Mtoa mada, Anashindwa kujibu maswali ya msingi anayoulizwa.Pamoja na mtoa mada kuwa na uwezo mkubwa wa kujibu maswali na kuwa na utulivu wa hali ya juu bado paka muda huu akuna ata mmoja anayemuunga mkono
Haha bro umeanza kwa mbwe mbwe kubwa sana. But hujaweza kuelezea UZI wangu unashida sehemu ipi? Umeshindwa kuendana na mada yangu.. unapopinga kuwa qnet sio ecommerce njoo na mifano iliyo hai..Wacha tu watu wapate mwanga mdogo mdogo tutaelewana....Q-Net ni fraud bro kama ushanasa usitake ingiza wengine na kwa Tanzania its about time bank kuu inawatolea macho tu......Unafananisha E-commerce na vitu vya kijinga.
kua na website unayoweka bidhaa chache haikutoi kwe dhana nzima ya pyramid scheme ambacho ndo tunatakiwa jadili hapa....swala la e commerce no need kumwingiza mtu mpya kwe ritual zenu kama illuminati ..ushasikia mtu anapiga kelele kuhusu jumia au alipay au other online platforms msituone wehu.....mlitaka mpiga mshkaji nje nje million 5 na siku hizi tutawaroga tu..pumbafu
FYOKO FYOKO sijui qnet ni ecommerce wakati qnet.net ywnyewe inaackowledge kua qnet ni direct sellibusinessess usituone miaukule humu 10 Terrifying Real-Life Fears Of Direct Sellers And How To Overcome Them - QBuzz | The Voice of QNET
The Bombay High Court while rejecting anticipatory bail applications of five accused in the multi-crore QNet scam, has observed that "the deceit and fraud is camouflaged under the name of e-marketing and business". This scheme is undoubtedly a multi-level marketing (MLM) activity and a pyramid structure of such scheme is prepared so that the members are promised to get money on purchase and sale of products, the Court said.
In a hard-hitting order on 6 May 2016, Justice Mridula Bhatkar said, "The motto of the company 'sell more, earn more' appears very attractive and innocuous. However, this motto is fully camouflaged. The company stands on a basic statement that people can be fooled. Thus, the true motto is 'sell more earn more' by fooling people. In fact it is a chain where a person is fooled and then he is trained to fool others to earn money. For that purpose, workshops are conducted where study and business material is provided with a jugglery of words, promises and dreams. Thus, the deceit and fraud is camouflaged under the name of e-marketing and business."
"It has very grave and serious impact on the economic status and mental health of the people on a large scale. On considering parameters of section 438 of the Code of Criminal Procedure, I am not inclined to protect the accused. It won't be out of place to mention that such circulation is required to be stopped. It is necessary for the prosecution to take injunctive steps against this business activity, which is prima facie, illegal. Though by stopping this business, a large group of people may get financially affected, however, it will save larger groups of people from becoming prey of this activity," the Bombay HC said.
The HC rejected bail applications of five including, Srinivas Rao Vanka and Magaral Veervalli Balaji, both directors of Vihaan Direct selling (India) Pvt Ltd, Suresh Thimiri, director of Transview Enterprises India Pvt Ltd, Malcolm Nozer Desai, who is a 20% stakeholder in Vihaan and Michael Joseph Ferreira, former world champion of billiards and an 80% stakeholder in Vihaan.
"I have gone through the plan which is given by QNet to every individual representative (IR)," Justice Bhatkar said. "I have gone through the statements of many witnesses, who claimed that they have been cheated under the scheme launched by QNet. I have also considered the conclusive report of Serious Fraud Investigation Agency (SFIO) under the Company Act) SFIO Prima facie, there is material to hold that the business conducted by Qnet is covered under PCMC Act and also under Drugs and Magic Remedies (Objectionable Advertisements) Act, 1954."
"However," the Bench added, "the things are not as straight as they are perceived on the surface. Assuming that the scheme was launched with a noble object to give benefit to maximum people to make money quickly and easily by selling products of the company, however, after going through the material placed before me including the statements of the witnesses, I am of the view that in the midway, the intention of the applicants/ accused, who are the directors and shareholders of the company, became dubious. They had knowledge that more members are suffering financial losses and they are not satisfied with the products. The claim that the wellness products i.e., Biodisk and Chi Pendent are medicinal and spiritual products, are after all, a matter of faith. However, the applicants/ accused have launched these wellness products with ulterior motive and with correct judgment of vulnerability of the people. The holiday packages, which were sold or offered, without any choice left to the buyers. The entire business was Internet based and, therefore, the persons who are responsible i.e., the top brass i.e., the applicants/ accused, were not approachable to the persons who were aggrieved. The nature of the business was knitted in the interest of the Directors and shareholders in such a manner that the persons who are at the lower level of the pyramid cannot get any access to put up their grievances. The manner in which the persons were contacted, incentives offered, the workshops were conducted, are best examples of inducement."
Earlier, Pradeep Gharat, special Public Prosecutor submitted before the Bench that Vanmala Hotels, Travels and Tourism Services Private Ltd and Pallava Resorts Private Limited have created a Website and travel packages. "The commission was not paid on the products though the new members were introduced. The registered office of Vanmala Hotels, Travels and Tourism Services Pvt Ltd company is a call center," he said.
