Mambo ambayo ni uongo lakini yanajulikana ni kweli kwa wengi

Mambo ambayo ni uongo lakini yanajulikana ni kweli kwa wengi

Mara Mkulima, mara Msomi, mara taikun wa falsaha, mara mzungu, mara mcheza karate, mara mwalimu wa silaha, mara mzee, mara kijana mara sijui
nn Ukweli+ uwongo ni Uwongo.

Tutajua tu.

na sibishi vyote
Kijana anamihemko sana huyu
 
Anaandika Robert Heriel.

Leo tutajadili ishu ya UONGO dhidi ya UKWELI.
Katika Mantiki/Logic Ipo Hivi;
Ukweli + Ukweli = Ukweli
Ukweli + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo

Mara nyingi ukweli hujulikana zaidi kwenye matokeo/mwisho wa Jambo au muda.
Ukweli huwaga hauna Pande mbili. Yaani ukweli hautegemei mtazamo au Maoni ya MTU. Ukweli NI ukweli.

Ngoja nikupe mifano ya UKWELI
i. Moto unaunguza - KWELI
Hii hahitaji mjadala, Watu wote na viumbe wote hujua Moto unaunguza. Yaani hata kichaa anajua ukweli huo.

ii. Mapenzi yanaumiza - KWELI
Watu wote Duniani na viumbe vyote Duniani vinajua mapenzi yanaumiza.

Yafuatayo ni mambo ya UONGO AMBAYO watu wengi hujua NI ukweli.

1. Laana na Baraka - UONGO
Unaambiwa ukifanya hivi utalaaniwa au ukifanya hivi utabarikiwa. Huo ni Uongo.
Nitakupa mfano, Kwenye dini unafundishwa Fanya kazi Kwa nguvu na bidii ili ubarikiwe. Lakini unakuja kugundua wapo wanaofanya kazi hawafanikiwi, na wapo wasiofanya kazi wanafanikiwa. Mantiki ya Jambo hili ni Uongo.

Au unaambiwa kuna Laana ya Wazazi, lakini unakuja kuona wapo wanasiowaheshimu wazazi wao lakini wanaishi Kwa furaha na Maisha ya mafanikio, muda huohuo kuna wanaowaheshimu wazazi wao lakini wanateseka. Mwisho unahitimisha ni UONGO hakuna kitu kama hicho.

Ukweli NI huu; kila MTU au kiumbe kimeshaupangiwa nini kitafanya katika Maisha yake. Chochote ukifanyacho kipo katika Akili ya mtunzi aliyekubuni.

2. Kumwabudu Mungu ndio kufanikiwa - UONGO
Wapo wasiomuabudu Mungu na wamefanikiwa.

3. Yesu alikufa ili kutukomboa - UONGO
Dhana ya kusema bila ya Yesu Watu hawawezi kumuona Mungu ni UONGO kwasababu wapo ambao tayari walikuona huyo MUNGU hata Kabla ya Yesu kufa. Kimantiki hiyo stori ni ya uongo Kwa sababu tayari inapande mbili.

4. Kifo kililetwa na dhambi ya kula tunda pale Edeni - UONGO
Kwa sababu wapo viumbe ambao hawakula lile tunda na wanakufa. Wanyama, ndege na samaki, na mimea inakufa licha ya kuwa haikula lile tunda.
Kifo NI mfumo wa Maisha Kwa mwanadamu. Hakina mahusiano na masuala ya maadili.

5. Kutoa zaka unapata thawabu kutoka Kwa Mungu - UONGO
Ni uongo Kwa sababu wapo ambao hawatoi zaka lakini wamefanikiwa. Viongozi wa dini wasiseme Uongo katika hili, muulize kiongozi wako mbona kuna Watu hawatoi zaka na wanamaisha mazuri kuliko wanaotoa?

