Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Kabendera ni mhalifu aliyekuwa anatumia kalamu yake Kabendera alitakiwa ajue kuwa kuna wategemezi wake kabla ya kuanza kupambana na dola
 
aliyoyafanya mtoto wake unayajua au unaona tu kaonewa
Wewe ni mpumbaf kabisa, aliyoyafanya yepi zaidi ya yaliyowekwa mahakamani? Nyie ndio wajinga muwezao kuwasababishia watu ban hapa JF.
Unambambika MTU kesi kwa makosa makubwa kwa hisia za kosa lingine? Huo kama sio unyama ni nini? Haya sasa mama yake kafa furahini maana yeye hata kumzika hawezi na huko aliko pengine anashindana na nafsi maana naye ana uchungu wa kufa kabisa.
Lazima karma itamlipia tuu, wewe kaa na ujinga wako wakufurahia machungu ya wengine maana uko peke yako hakuna liwezalo kukupa uchungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
P
 
unalalamika kama shoga anapigiliwa ukuni? yaani wewe unatoa hukumu kuwa hana kosa kabambikiwa wewe ni mganga wa kienyeji umepiga ramli? acha ungese wewe
 
Msamahaa ni kwa mwenyekujua maana ya sala ya Baba yetu uliyembinguni.....kama huwezi wasamehee wengine wewe ni nani usamehewe makosa yako?
 
Alifanya kosa gani?
 
Msamahaa ni kwa mwenyekujua maana ya sala ya Baba yetu uliyembinguni.....kama huwezi wasamehee wengine wewe ni nani usamehewe makosa yako?
 
Naona unajaribu kujiepusha na karma,umechelewa sana!Roho ya huyo mama iko juu yako na watesi wa mwanaye,mnafiki mkubwa!
 
*Ayubu 8:20 " Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, wala hatawathibitisha watendao uovu (JPM na genge lake, wengine wamo humu Jf). "

*Isaiah 57:2 " Those who live good lives find peace and rest in death. "

Pumzika kwa amani mama Eric, nuru yake BWANA ikuangazie. Amin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…