Mambo ambayo ni uongo lakini yanajulikana ni kweli kwa wengi

Hapana ila lazima tukubali Kuna magwiji wanaopoteza muda wao kuchangia au Kutoa mada mbalimbali zinazofikirisha ubongo au kuwaza nje ya box kifikra sio vibaya kuwatambua.

Hakuna haja ya kuwa na kijiba Cha roho.
We endelea tu kuwasifia single mother.
 
Hapana ila lazima tukubali Kuna magwiji wanaopoteza muda wao kuchangia au Kutoa mada mbalimbali zinazofikirisha ubongo au kuwaza nje ya box kifikra sio vibaya kuwatambua.

Hakuna haja ya kuwa na kijiba Cha roho.
We endelea tu kuwasifia single mother.
Mimi nawatambua hata mimi kuna watu nawakubali kutokana na michango yao humu ila lazima niweke nafasi kuwa na sio mwisho wa kila kitu na hawi sahihi mara zote,sasa kinyume na hayo inakuwa ukondoo na uchawa kwa kuamini mawazo ya mtu fulani ni sahihi wakati wote na nikitaka kufikiri au kuwa na msimamo fulani lazima nisikie maneno ya mtu fulani kwanza.
 
Kipi ni pumba hapo?
Ingefaa ujadili Kwa hoja. Alafu siandiki ili niwe maarufu au nipate chochote, naandika ukweli na Haki.
Ukiona nimeandika Jambo kinyume na Haki na ukweli hapo uje uniseme tena Kwa hoja.
Yes ni pumba tu hizo na huo ni kwa mujibu wako, imani yako na ujuavyo kwa upeo wa uelewa wako.

Inaweza kua hivyo au tofauti kwa watu wengine. Inabidi ukubali hilo kwanza.
 
Kwenye zaka nilikuwa mbishi sana Ila tokea nimeanza kutoa nimeona tofauti kubwa
 
Ha ha ha.....
Ndugu mtoa mada,
Uzi wako uliuanza vizur Sana,
Ila umekuja kuuharibu kati na mwisho ulipoingilia iman/dini za watu kwa kuleta kebehi za waziwazi ili kutetea hoja zako

Mada za Hivi zinazogusa wengi wa imani tofauti hukupaswa kuleta hoja zenye viashiria vya udini
 
Kwa huu upuuzi wako unataka kusema hakuna Mungu?Baraka zipo na laana zipo,ukitaka laana endelea na mawazo yako yasiyo na tija,maisha hayapo kwa bahati mbaya .
 
Ukweli ni nin?
Trust and reality huwa vinawachanganya sana watu!!
Hakuna hata kimoja ambacho ni kweli katika mifano yako.
Reality is the electrical signal interpreted by your brain sio lazima iwe kweli.
 
Nawafundisha Vijana wajifunze vyema, na kujiwekea Akiba ili wasijekuwa wategemezi hapo baadaye.

Hiyo ndio falsafa ninayowapa Vijana wa kileo.
Mzazi kuishi Maisha ya dhiki haina mahusiano yoyote na mtoto wake.
Hayo ni ya wazungu.
Unatujazia uwongo.
Falsafa za Kimbari na za wazungu.

Mada kama hii haiwezi kubandikwa hata twitter.

Ulivyoandika ni vya kipuuzi puuzi ukiwa na lengo la kubadilisha mawazo na mtazamo wa kifalsafa za Mwafrika na binadamu kwa ujumla.
You are a poisonous fellow. Venomous to the mindset of people of this Universe let alone, your own white people. Wale wa Kanda maalum wamtizame huyu.

Vilevile....

Ni aibu kwa Jamiiforums kukuweka kwenye kura. Wewe haufai kabisa katika Jamii yeyote.
Ningekufungia.
Wikiendi Njema
 
Nawafundisha Vijana wajifunze vyema, na kujiwekea Akiba ili wasijekuwa wategemezi hapo baadaye.

Hiyo ndio falsafa ninayowapa Vijana wa kileo.
Mzazi kuishi Maisha ya dhiki haina mahusiano yoyote na mtoto wake.
Hapa Namimi nimeukamata uwongo wako kidogo.

Kama mzazi ametumia rasilimalizake kukusomesha akamaliza .mtaji kwaajili ya kulipia ada na maisha yakawa .agumu kwake utasemaje mtoto hajachangia kuzorotesha maisha ya mzaziwake.
 
Hapa Namimi nimeukamata uwongo wako kidogo.

Kama mzazi ametumia rasilimalizake kukusomesha akamaliza .mtaji kwaajili ya kulipia ada na maisha yakawa .agumu kwake utasemaje mtoto hajachangia kuzorotesha maisha ya mzaziwake.

Waafrika ni lini tutakuwa na Akili?
Unazaa bila kujua hesabu ya utakaowazaa?
 

Unaumwa wewe!

Mimi naongea uhalisia wewe unaleta mihemko yako.
Uafrika sio kuishi ndotoni.

Uafrika sio kufanya Watoto watumwa
Uafrika sio kuzaa hovyo Watoto kwa kutegemea Watoto watakuja kunisaidia.
Hizo ni dhana potofu.

Nitaendelea kusisitiza falsafa na dhana hizi kukomboa fikra za waafrika ambazo zimekuwa utumwani Kwa kipindi kirefu.

Kumtunza mzazi sio lazima, mahalo popote pale iwe duniani, mbinguni, mbugani au akhera.

Mimi sio wale wazazi ninaodanganya Watoto na kuwafanya wawe watumwa wa kifikra ATI nitumie hela nikubariki au nitumie Pesa Mimi Baba yako nikubariki.
Siwezi waambia Watoto wangu uongo kama huo.
Nitawaambia wafanye kazi Kwa bidii, Kwa Akili, wawe na uthubutu wa kufanya chochote ili mradi wasimdhuru yeyote. Watapata.

Mimi kama mzazi kazi yangu ni kuwapa Watoto moyo, kuwapa mbinu za kushinda katika Maisha Yao. Na sio kuhangaika kuwatishia na vitu vya uongouongo ili wanipe Pesa.

Hizo Akili hata wanyama wenyewe Hawana.

Mtoto akupe fedha Kwa upendo kama fadhila na sio akupe Pesa Kwa vitisho vya uongo kuwa atalaaniwa Jambo ambalo halipo au akupe fedha kama wajibu.

Nenda serikalini, njoo kwenye Dini, hakuna sheria kama hizo.

Ndio maana kuna mifuko ya kijamii kwaajili ya kuweka Akiba za uzeeni.
Ili ukiwa Mzee usisumbue Watu hasa kwenye ishu za kiuchumi.
Kuwa waafrika haimaanishi muwe wajinga.

Tangu umezaliwa uliwahi kusikia mtu kapelekwa Mahakamani kisa hajamsaidia Baba au Mama yake?
 
Ungeendelea na mauijinga yako bila ya kumtaja Mungu ingekuwa afadhali. Usijidai kujua mambo ambayo hauyajui. Dont be such a foolish!


JESUS IS LORD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…