Hadi nafika form Chee sumu ilikuwa shingoni. Ilikuwa napata one more chance namfumua vibaya mno yule maza af ingekuwa story ukoo mzima. I was Fed up na dingi mkubwa alikuwa kashaelewa kuwa huyu chalii tayari kashakomaa atapiga tukio akatutenganisha.Hatari alikua anakuimbisha verse zenye vina mwanzo kati na mwisho. Kumamaye ungemkorogea chokaa.
Mke wa Faza mkubwa yani.Bi mkubwa hapo alikuwa mama wa kambo au mke wa bamdogo / bamkubwa au ?
Wengine tulipata na mashangazi wachawi. Wana-trend kwenye ukoo kwa sifa ya uchawiHuyo shangazi mchaga chenga roho mbaya tu, mie nina bahati ya mashangazi wazungu wa roho tu. Sijaona kipengele kwa mashangazi 😀😀😀
Safi sana.Hadi nafika form Chee sumu ilikuwa shingoni. Ilikuwa napata one more chance namfumua vibaya mno yule maza af ingekuwa story ukoo mzima. I was Fed up na dingi mkubwa alikuwa kashaelewa kuwa huyu chalii tayari kashakomaa atapiga tukio akatutenganisha.
Pote tu hapafaiMa Shangazi wanaweza kuishi na watoto wa kaka zao ila sio baba mdogo au mkubwa hawa huwa wake zao vipengele.
Sometimes it work well kwa Aunt ama shangazi mwenye kujiweza. Ila kama wale unga unga mwana ndio kimeo.Pote tu hapafai
Hahahah ile ingekuwa fundisho najua ningelala selo ila ni kwa ajili ya sweet revenge 😀Safi sana.
Dawa ya watu hao ni kuwa mwehu zaidi yake.
Hii ni mpya kwangu, bibi kama bibi?Vipi kuhusu bibi wa Kambo?
Wameshalishwa wali na mchuzi uliochanganywa na shombo ya ****.. hakuna wanachoelewa hapaWanaume wengi hutowaona kwenye hii mada
Uliishi katika mazingira ya walezi aina gani ?Mwanaume husimamia morals ,rules na goals. Hivyo ni ujinga au kukosa imani kuamini kuwa chakula na upendo ulio balance ndivyo vinavyomfanya moto akue. Mtoto hukua kwa mpango wa Mungu tu. Kwa mateso niliyopitia anajua Mungu mwenyewe alinivusha vipi, Baba yeye alinijaza morals za ujasiri tu ,elimu nimeitoa ujombani. Maana alichofanikiwa ni kunifanya ni mtegemee emotionally tu. Mwisho:Mtoto alelewe kwa baba tu ,iwe kea shida ama raha. #Maisha magumu ni elimu inayopita zote.
🤣🤣🤣🤣Wameshalishwa wali na mchuzi uliochanganywa na shombo ya ****.. hakuna wanachoelewa hapa
Limbwata O.G linafanya kazi 😅👍🏾
Daaaaah umenikumbusha mbali sana . Nimelelewa na mama mdogo mke wa Baba yangu mdogo mateso yalikuwa makali nilitorokaMtoto kama mama yake yupo aishi na mama yake labda awe amefariki na bibi yake hayupo
Sio tu mama wa kambo wabaya pia hata ndugu hawawezi ishi na mtoto wa ndugu nikuambie tabu ipo pale pale
Mtoto anakuwa salama kwa mama yake tu wengine hakuna ninakuwa ilimradi liende tulolelewa kwa ndugu habari tunayoDaaaaah umenikumbusha mbali sana . Nimelelewa na mama mdogo mke wa Baba yangu mdogo mateso yalikuwa makali nilitoroka
Sinaga shangazi/dada wa baba,lkn wenye mashangazi baadhi wanasema mashangazi wanaroho mbaya si wakuishi nao,Ma Shangazi wanaweza kuishi na watoto wa kaka zao ila sio baba mdogo au mkubwa hawa huwa wake zao vipengele.