Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.

Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.

Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.

Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.

Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.

Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.

Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
Franceska na Martha niliwajenyesha,waliambulia patupu
 
Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.

Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.

Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.

Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.

Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.

Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.

Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
Watu wenye tamaa wakishalizwa hua wanaona aibu kuwa wameliwa na kusingizia ushirikina. Hakuna ushirikina wowote ni kitokutumia ubongo badala yake mtu anafanya mambo kwa mihemko. Hakuna ushirikina kwenye hayo makampuni watu wanacheza na akili za vilaza tu.
 
Watu wenye tamaa wakishalizwa hua wanaona aibu kuwa wameliwa na kusingizia ushirikina. Hakuna ushirikina wowote ni kitokutumia ubongo badala yake mtu anafanya mambo kwa mihemko. Hakuna ushirikina kwenye hayo makampuni watu wanacheza na akili za vilaza tu.
Kusema wamelogwa ni chaka tu la kufichia ujinga wao.
 
Hawana lolote zaidi ya utapeli na ile salamu yao ya 'good morning " hata kama ni mchana au jioni huwa siielewi.
Kumbe hii mambo ni muda Sana! Nmedanganywa Kuna kaz, kufka kule nakutana na hii mambo duu! And there's a number of people na wanaamini kupata. Hivi kuna faida mm nmerun away maana s jamb la kawaida kuona hadi wastafu wapo pale wanafundishwa hayo na wanaamini.... "Naamn na uchaw watumika aisee!
 
Matapeli Mimi nimeenda nikawasikiliza lakini Mimi mwamba wa Shinyanga hawajalamba hata mia yangu. Take care QNET LISHINHU.
 
Ok iyo Nyumba alikua anakaa Haruna Niyonzima na familia yake kabla hajaamia Simba alivyotoka yy ndio wakapanga Qnet..vip uliona mademu kibao wanaume wachache.sasa iv wamepungua wameanzisha ofis nyingine mikocheni
Matapeli Mimi nimewasikiliza mwanza Wana mambo ya kishirikina Mimi mzee wa upako nimeenda pale projo nyingi wanauliza Hadi kazi unayofanya, Hadi aseti ulizo nazo ukiwaambia huna Hela wanakwambia chukua mkopo, uza kiwanja, uza nyumba, aisee wasenge sana halafu wanawake wengine kuliko wanaume. Dah hii Dunia take care
 
Back
Top Bottom