Dada yako kishapigwa ,mpe hai GOOD MORNING!!!!! [emoji23] [emoji1787]
Naona sasa hivi anahangaika kutafuta wajinga wenzake wawili.
Mimi nashukuru mtego niliuruka na naishukuru sana JF na sources nyingine kutoka google.Jamaa yangu aliyenipeleka kapigwa hela yake yote aliyoipata ktk internship,alikuwa na stress sasa hivi ndio amepata ajira ya kudumu.
Wale jamaa wa Qnet ukiwaona na maisha yao ya kuigiza,stori za kutunga,magari ya kuazima na yale mahesabu yao wanayokupigia,unaona baada ya miaka mitatu unampita MO.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mpe pole GOOOOOOD MOOOOORNING,alafu wana kusalimia hivyo saa saba mchana wale jamaa vichwa vyao sio vizima.