toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Wezi haoKaka ahsante sana kidogo nikope pesa niingie kwenye mtego wao Sema kitu kinachoboa ni Ile gud morning Yao mda wowote na pesa kubwa ya kununulia bidha ndogo kama saa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wezi haoKaka ahsante sana kidogo nikope pesa niingie kwenye mtego wao Sema kitu kinachoboa ni Ile gud morning Yao mda wowote na pesa kubwa ya kununulia bidha ndogo kama saa
Good morning Mr Millionaire [emoji1][emoji1][emoji112]Kaka ahsante sana kidogo nikope pesa niingie kwenye mtego wao Sema kitu kinachoboa ni Ile gud morning Yao mda wowote na pesa kubwa ya kununulia bidha ndogo kama saa
Ndio maana yake[QUOTE="Youngblood,
Kaka nimeamini ukiona unapewa fursa kirqhisi jua ww ndo fursa yenyewe q
Good morning na Mchana wote ndugu milionea?Good Morning millionaires 😄😆😃
Franceska na Martha niliwajenyesha,waliambulia patupuHapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.
Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.
Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.
Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.
Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.
Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.
Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
Kwa milionea Kila muda kunakuwa ni asubuhi. Hata ukiamka usiku wa manane mwambie uliye naye "Good morning millionaire" 😄😆😃Good morning na Mchana wote ndugu milionea?
Watu wenye tamaa wakishalizwa hua wanaona aibu kuwa wameliwa na kusingizia ushirikina. Hakuna ushirikina wowote ni kitokutumia ubongo badala yake mtu anafanya mambo kwa mihemko. Hakuna ushirikina kwenye hayo makampuni watu wanacheza na akili za vilaza tu.Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.
Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.
Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.
Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.
Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.
Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.
Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
Kusema wamelogwa ni chaka tu la kufichia ujinga wao.Watu wenye tamaa wakishalizwa hua wanaona aibu kuwa wameliwa na kusingizia ushirikina. Hakuna ushirikina wowote ni kitokutumia ubongo badala yake mtu anafanya mambo kwa mihemko. Hakuna ushirikina kwenye hayo makampuni watu wanacheza na akili za vilaza tu.
Kumbe hii mambo ni muda Sana! Nmedanganywa Kuna kaz, kufka kule nakutana na hii mambo duu! And there's a number of people na wanaamini kupata. Hivi kuna faida mm nmerun away maana s jamb la kawaida kuona hadi wastafu wapo pale wanafundishwa hayo na wanaamini.... "Naamn na uchaw watumika aisee!Hawana lolote zaidi ya utapeli na ile salamu yao ya 'good morning " hata kama ni mchana au jioni huwa siielewi.
Matapeli Mimi nimewasikiliza mwanza Wana mambo ya kishirikina Mimi mzee wa upako nimeenda pale projo nyingi wanauliza Hadi kazi unayofanya, Hadi aseti ulizo nazo ukiwaambia huna Hela wanakwambia chukua mkopo, uza kiwanja, uza nyumba, aisee wasenge sana halafu wanawake wengine kuliko wanaume. Dah hii Dunia take careOk iyo Nyumba alikua anakaa Haruna Niyonzima na familia yake kabla hajaamia Simba alivyotoka yy ndio wakapanga Qnet..vip uliona mademu kibao wanaume wachache.sasa iv wamepungua wameanzisha ofis nyingine mikocheni