He further submitted that in December 2014 the Ministry of Corporate Affairs sealed their office at Chennai and declared Gold Quest International Pvt Ltd and QuestNet Enterprise (P) Ltd as the fraud companies. "Thus, money is collected online and though the Independent Representative number is given, actual money was not available for withdrawal. Said money was laundered outside India. The police in the investigation have come across 73 bank accounts of Q Net Ltd and total laundering of is around Rs135 crore," Adv Gharat had said.
Earlier in February 2016, the special Maharashtra Protection of Interest of Depositors (MPID) Court had also rejected anticipatory bail applications of these five. The Economic Offences Wing (EOW) of Mumbai Police, which is probing the case, had invoked the stringent MPID Act against controversial multi-level marketing (MLM) company QNet, which has denied any wrongdoing on its part.
Swali gani mkuu?Mtoa mada, Anashindwa kujibu maswali ya msingi anayoulizwa.
Wewe kijana unaonekana una shida kichwani, si muda mrefu utalizwa utashindwa ukalilie wapi. Umepewa hadi ushahidi wa kimahakama bado kichwa kigumu? hata RIFARO walikuwa vichwa vigumu hivihivi, leo waulize wako wapi, ulizia pia D9 watu waliolizwa wana hali gani sasa hivi. Ondoa hizi takataka zako hapa, usije kuharibu vchwa vya watanzania wengine waache kufikiri kufanya kazi na kujipatia kipato wakaishia kupewa ndoto za abunuasi na kulizwa.Haha bro umeanza kwa mbwe mbwe kubwa sana. But hujaweza kuelezea UZI wangu unashida sehemu ipi? Umeshindwa kuendana na mada yangu.. unapopinga kuwa qnet sio ecommerce njoo na mifano iliyo hai..
Je unaelewa hasa ecommerce ni nin?
Kwa nin qnet ikose sifa za kuwa ecommerce?
Lete hoja
Ukaenda kukopy bandiko la watu wa India. Sina hakika hata kama umesoma vyema maandishi ya humo ndani. Sijaona jambo la ajabu kwa kampuni kutuhumiwa.. kila kampuni duniani huoata tuhuma hii na ile.. hivi aribuni tumeshuhudia facebook ikituhumiwa kutumia siru za memmber wake.. ni juzi juzi tu tumemshuhudia Marc Mello akituhumiwa kuhusu JF inavyofanya kazi ..
Si jambo geni kutuhumiwa kwa vile hanzo vha tuhuma huwa pia ni kutoelewa jambo fulani..
Aya ya mwisho ya bandiko lako la wahindi limeelzea hali halisi. Qnet haikushikwa na HATIA..
Kasumba hizi za kutoeleweka kwa hii kampuni haikuwa tu India ni sehemu nyingi duniani na hadi hivi leo hakuna sehemu hata moja ikashikwa na hatia.
Qnet ni Ecommerce.
Wewe unadhania nchi yako haipo makini kwenye idara zake za usalama na mambo ya uchumi na biashara kiasi kwamba mwaka wa tatu huu sasa tangu wimbi kubwa la qnet products kuanza kuuzika hapa nchini alafu hadi leo iwe haija jua nini cha kufanya.?
Mda si mrefu nitakuja kuelezea how you can buy your product from there where you are.
Mada ni Qnet ni Ecommerce.
Baki kwenye mada
Kwamba huo ushahidi wa kimahakama unaelezea hukumu ipi kwa hatia ipi?Wewe kijana unaonekana una shida kichwani, si muda mrefu utalizwa utashindwa ukalilie wapi. Umepewa hadi ushahidi wa kimahakama bado kicha kigumu? hata RIFARO walikuwa vichwa vigumu hivihivi, leo waulize wako wapi, ulizia pia D9 watu waliolizwa wana hali gani sasa hivi. Ondoa hizi takatataka zako hapa, usije kuharibu vchwa vya watanzania wengine waache kufikiri kufanya kazi na kujipatia kipato wakaishiwa kupewa ndoto za abunuasi na kulizwa.
Ujue nakusubiri uje tena na picha za kuonesha umekwama wapi kwenye kununua na wapi ukaambiwa ujiunge?Nimeingia kwenye link ya tovuti ya qnet ila haionyeshi kuwa ni e-commerce kama aliexpress, ebay, amazon nk.
Nitaeleza experience niliyopata labda utanielekeza zaidi jinsi gani ya kununua bidhaa pasipo kuhitaji "IR ID No. of my referrer" kitu ambacho sikuwahi kukutana nacho aliexpress(nanuuaga sana bidhaa huku).
Kama ulivyosema, niliangia kwenye link ya tovuti uliyotoa na kweli nilikuta bidhaa na huduma mbalimbali.
Hii picha inaonyesha baadhi.ya bidhaa nilizoziona.
View attachment 1259791
Sasa hapo nilichotaka kununua ni hiyo saa (sijui shilingi ngapi).
