Nakubali mkuu
Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali mkuu
Atatafuta mwenyewe mkuu,milioni 4 kubwa Sana aiseemsaidie, mtafutie wateja wawili ili arudishe pesa yake.
Mkuu hebu Kama unawafahamu ungetueleza tu Hawa nao Ni kina naniWakuu Rythm Foundation mnawajua??????
Mimi siwafahamu ndiyo maana nimeomba msaada kwenu,kama kuna mtu anawafamu.Mkuu hebu Kama unawafahamu ungetueleza tu Hawa nao Ni kina nani
Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
Nyuzi zipo nyingi sana humu,.. Temana nao mzeee.Wadau naomba kufahamishwa kwa kina au kupata ufafanuzi wa kina kidogo kuhusiana na hii kampuni ya kibiashara aitwayo Qnet, ni hilo tu na natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante, daaaaaah waliniingia na mm ilibaki kidogo tu nitoe mpunga kumbe ni wapigaji, aiseeeee noma sanaNyuzi zipo nyingi sana humu,.. Temana nao mzeee.
Wewe ndio fursa hapo.
Wala sio koona tu, watu walishawashtukia siku nyingiHawa jamaa sijui kama bado wana hii biashara ya pyramid na usawa huu wa koona.
Washaniliza wale kupitia mwanangu, sina hamu nao kabisaHaha haaaaa..'good morning'.
Pole aisee, hata Bitclub advantage nayo iliwaliza wengi saaaaanaWashaniliza wale kupitia mwanangu, sina hamu nao kabisa