Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
🤣🤣🤣🤣Bado maji ya kuoshea humu yakandie chapati, tule tu ila mm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Bado maji ya kuoshea humu yakandie chapati, tule tu ila mm
Sawa ila wanautamaduni wa kujambia kwenye madumu yaaziwa Ili yawe matamu na kudumisha utejaWanyaruanda tunao uku kwetu ata wanavyo andaa maziwa yao tangu ukamuaji,vigaa vya kutunzia, mpaka mtindi kila kitu kipo safi. Uwezi kukuta maziwa ya mnyaruanda ameyawekea maji kamwe ila wabongo sasa.
Unashangaa nini mkuu?Paka?
Wanaboa sana yaani mpaka unashindwa utumie njia gani kumrekebishaHayo yashafanikuta
Muulize mbona nyie mnakula nyoka! Hajawahi kwenda soko la samaki Posta kule akaone madude yaliyopo?Unashangaa nini mkuu?
Kwenye hii dunia, ni vitu vichache sana ndiyo haviliwi. Kama siyo jitihada za wakoloni, kuna maeneo walikuwa wakila mpaka nyama za binadamu. Sasa si bora wanaokula paka na mbwa kuliko binadamu?
Kama wanakula paka acha tu waendelee na huo utaratibu maadam hautuhusu. Hata wewe ungekulia kwenye utamaduni wanakokula paka ingelikuwa ukimwona paka anarandaranda bila utaratibu unaanza kumpigia hesabu kwa mtazamo wa kitoweo.
Binadamu kale aliliwa sababu ya spiritual. Kulikuwa na ibada maalum inayoleta maana ya mtu kuliwa. Unakula paka ina mana bata huwaoni au?Unashangaa nini mkuu?
Kwenye hii dunia, ni vitu vichache sana ndiyo haviliwi. Kama siyo jitihada za wakoloni, kuna maeneo walikuwa wakila mpaka nyama za binadamu. Sasa si bora wanaokula paka na mbwa kuliko binadamu?
Kama wanakula paka acha tu waendelee na huo utaratibu maadam hautuhusu. Hata wewe ungekulia kwenye utamaduni wanakokula paka ingelikuwa ukimwona paka anarandaranda bila utaratibu unaanza kumpigia hesabu kwa mtazamo wa kitoweo.
Zaidi ya 7 bossKatika mama ntilie 10 uliowahi kula chakula kwao wangapi walikuwa na kiwango cha usafi cha kuridhisha??
Haukuwa bongoZaidi ya 7 boss
Watakuwa ni wazungu basiHaukuwa bongo
KabisaWatakuwa ni wazungu basi
Vipi ushakunywa mtindi asilia toka TukuyuSio hivo tu maziwa mgando ya Rwanda huitwa chivuguto wao hugandisha, baada ya kuchemsha na maziwa mgando ya Rwanda na Uganda hutopata sehemu yoyote Tanzania
Mpaka pussies zao safi.Ripoti imewasifu kuanzia nyakarambi, kirehe, rwamagana, kayonza, chigali, nyabugogo, remera, gisenyi, kote wameonekana wasafi
🤣🤣🤣🤣bongo nusu lita maji na nusu maziwa inakamilisha lita yaan uchafuWanyaruanda tunao uku kwetu ata wanavyo andaa maziwa yao tangu ukamuaji,vigaa vya kutunzia, mpaka mtindi kila kitu kipo safi. Uwezi kukuta maziwa ya mnyaruanda ameyawekea maji kamwe ila wabongo sasa.