MVB Jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 489
- 1,553
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unataka kucheka na kima kwenye hela? It is get rich or die trying. Na tola enzi watu wanamiliki mabunduki huko kiia dk 0 tu
Mko obsessed sana na Mali Mkuu.
Na sehemu kubwa ya migogoro yenu chanzo chake ni kugombania mali.
Badala ya mali mziendesha, zinawaendesha.