Kwa kifupi zaka ni malipo unayompa mchungaji au Sheikhe au kiongozi yeyote wa Kiroho mara baada ya kupokea Huduma Fulani. Kama huna Huduma yoyote uipatayo kwenye mambo ya Kiroho hautakiwi kutoa zaka.
Ukienda kanisani au msikitini lazima utoe zaka kwani unaenda kupata Huduma hizo.

Ngoja ninywe maji kisha narudi kupendele.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Mshua alitumbua mali bila kusaidia kuwatoa kiuchumi watoto wake, tena kwa kuwanyanyasa, anazeeka anakosa msaada kwa watoto eti anawatolea maneno ya laana, watu wanawaambia watoto mtalaaniwa, UONGO
 
Mshua alitumbua mali bila kusaidia kuwatoa kiuchumi watoto wake, tena kwa kuwanyanyasa, anazeeka anakosa msaada kwa watoto eti anawatolea maneno ya laana, watu wanawaambia watoto mtaaniwa, UONGO

Ni ujanja wa kuwatishia Watoto ili wasiwasahau wazazi, yaani kuwafanya nyara au mateka au watumwa wao.
 
Unajisikaje wewe unavyoishi mazuri wazazi wako wanaishi maisha ya dhiki una mambo mengine tunawafundisha vijana tabia ya ajabu

Nawafundisha Vijana wajifunze vyema, na kujiwekea Akiba ili wasijekuwa wategemezi hapo baadaye.

Hiyo ndio falsafa ninayowapa Vijana wa kileo.
Mzazi kuishi Maisha ya dhiki haina mahusiano yoyote na mtoto wake.
 
Nawafundisha Vijana wajifunze vyema, na kujiwekea Akiba ili wasijekuwa wategemezi hapo baadaye.

Hiyo ndio falsafa ninayowapa Vijana wa kileo.
Mzazi kuishi Maisha ya dhiki haina mahusiano yoyote na mtoto wake.
Hii comment nimethitisha we ni mtoto sio kila mzee mwenye uhitaji alichezea maisha, na sio kila mwenye maisha magumu ni mvivu, kwa inavyoonekana unajichukulia ni perfect maisha hayako hivyo sisi ni binadamu tunateleza na tuna mapungufu

Kuna watu waliweka saving kubwa kipindi Cha ujana, ghafla wameingia uzee magonjwa hayo wamejikuta wametumia ela nyingi alafu baada ya mda wanafilisika, Sasa wakikutana na mtu mwenye akili ndogo kama wewe utaishia kuwalaumu kwamba hawakusave ela
 
Kwa uelewa wako
Moto unaunguza, uongo au kweli?
Kila kiumbe kitakufa, uongo au kweli?
Ukweli hauna uhusiano na mitizamo au uelewa wa MTU. Ukweli ni Ukweli.
Uongo ndio unategemeana na MTU na MTU
Moto unaendana na uo uongo na upotoshaji ulioandika asilimia kubwa umeongelea mambo ya ukristo
 
Anaandika Robert Heriel.

Leo tutajadili ishu ya UONGO dhidi ya UKWELI.
Katika Mantiki/Logic Ipo Hivi;
Ukweli + Ukweli = Ukweli
Ukweli + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo
Uongo + Uongo = Uongo

Mara nyingi ukweli hujulikana zaidi kwenye matokeo/mwisho wa Jambo au muda.
Ukweli huwaga hauna Pande mbili. Yaani ukweli hautegemei mtazamo au Maoni ya MTU. Ukweli NI ukweli.

Ngoja nikupe mifano ya UKWELI
i. Moto unaunguza - KWELI
Hii hahitaji mjadala, Watu wote na viumbe wote hujua Moto unaunguza. Yaani hata kichaa anajua ukweli huo.

ii. Mapenzi yanaumiza - KWELI
Watu wote Duniani na viumbe vyote Duniani vinajua mapenzi yanaumiza.

