Anafanya nini?mama anaweza kuwa hajui mwanae anachofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafanya nini?mama anaweza kuwa hajui mwanae anachofanya
Alitumika na nani?tena ilipaswa aliangalie hilo na akatae kutumika
Kuna siku baada ya kutoka kwenye madaraka mkuu wenu yatamkuta mambo na kila mtu hata aliyekuwa mpambe wake wa karibu atamkimbia na atachekwa na kila mtu hadi waliojifanya washkaji wake.
Time will tell.
Dah umeugusa moyo wangu! Kinachoniuma wale wote waliokuwa wanashirikiana nae wamekaa pembeni anapata tabu peke yake,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukumbushe.. Alifanya nini!??Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo
Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakubali kutumika tukishikwa tunawasababishia wazazi presha.Nimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu
Shocked!.Mama mzazi wa mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019. Mtu wa karibu na familia amethibitisha
View attachment 1308015
MAMA YAKE NDIYO KESHA FARIKI JAMANIKabla hujafa hujaumbika , hivi kama kweli Kabendera ni mtakatisha pesa huyu mama angelia namna hii ? endeleeni na ukatiri wenu lakini mtakuja kulipa tu
Endeleeni kufurahi maana malengo yenu yametimiaMAMA YAKE NDIYO KESHA FARIKI JAMANI
aliyoyafanya mtoto wake unayajua au unaona tu kaonewaEndeleeni kufurahi maana malengo yenu yametimia
Muwe na huruma.aliyoyafanya mtoto wake unayajua au unaona tu kaonewa
Hamna lolote wachawi wakubwa nyie ! siku yenu inakuja kudadeki zenu !aliyoyafanya mtoto wake unayajua au unaona tu kaonewa
Huu ndiyo utawala wa wanyongeShocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tuu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P
Utawala wa nyoka kabisaPUMZIKA MAHALI PEMA PEPONI MAMA.
Hakika Mwenyezimungu ni mjuzi wa yote, machozi aliyo lia MAMA kabendera kwa mwanaye kukamatwa mpaka kupelekea yeye kukosa matibabu yake ya msingi na hadi kumkuta.
MAUTIPp
Kila aliye husika na udhalimu huu, haki itatendeka mbele ya Mwenyezimungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikamatwa tukaambiwa makosa ya mitandao mara uraia mwisho utakatishaji fedha, huyu mama na mama yake Sugu watakuwa wameacha laana kubwa sana kwenye Taifa letu, na ukiona mtu anajifanya mcha MUNGU kutwa anaonekana kwenye nyumba za ibada, kutaja jina la MUNGU kila saa mchunguze sana anayo yafanya gizani itakuwa ni maovu zaidi ya shetani alivyo.Shocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tuu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P