Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Kwa sababu dini ndio inamambo mengi ya uongo yaliyoingizwa na wahuniMbona umeandika kupingapinga dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu dini ndio inamambo mengi ya uongo yaliyoingizwa na wahuniMbona umeandika kupingapinga dini
Uongo + uongo = ukweli uliotokana na uongo
Kijana anamihemko sana huyuMara Mkulima, mara Msomi, mara taikun wa falsaha, mara mzungu, mara mcheza karate, mara mwalimu wa silaha, mara mzee, mara kijana mara sijui
nn Ukweli+ uwongo ni Uwongo.
Tutajua tu.
na sibishi vyote
Mshua alitumbua mali bila kusaidia kuwatoa kiuchumi watoto wake, tena kwa kuwanyanyasa, anazeeka anakosa msaada kwa watoto eti anawatolea maneno ya laana, watu wanawaambia watoto mtalaaniwa, UONGOAnaandika Robert Heriel.
Leo tutajadili ishu ya UONGO dhidi ya UKWELI.
Katika Mantiki/Logic Ipo Hivi;
Ukweli + Ukweli = Ukweli
Ukweli + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo
Mara nyingi ukweli hujulikana zaidi kwenye matokeo/mwisho wa Jambo au muda.
Ukweli huwaga hauna Pande mbili. Yaani ukweli hautegemei mtazamo au Maoni ya MTU. Ukweli NI ukweli.
Ngoja nikupe mifano ya UKWELI
i. Moto unaunguza - KWELI
Hii hahitaji mjadala, Watu wote na viumbe wote hujua Moto unaunguza. Yaani hata kichaa anajua ukweli huo.
ii. Mapenzi yanaumiza - KWELI
Watu wote Duniani na viumbe vyote Duniani vinajua mapenzi yanaumiza.
Yafuatayo ni mambo ya UONGO AMBAYO watu wengi hujua NI ukweli.
1. Laana na Baraka - UONGO
Unaambiwa ukifanya hivi utalaaniwa au ukifanya hivi utabarikiwa. Huo ni Uongo.
Nitakupa mfano, Kwenye dini unafundishwa Fanya kazi Kwa nguvu na bidii ili ubarikiwe. Lakini unakuja kugundua wapo wanaofanya kazi hawafanikiwi, na wapo wasiofanya kazi wanafanikiwa. Mantiki ya Jambo hili ni Uongo.
Au unaambiwa kuna Laana ya Wazazi, lakini unakuja kuona wapo wanasiowaheshimu wazazi wao lakini wanaishi Kwa furaha na Maisha ya mafanikio, muda huohuo kuna wanaowaheshimu wazazi wao lakini wanateseka. Mwisho unahitimisha ni UONGO hakuna kitu kama hicho.
Ukweli NI huu; kila MTU au kiumbe kimeshaupangiwa nini kitafanya katika Maisha yake. Chochote ukifanyacho kipo katika Akili ya mtunzi aliyekubuni.
2. Kumwabudu Mungu ndio kufanikiwa - UONGO
Wapo wasiomuabudu Mungu na wamefanikiwa.
3. Yesu alikufa ili kutukomboa - UONGO
Dhana ya kusema bila ya Yesu Watu hawawezi kumuona Mungu ni UONGO kwasababu wapo ambao tayari walikuona huyo MUNGU hata Kabla ya Yesu kufa. Kimantiki hiyo stori ni ya uongo Kwa sababu tayari inapande mbili.
4. Kifo kililetwa na dhambi ya kula tunda pale Edeni - UONGO
Kwa sababu wapo viumbe ambao hawakula lile tunda na wanakufa. Wanyama, ndege na samaki, na mimea inakufa licha ya kuwa haikula lile tunda.
Kifo NI mfumo wa Maisha Kwa mwanadamu. Hakina mahusiano na masuala ya maadili.
5. Kutoa zaka unapata thawabu kutoka Kwa Mungu - UONGO
Ni uongo Kwa sababu wapo ambao hawatoi zaka lakini wamefanikiwa. Viongozi wa dini wasiseme Uongo katika hili, muulize kiongozi wako mbona kuna Watu hawatoi zaka na wanamaisha mazuri kuliko wanaotoa?
Kwa kifupi zaka ni malipo unayompa mchungaji au Sheikhe au kiongozi yeyote wa Kiroho mara baada ya kupokea Huduma Fulani. Kama huna Huduma yoyote uipatayo kwenye mambo ya Kiroho hautakiwi kutoa zaka.
Ukienda kanisani au msikitini lazima utoe zaka kwani unaenda kupata Huduma hizo.
Ngoja ninywe maji kisha narudi kupendele.
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Mshua alitumbua mali bila kusaidia kuwatoa kiuchumi watoto wake, tena kwa kuwanyanyasa, anazeeka anakosa msaada kwa watoto eti anawatolea maneno ya laana, watu wanawaambia watoto mtaaniwa, UONGO
Swali zuri sanaNina mambo kadhaa Nataka kujua kutoka kwako:
Unaelewa nini kuhusu baraka
Unaelewa nini kuhusu kufanikiwa
Ni kama wewe ulivyowatelekeza wazi wakoNi ujanja wa kuwatishia Watoto ili wasiwasahau wazazi, yaani kuwafanya nyara au mateka au watumwa wao.
Ni kama wewe ulivyowatelekeza wazi wako
Kwako wewe inaweza ikawa ukweli kwa mwingine uongo usidanganye watu😀😀
Imani n8 maamuzi tuu.
MTU anaweza kuamua kuamini lolote.