Nilivyoclick ilikuja kurasa inayoelezea kuhusu hiyo saa inaitwa bernhard h mayer, nikabonyeza kitufe cha buy now upande wa juu kulia, kama picha inavyooenyesha.
View attachment 1259808
badala ya kubonyeza ikaniletea linki ya ku-log in bila kunipa option ya kujisajili kwa kuwa sina account.
View attachment 1259809
Hapa ilinilazimu nitafute wapi pa kuipata hiyo inaitwa "IR ID No" ndipo niliporudi kwenye home page kwa juu nikaona sehemu imeandikwa "enroll now".
Hapa ndipo nilipoona kuwa hii sio "e-commerce" ninayoielewa mimi mifano ya aliexpress, kwani badala ya kuclick nakeletewa sehemu ya kujisajili ambayo pia pana utata, cheki hii picha inayoonyesha mahitaji ya kujisajili q-net ili ununue bidhaa.
View attachment 1259850
Kama picha, inavyoonyesha. nilihitajika kuweka id ya mtu alienialika ili ninunue hiyo saa kitu ambacho hakipo alibaba, aliexpress, ebay na e-commerce zingine za kawaida.
Tuachane na hilo inawezekana muundo wa biashara wenu upo tofauti, naipataje hiyo IR ID No of my referrer ili nikamilishe usajili na kununua hiyo saa?
Yaani we jamaa unadhani kote sikupita huko.Alafu isipende kurukia kutoa tu suluhu wakati hujajipa muda wa kufuatilia vyema.
Website imeshiba hiyo ina vitu vingi mno hapo. Tulia usitumie mihemko
Kama hujui 'Log In' na kwa walio ndani ya huo mfumo. 'Inroll' ni kwa anayetaka kujisajiri.. wewe nia yako kwenda dukani sasa humo unaingia kufanya nini.. nenda dukani.. 'shop' alafu ukikuta mahari pakujaza taarifa yoyote haimaanishi kuwa ni kujiunga mzee.. hahha tuliza kichwa..
Njoo na majibu.
Tunasubiri.
Haha nilkutumia njia sahihi ya kuingia dukani kwa Ecommerce system a qnet. It is very simpleYaani we jamaa unadhani kote sikupita huko.
Sehemu ya shop inaleta log in inayohitaji ir id of my referral ambayo ni lazima ijazwe.
Unaijua hata web yenu kweli?
Na hapo ndipo alipoharibu na kutaka kupotosha watu while inajulikana kua hyo ni network marketing kama zingine tuNikirejea kauli ya mtoa mada amezungumzia E-commerce pekee, huku akijaribu kutolea mifano ya jinsi hiyo e-commerce inavyofanya kazi basi. Na sio ishu za kujiunga kupitia hizo products ambazo hupatikana kwenye duka lililopo katika website yao.
Sina hakika kama nimekuelewa sahihi but kama ulikua ukimaanisha bidhaa za qnet, jibu ni yes. Bidhaa zao ukinunua popote ulipo duniani unazipata.Mpaka bongo unapata???
Haya ulosema ndo yalinitokea jana Zanzibar-ASPWatu wengi wanaokuja humu JF kuuliza hayo mara nyingi huwa tayari wameshalizwa au wako katika mkondo wa kulizwa soon.
Mleta mada sijui anaangukia wapi?
Kifupi ni kuwa Qnet na AIM Global zote ni network market ambazo ziko katika mfumo wa pyramid (Yaani wachache sana wa juu wanavuna pesa nyingi kwa kutumia migongo ya wengine wengi mnoo wanaokuja kujiunga nyuma yao). Na kanuni kuu ya kutoboa ni kwanza kukubali kulizwa pesa zako wakati wa kujiunga ili nawe uje kuliza wengine wengi watakaojiunga nyuma yako kwa njia za ushawishi zenye maneno mazuri ya ukweli, uongo, ujanja au hila. Kiufupi kabisa ni kuwa wengi wanaishia kushindwa katika biashara hii kuliko wachache mnoo wanaofanikiwa. (ni kama 1/30).
Tofauti kubwa kati ya Qnet na AIM global iko katika mambo haya...
-Gharama ya kujiunga Qnet ni kubwa mnoo (sio chini ya 4.5milioni) hivyo kilio cha kulizwa ni kikubwa zaidi japokuwa furaha ya kuvuna ni kubwa pia ikiwa utafanikiwa nawe kuliza wengine wengi watakaofanikiwa kujiunga nyuma yako!
-Ushawishi wa kuunganishwa kwenye Qnet unafanyika kificho sana (kipepelezi mnoo), lengo ni kukufanyia kwanza kitu kinaitwa 'Brain washout&Brain installation' ili usishtuke au kushtuliwa kama kuna kulizwa!! Ukiwa Qnet utaambiwa kuwa hupaswi kumuuliza mtu mwingine yoyote mambo ya Qnet zaidi ya wanaQnet wenyewe!
Kwa leo niishie hapa, wapo watakaonichukia, lakini wapo wengine watakuwa wamenifurahia. Ukweli ni kama kisu chenye makali pande zote.
I think now it is clear to every one.
QNET is ECOMMERCE.