Yafuatayo ni mambo ya UONGO AMBAYO watu wengi hujua NI ukweli.

1. Laana na Baraka - UONGO
Unaambiwa ukifanya hivi utalaaniwa au ukifanya hivi utabarikiwa. Huo ni Uongo.
Nitakupa mfano, Kwenye dini unafundishwa Fanya kazi Kwa nguvu na bidii ili ubarikiwe. Lakini unakuja kugundua wapo wanaofanya kazi hawafanikiwi, na wapo wasiofanya kazi wanafanikiwa. Mantiki ya Jambo hili ni Uongo.

Au unaambiwa kuna Laana ya Wazazi, lakini unakuja kuona wapo wanasiowaheshimu wazazi wao lakini wanaishi Kwa furaha na Maisha ya mafanikio, muda huohuo kuna wanaowaheshimu wazazi wao lakini wanateseka. Mwisho unahitimisha ni UONGO hakuna kitu kama hicho.

Ukweli NI huu; kila MTU au kiumbe kimeshaupangiwa nini kitafanya katika Maisha yake. Chochote ukifanyacho kipo katika Akili ya mtunzi aliyekubuni.

2. Kumwabudu Mungu ndio kufanikiwa - UONGO
Wapo wasiomuabudu Mungu na wamefanikiwa.

3. Yesu alikufa ili kutukomboa - UONGO
Dhana ya kusema bila ya Yesu Watu hawawezi kumuona Mungu ni UONGO kwasababu wapo ambao tayari walikuona huyo MUNGU hata Kabla ya Yesu kufa. Kimantiki hiyo stori ni ya uongo Kwa sababu tayari inapande mbili.

4. Kifo kililetwa na dhambi ya kula tunda pale Edeni - UONGO
Kwa sababu wapo viumbe ambao hawakula lile tunda na wanakufa. Wanyama, ndege na samaki, na mimea inakufa licha ya kuwa haikula lile tunda.
Kifo NI mfumo wa Maisha Kwa mwanadamu. Hakina mahusiano na masuala ya maadili.

5. Kutoa zaka unapata thawabu kutoka Kwa Mungu - UONGO
Ni uongo Kwa sababu wapo ambao hawatoi zaka lakini wamefanikiwa. Viongozi wa dini wasiseme Uongo katika hili, muulize kiongozi wako mbona kuna Watu hawatoi zaka na wanamaisha mazuri kuliko wanaotoa?

Kwa kifupi zaka ni malipo unayompa mchungaji au Sheikhe au kiongozi yeyote wa Kiroho mara baada ya kupokea Huduma Fulani. Kama huna Huduma yoyote uipatayo kwenye mambo ya Kiroho hautakiwi kutoa zaka.
Ukienda kanisani au msikitini lazima utoe zaka kwani unaenda kupata Huduma hizo.

Ngoja ninywe maji kisha narudi kupendele.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Kumbe tupo wengi ila tumekaa kimya. Ama kweli sisi ni wasiri mno.
 
Hii comment nimethitisha we ni mtoto sio kila mzee mwenye uhitaji alichezea maisha, na sio kila mwenye maisha magumu ni mvivu

Wapi nimesema kuwa Lila Mzee mhitaji amechezea Maisha?
Au mwenye Maisha magumu ni mvivu?

Yaani unakitungia maujinga yako yaliyopo kichwani Mwako unadhani kila MTU anawaza Kwa namna yako.


Ukitoa hoja zinazohusu kumkosoa MTU kosoa kile alichoeleza, na sio ukosoea ujinga uliomo kichwani Mwako ukidhani ndio mawazo ya MTU unayemkosoa.

Karibu Sana Mkuu
 
Kufanikiwa ni matokeo ya kutumia akili juu ya kiwango cha kawaida na si vinginevyo. Sio laana, sio baraka.
Akili inakufanya ujue jinsi dunia ya mali inavyokwenda.
 
Back
Top Bottom