatuingia. Maana Kwa Sasa Watanzania Bado wameridhika na mifumo mibovu ya nchi chini ya CCM yao.Ni aibu kufanya kesi za mirathi kwa miaka yote hiyo.
Je angefariki haki angeipata wapi?
je wangapi wanasumbuliwa na hizo kesi za mirathi!
Tamaa ,watoto wengi wa kko hawataki kufanya kazi na kutafuta vyaoYanagombea na mama yao alichoacha baba! Sijui yanataka mama aende wapi! Sijui mama na yenyewe nani katolea jasho hizo mali kuliko mwengine!
Kuna watu hawana aibu dunia hiiSasa watoto mnashtakiana vipi na mama yenu?
Wpmbv sana haoNasema hivyo kwa sababu hii ishatokea kwa bibi yangu yani mdogo wake na bibi mzaa mama hapo Ilala. Alirithi nyumba ya baba yake maana walikuwa wanachangia mama tu na bibi yetu.
Basi aliporithi akaolewa akazaa. Watoto walipokuwa wakubwa wakafikiri nyumba ni ya baba yao. Mzee alipokata moto wakaanza mzozo wa kutaka wauze nyumba eti yeye bibi yetu wakaahidi watamnunulia banda Chanika. Bibi akawa mkali na kuwambia kuwa nyumba ni yake. Vijana wakashupaza shingo na kujifanya kufungua kesi. Mwisho wa siku wakaja kuangukia pua na kujifanya kumuomba mama yao msamaha. Ila mama ni mama mwisho wa siku aliwasamehe, ila isingekuwa hivyo ilikuwa wauze nyumba na yeye wakamtelekeze huko Chanika japo pengine hata hilo banda wasingelinunua.
Wajukuu ni watoto wa wanawe ambao anagombana nao mahakamaniHakuna kuuza akae afaidi maisha! Baadaye awarithishe wajukuu wanaojitambua
Wapmbv sana na mitoto hiyo iko mingi kwweliHiyo mitoto mijinga sana ,mama yao katafuta mali na mmewe yenyewe inasubiri kitonga tu.
Dini yenu ndo inasema mali alizotafuta baba na mama.. baba akifariki mali wanapewa watoto??? Bhasi hiyo dini ni takatakaaa.Ameshindaje kesi ya mirathi?
Wametumia sheria ya serikali au ya dini kama ni dini ya kiislamu sheria ya mirathi mama anatakiwa apewe thumni ya mali yote ya marehemu mumewe na sio kupewa nyumba nzima au mali zote!!!
Huruma zingine hazifai kufuata masheria ya kidunia na kutoa haki kwa asiyestahili kupata haki na kudhulumu wengine.
Ukiendekeza kobazi huwezi fanikiwa bila kufuga majini.Hahahahaha
Kobaz limewakosea nn mkuu😆
Mrungi unazingua sana jogoo kwenye showBora mrungi kuliko pombe mkuu.
Stimu (handas) ya mrungi na stimu (ulevi) wa pombe vitu viwili tofauti.
Madhara ya pombe kiafya ni worse kuliko mrungi.
Besides hata andas ya mrungi haikutumi wala kukufanya ufanye mambo ya hovyo katika jamii ukifananisha na pombe au bangi, mrungi upewe hashima yake boss
Fala sana wewe.Unaleta ujuaji na huruma za hivyo...huyo mama haki yake katika mirathi ni kupewa thumni ya mali zote za urithi(yaani kama sijakosea anatakiwa apewe theluthi ya mali yote) na sio kupewa mali yote yeye kama mke au mama wa hao watoto....daraja la mama ni kubwa lakini aliweka hilo daraja ndio huyo huyo aliyempa haki ya kupata thumni katika urithi,kama alitaka haki yake basi wangekusanya mali zote kama zinauzwa halafu yeye apewe theluthi tu ndio haki yake......usilete huruma za kibidamu Mwenyezi Mungu kisha fafanua kila kitu....tamaa za hiyo familia wameshindwa kugawana mirathi kwa sheria za Mwenyezi Mungu wamekimbilia mahakamani hatimae limegeuka hata huyo mama kapewa tu lakini ataadhibiwa kwa kudhulumu haki za watu.
Wewe umefafanua vizuri.Kwa hiyo nyumba inakuwa ya mama na watoto,wakiuza wanagawana wote,mama na watoto.Wewe utakuwa ni mwanasheria,unajua sheria.Kwa hiyo mama jarudishwa kwenye urithi wa nyumba1. Watoto walifungua mirathi. Hawakumjumuisha mama yao kwenye orodha ya warithi.
Hivyo, Mama akawa nje ya warithi. Akaondolewa kwenye mirathi.
2. Mama akapinga hilo. Akataka nayeye awe miongoni mwa warithi.
3. Mama ameshinda kesi. Mahakama imeona kuwa mama huyo nayeye ana haki kwenye mirathi hiyo. Mama amerejeshwa kwenye mirathi. Anakuwa miongoni mwa warithi.
N.B: Watoto wapo 6. Kati ya hao sita, ni mtoto mmoja tu ndiye alikuwa upande wa mama akimtetea ajumuishwe kwenye mirathi. Watoto wengine 5 walikuwa hawataki mama awe kwenye mirathi. 😎
-Kaveli-