Ila ishu kuwa kweli sio uamuzi wa MTU binafsi. Ukweli ni ukweli bila kujali maamuzi ya mtu
Unajisikaje wewe unavyoishi mazuri wazazi wako wanaishi maisha ya dhiki una mambo mengine tunawafundisha vijana tabia ya ajabu😀😀
Mtoto hawezi kutelekeza wazazi wake.
Ila mzazi ndiye anaweza kutelekeza Watoto.
Mambo ya mantiki hayo Sheikhe!
Unajisikaje wewe unavyoishi mazuri wazazi wako wanaishi maisha ya dhiki una mambo mengine tunawafundisha vijana tabia ya ajabu
Kwako wewe inaweza ikawa ukweli kwa mwingine uongo usidanganye watu
Hii comment nimethitisha we ni mtoto sio kila mzee mwenye uhitaji alichezea maisha, na sio kila mwenye maisha magumu ni mvivu, kwa inavyoonekana unajichukulia ni perfect maisha hayako hivyo sisi ni binadamu tunateleza na tuna mapungufuNawafundisha Vijana wajifunze vyema, na kujiwekea Akiba ili wasijekuwa wategemezi hapo baadaye.
Hiyo ndio falsafa ninayowapa Vijana wa kileo.
Mzazi kuishi Maisha ya dhiki haina mahusiano yoyote na mtoto wake.
Moto unaendana na uo uongo na upotoshaji ulioandika asilimia kubwa umeongelea mambo ya ukristoKwa uelewa wako
Moto unaunguza, uongo au kweli?
Kila kiumbe kitakufa, uongo au kweli?
Ukweli hauna uhusiano na mitizamo au uelewa wa MTU. Ukweli ni Ukweli.
Uongo ndio unategemeana na MTU na MTU
Kumbe tupo wengi ila tumekaa kimya. Ama kweli sisi ni wasiri mno.Anaandika Robert Heriel.
Leo tutajadili ishu ya UONGO dhidi ya UKWELI.
Katika Mantiki/Logic Ipo Hivi;
Ukweli + Ukweli = Ukweli
Ukweli + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo
Mara nyingi ukweli hujulikana zaidi kwenye matokeo/mwisho wa Jambo au muda.
Ukweli huwaga hauna Pande mbili. Yaani ukweli hautegemei mtazamo au Maoni ya MTU. Ukweli NI ukweli.
Ngoja nikupe mifano ya UKWELI
i. Moto unaunguza - KWELI
Hii hahitaji mjadala, Watu wote na viumbe wote hujua Moto unaunguza. Yaani hata kichaa anajua ukweli huo.
ii. Mapenzi yanaumiza - KWELI
Watu wote Duniani na viumbe vyote Duniani vinajua mapenzi yanaumiza.
Yafuatayo ni mambo ya UONGO AMBAYO watu wengi hujua NI ukweli.
1. Laana na Baraka - UONGO
Unaambiwa ukifanya hivi utalaaniwa au ukifanya hivi utabarikiwa. Huo ni Uongo.
Nitakupa mfano, Kwenye dini unafundishwa Fanya kazi Kwa nguvu na bidii ili ubarikiwe. Lakini unakuja kugundua wapo wanaofanya kazi hawafanikiwi, na wapo wasiofanya kazi wanafanikiwa. Mantiki ya Jambo hili ni Uongo.
Au unaambiwa kuna Laana ya Wazazi, lakini unakuja kuona wapo wanasiowaheshimu wazazi wao lakini wanaishi Kwa furaha na Maisha ya mafanikio, muda huohuo kuna wanaowaheshimu wazazi wao lakini wanateseka. Mwisho unahitimisha ni UONGO hakuna kitu kama hicho.
Ukweli NI huu; kila MTU au kiumbe kimeshaupangiwa nini kitafanya katika Maisha yake. Chochote ukifanyacho kipo katika Akili ya mtunzi aliyekubuni.
2. Kumwabudu Mungu ndio kufanikiwa - UONGO
Wapo wasiomuabudu Mungu na wamefanikiwa.
3. Yesu alikufa ili kutukomboa - UONGO
Dhana ya kusema bila ya Yesu Watu hawawezi kumuona Mungu ni UONGO kwasababu wapo ambao tayari walikuona huyo MUNGU hata Kabla ya Yesu kufa. Kimantiki hiyo stori ni ya uongo Kwa sababu tayari inapande mbili.
4. Kifo kililetwa na dhambi ya kula tunda pale Edeni - UONGO
Kwa sababu wapo viumbe ambao hawakula lile tunda na wanakufa. Wanyama, ndege na samaki, na mimea inakufa licha ya kuwa haikula lile tunda.
Kifo NI mfumo wa Maisha Kwa mwanadamu. Hakina mahusiano na masuala ya maadili.
5. Kutoa zaka unapata thawabu kutoka Kwa Mungu - UONGO
Ni uongo Kwa sababu wapo ambao hawatoi zaka lakini wamefanikiwa. Viongozi wa dini wasiseme Uongo katika hili, muulize kiongozi wako mbona kuna Watu hawatoi zaka na wanamaisha mazuri kuliko wanaotoa?
Kwa kifupi zaka ni malipo unayompa mchungaji au Sheikhe au kiongozi yeyote wa Kiroho mara baada ya kupokea Huduma Fulani. Kama huna Huduma yoyote uipatayo kwenye mambo ya Kiroho hautakiwi kutoa zaka.
Ukienda kanisani au msikitini lazima utoe zaka kwani unaenda kupata Huduma hizo.
Ngoja ninywe maji kisha narudi kupendele.
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Hii comment nimethitisha we ni mtoto sio kila mzee mwenye uhitaji alichezea maisha, na sio kila mwenye maisha magumu ni mvivu
Kumbe tupo wengi ila tumekaa kimya. Ama kweli sisi ni wasiri mno.