Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Nimekutana na hii kitu yaitwa Q net and network marketing.

Aliyenipa maelezo anapromote Sana uzuri wa hii kitu bila kutaja risk na possible limitations . Mwisho naambiwa ninunue bidha worth of 7million kusajiliwa kwenye platform . Hapo ndipo tuliposhindwana.

Mwenye uelewa au ushuhuda wa hii kitu please ili ninapofanya maamuzi niwe well informed.

Duh!

Sasa hivi wamefuka milioni 7, si mchezo
 
Nimekutana na hii kitu yaitwa Q net and network marketing.

Aliyenipa maelezo anapromote Sana uzuri wa hii kitu bila kutaja risk na possible limitations . Mwisho naambiwa ninunue bidha worth of 7million kusajiliwa kwenye platform . Hapo ndipo tuliposhindwana.

Mwenye uelewa au ushuhuda wa hii kitu please ili ninapofanya maamuzi niwe well informed.
Lipa kwanza hako kamilioni 7 ndo uje humu kutafuta details ya hii kitu. Wacha uoga, try hard trying.
 
Utaibiwa mchana kweupe. Hao ni matapeli walioruhusiwa na serikali kutapeli "maboya" wanaotaka utajiri wa haraka.
 
Lipa kwanza hako kamilioni 7 ndo uje humu kutafuta details ya hii kitu. Wacha uoga, try hard trying.
Kabla sijajua kuna siku Dada mmoja naheshimiana naye ilinikurupusha,jiandae njoo Morocco kuna jambo muhimu 🤣🤣, faster nikatimba daah........staki kueleza mengi ila baada ya miaka 6 juzi ndiyo nimepokea Simu yake na amelizwa sana tu
 
Kabla sijajua kuna siku Dada mmoja naheshimiana naye ilinikurupusha,jiandae njoo Morocco kuna jambo muhimu 🤣🤣, faster nikatimba daah........staki kueleza mengi ila baada ya miaka 6 juzi ndiyo nimepokea Simu yake na amelizwa sana tu
Hahahaha..........bado roho Wa Mungu anakuzunguka ndo maana instict yako inakuongoza. Haya siyo mambo ya kujaribu hatakidogo. Huwezikuo umaskini kwa njia ya Qnet, sijui bitcoin. Haukuna.
 
Hahahaha..........bado roho Wa Mungu anakuzunguka ndo maana instict yako inakuongoza. Haya siyo mambo ya kujaribu hatakidogo. Huwezikuo umaskini kwa njia ya Qnet, sijui bitcoin. Haukuna.
Ila qnet ni yakijinga.........uniletee saa 5m? Mkanda sijui wa suluari? ........na vitu vingine vya kipuuzi puuzi........wataibiwa wajinga hiyo hela bora uwekeze hata stationary italipa ila siyo upuuzi wa qnet
 
Ila qnet ni yakijinga.........uniletee saa 5m? Mkanda sijui wa suluari? ........na vitu vingine vya kipuuzi puuzi........wataibiwa wajinga hiyo hela bora uwekeze hata stationary italipa ila siyo upuuzi wa qnet
Mimi nikikutanaga na mtu anaitwa motivational speaker natamanigi niwe na sime pembeni; hawa ndo wapotoshaji wakubwa. Matapeli wakubwa kuhusiana na hii michezo michafu.
 
Mimi nikikutanaga na mtu anaitwa motivational speaker natamanigi niwe na sime pembeni; hawa ndo wapotoshaji wakubwa. Matapeli wakubwa kuhusiana na hii michezo michafu.
Sure, wanazingua sana kama mtu ubongo unachanganya slowslow 🤣🤣........
 
Nimekutana na hii kitu yaitwa Q net and network marketing.

Aliyenipa maelezo anapromote Sana uzuri wa hii kitu bila kutaja risk na possible limitations . Mwisho naambiwa ninunue bidha worth of 7million kusajiliwa kwenye platform . Hapo ndipo tuliposhindwana.

Mwenye uelewa au ushuhuda wa hii kitu please ili ninapofanya maamuzi niwe well informed.
Mkuu hiyo kitu chatu siilifungiwa
 
Back
Top Bottom