Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Mambo 30 usiyoyajua kuhusu utapeli wa Q-Net (Network Marketing)

Afu kuna jamaa namheshimu sana ananipigia simu kila siku.... niende...nimuuliza hivi hiyo kampuni yenu inahusu nini maneno 200 hata haieleweki sasa nachojiuliza ajira kweli huwa ni yakulazimishana, kwanin asitafutwe mwingine nafasi yangu.... sasa ninachokifanya nawaenjoy tu mpaka wataacha kunipigia simu wao wenyewe
 
Kuna mmama namshimu saana alitak kuniingiza uko nikaenda semina cjui nikamkuta jamaa kavaa tai na nguo zimepauka eti ndo trainer nikakimbia nashangaa bi mama tunakutan kanisan nikimsalimia haitikii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alijua ashapataa bwegee mwinginee
 
Yan jamaa zangu2 walipigwa wakataka namimi nipigwe hahah walikua wanasumbua hao ,,,wanakuja na rafiki yao wa qnet alikua mfanya kazi wa benk kaacha eti qnet imemlipa siunaona gari alilonunua haha nikauliza ya kwao yakowapi eti mpaka uingize watu wawili sijui Ndio hela zako zinaingia nikaona upumbavu kuna siku mmoja akaniomba nimsindikize sehemu kumbe kwenda kukutana na hao qnet wengine sikujua,kufika full good morning nilistuka wakaanza kuongea jamaa wanaongea kama chereani nilikua na wachek mwisho wa siku wakataka nitoe 4m nikawambia Sina eti kopa Hata kwa rafiki yako nikamwambia hana nikopeshe jamaa alinikata jicho hahaha nikamuuliza kama amemaliza tuondoke eti inaelekea hujaelewa vizur wakataka waanze tena nikasepa wale, matapeli sana afu wajanja wanamtumia mtu wako wakaribu sana akuingize mkenge haha! Eti unanunua saa ya mil4 hata kuishika huishik unaishia kuona kwenye nakala zao tu hahaha unaibiwa huku unajiona!
 
Yan jamaa zangu2 walipigwa wakataka namimi nipigwe hahah walikua wanasumbua hao ,,,wanakuja na rafiki yao wa qnet alikua mfanya kazi wa benk kaacha eti qnet imemlipa siunaona gari alilonunua haha nikauliza ya kwao yakowapi eti mpaka uingize watu wawili sijui Ndio hela zako zinaingia nikaona upumbavu kuna siku mmoja akaniomba nimsindikize sehemu kumbe kwenda kukutana na hao qnet wengine sikujua,kufika full good morning nilistuka wakaanza kuongea jamaa wanaongea kama chereani nilikua na wachek mwisho wa siku wakataka nitoe 4m nikawambia Sina eti kopa Hata kwa rafiki yako nikamwambia hana nikopeshe jamaa alinikata jicho hahaha nikamuuliza kama amemaliza tuondoke eti inaelekea hujaelewa vizur wakataka waanze tena nikasepa wale, matapeli sana afu wajanja wanamtumia mtu wako wakaribu sana akuingize mkenge haha! Eti unanunua saa ya mil4 hata kuishika huishik unaishia kuona kwenye nakala zao tu hahaha unaibiwa huku unajiona!
Mm waliniacha hoi na Goodmorning saa 8 mchana pale Mikocheni unakuta vijana wanazunguka zunguka kwenye hyo jengo mikocheni B utadhan wana vitu vya maana kumbe mbwembwe ili utapeliwe tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mm waliniacha hoi na Goodmorning saa 8 mchana pale Mikocheni unakuta vijana wanazunguka zunguka kwenye hyo jengo mikocheni B utadhan wana vitu vya maana kumbe mbwembwe ili utapeliwe tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nilipelekwa kuangalia ata demu mkali nikapooze machungu ya kupotezewa muda wangu hakuna nikaondoka kinyonge
 
Good morning...
Qnet nimewakumbuka jamani. Walivonibembeleza pale mikocheni hadi kunialika kwenye mtoko wao pale hyatt hotel...hahaa. Wale jamaa wanaongea jaman khaa.. Et ninunue saa kwa 4m. Asanteni lakini walitulipia bili ya msosi tukala huku tunapunga upepo pale juu kabisa. Hivi waliishia wapi?
 
Good morning...
Qnet nimewakumbuka jamani. Walivonibembeleza pale mikocheni hadi kunialika kwenye mtoko wao pale hyatt hotel...hahaa. Wale jamaa wanaongea jaman khaa.. Et ninunue saa kwa 4m. Asanteni lakini walitulipia bili ya msosi tukala huku tunapunga upepo pale juu kabisa. Hivi waliishia wapi?
Kwahiyo Kikombe Cha Kupigwa Tu Hukukinywea Wewe
 
Nahitaji kujua kuhusiana na Qi net internet market ambayo Inakua inawork na e-commerce wengne wanasema n scum ila wachache wanasema ni nzuri nataka kufahamu zaidi kuhusu hii faida na asira anayefahamu tafadhali
 
Mkuu nenda youtube katafute habari zake tz hiyo kitu ni utapeli achana nayo kabisa
 
Back
Top Bottom