Ghwakukajha
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 245
- 102
Alikuwa rais!??Ulikua unamuona kila siku amevaa? Mimi nilikua namuona bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa rais!??Ulikua unamuona kila siku amevaa? Mimi nilikua namuona bila
Godforbid.Kama watu walivyo jazana pale uhuru lazima kutatokea mlipuko wa hatari
... mama D mbona unaonekana kuwa smart sana upstairs how comes unauliza swali la ovyo kiasi hiki? Iko hivi, kuchanjwa haikufanyi unapovuta hewa yenye virusi visiingie mwilini mwako ila kwa kuwa una kinga havitakuathiri....
dudus Kwa hiyo Joe Biden kachanjwa lakini bado anawakinga wenzie wasipate corona kwa kuvaa barakoa yake😐😐
Kwa maana hiyohiyo ni kwamba Chanjo haifanyi kazi na Biden ana corona kwa hiyo anavaa barakoa asiwaambukize wengine🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Tuwe taifa la kuomboleza mwaka mzima.Kuna uwezekano wa kuwa na Rais mwingine mpya miezi michache ijayo kama huu uzembe wa hali ya juu wa kuendelea kuidharau COVID kwa kutovaa barakoa na kuheshimu social distance.
Acha tu dadaMbona kawa tofauti, haya maisha Mungu atusaidie
Kwahiyo unakiri Magu anapendwa si ndioKama watu walivyo jazana pale uhuru lazima kutatokea mlipuko wa hatari
VPAlikuwa rais!??
Sijui viongozi wetu wamesahau au ni makusudi tu kuweka ulazima wa watu kuvaa barakoa na kuweka matank ya maji nje ya uwanja.... hatari sana Mkuu. Ila Mama Janet ameonekana akishuka kwenye ndege Dodoma jioni hii akiwa ndani ya barakoa hongera kwake ameokoa makumi ya watu. Pia hongera kwa viongozi wa kanisa pale uwanjani (Uhuru) jana kwa kutuma ujumbe mzito kwa jamii kwa zile barakoa ambazo kila mmoja alivaa.
Hii dunia inabidi kuishi kwa furaha na amani no hate wala kutesana life Hili ni fupi. Kweli kifo ni fumbo ambalo nikimuangalia mheshimiwa na alivokuwa aisee kama siaminiAcha tu dada
Basi sawa,tulidhani kwakuwa sasa yupo juu pale...ataigeukia sayansi...little did we knew
Sina muda wa kubishana na wapuuzi kama weweKwahiyo unakiri Magu anapendwa si ndio
... mchuma janga hula na wa kwao; let's wait and see. Muda ni mwalimu bora zaidi.Sijui viongozi wetu wamesahau au ni makusudi tu kuweka ulazima wa watu kuvaa barakoa na kuweka matank ya maji nje ya uwanja.
Pia kuweka limit ya watu watakao ingia ndani ya uwanja
... mama D mbona unaonekana kuwa smart sana upstairs how comes unauliza swali la ovyo kiasi hiki? Iko hivi, kuchanjwa haikufanyi unapovuta hewa yenye virusi visiingie mwilini mwako ila kwa kuwa una kinga havitakuathiri.
Ukivipumua unasambaza kwa wengine kama kawaida na wasio na kinga kama yako ole ni wao! Naona ulitaka kujenga hoja ya kipumbavu "kinga haifanyi kazi" ila ukweli ndio huo! Vaa barakoa uwakinge wengine huo ndio ubinaadamu.
... hujaelewa ulicho-quote. Mama Janet kaonekana hadharani na barakoa leo; una maoni gani?Si ndio huko walitangaziwa kwamba waliokwisha chanjwa wasivae barakoa wala social distancing. Mbona hawakusema waendelee kuvaa masks ili wawalinde wengine?
Acheni basi kutuchanganya dudus . Yeye hajamaliza chanjo????![]()
New US guidance says fully vaccinated people can meet without masks
Health officials ease rules for the fully vaccinated to show "what a world looks like beyond Covid".www.bbc.com