Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Wapiga kura wengi
1.kadi wamepoteza
2.wamesahau zilipo
3.walizitelekeza baada ya kupata za nida
4.wapo waliokata tamaa hawana mood ya kupiga kura.
5.Natumaini kampen zitawafufua waliopoteza na kusahau zilipo wazitafute,waliokata tamaa matumain yarudi
Wapiga kura wengi
1.kadi wamepoteza
2.wamesahau zilipo
3.walizitelekeza baada ya kupata za nida
4.wapo waliokata tamaa hawana mood ya kupiga kura.
5.Natumaini kampen zitawafufua waliopoteza na kusahau zilipo wazitafute,waliokata tamaa matumain yarudi
Ila wa ccm wamejiandikishaPamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Time yilonga. Tusonge mbele1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
Iweke kwenye matumaini tuTume inasema kuna wapiga kura 29m+, hiyo ni nusu ya watanzania wote. Sasa hii hoja yako tuiweke wapi?
Tume inasema kuna wapiga kura 29m+, hiyo ni nusu ya watanzania wote. Sasa hii hoja yako tuiweke wapi?
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
Mkuu hoja ya kwanza hadi ya nne,tume haina taarifa nazo. Unaweza ukapoteza kadi na tume isijue. Siku ya kupiga kura huwezi kukubaliwa bila hicho kitambulisho labda wabadili utaratibu dakika za mwisho kutumia vitambulisho vya nida,kazi etc
Hii nchi bhana, akienda JIWE nako watu watajaa zaidi ya hao...
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Kwa hiyo wapiga kura wa upinzani tu, ndio wamepoteza vitambulisho?
Waliojiandikisha ni wapi?.Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Jifunze kuficha upumbavu wako uliokubuhu kabla hali haijawa mbaya
Hali yako ya kulalwaIle hali mbaya yako ukiwa 'Unaingiliwa' au?
Hali yako ya kulalwa
Sijui Yule asiyejulikana Kama ni Bibi au binti anajisikiaje [emoji2957]Nilichokiona Mbeya leo Sugu atasubiri sana kushinda
Kwahiyo unataka kusemajeHi video haiendi sambamba na maneno ya lisu na matendo ya mashabiki. Kisha mbona video haionyeshi mwendelezo kutoka kwa mashabiki mpaka Lisu alipo?