Mambo ambayo mwanaume haupaswi kumfanyia mwanamke

Mambo ambayo mwanaume haupaswi kumfanyia mwanamke

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake

2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri

3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda

4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.

5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke

6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.

Learn or perish
 
1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake

2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri

3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda

4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.

5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke

6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.

Learn or perish
Una stress hii itumike kwa mkeo pekee nyambaf
 
1. Usimsomeshe, hiyo ni kazi ya mzazi wake

2. Usimuanzishie biashara, bali anzisha biashara na umwajiri

3. Usifanye uhalifu au deal yoyote illegal ili umridhishe mwanamke kwa kibunda

4. Usiweke mahitaji na matakwa yake kabla ya yako. Jitangulize na jipende wewe kwanza.

5. Usiitelekeze familia yako na marafiki zako kwa ajili ya mwanamke

6. Usiache kufikia malengo yako kwa sababu tu ya mwanamke.

Learn or perish
Naunga mkono 3 na 6...
 
Back
Top Bottom