Mambo ambayo ni uongo lakini yanajulikana ni kweli kwa wengi

Umeanza kukitumia kichwa chako vizuri sasa
 
Ni jukumu la mzazi kujiandalia maisha yake ya uzeeni.
Robert Heriel yupo sahihi.
Nasi Vijana twatakiwa tuanze maandalizi ya uzee wetu bila kutegemea kizazi kijacho.

Usichokielewa kipi?
Kujiandalia maisha yake ni pamoja na ku support watoto wake, mzazi anauza shamba akupeleke chuo baadae unasema hakujipanga! Kuweni na shukurani
 
Upuuzi mwingine wa kufungia mwaka
 
Hakuna huo uhalisia hapa Afrika. Kawadanganye Neandathral wenzako.

Ahsante kwa jibu(haukulazimishwa) kwani kwangu umethibitisha nilichosema, ukumbuke sikujibu hoja yako yeyote(kama zipo) bali dhumuni lako la bandiko.

Aluta Continua.
 
Wewe ni materialism na sio idealism

Jaribu kutomheshimu huyo mzazi kama utafanikiwa endapo amekulaani
 
Hakuna huo uhalisia hapa Afrika. Kawadanganye Neandathral wenzako.

Ahsante kwa jibu(haukulazimishwa) kwani kwangu umethibitisha nilichosema, ukumbuke sikujibu hoja yako yeyote(kama zipo) bali dhumuni lako la bandiko.

Aluta Continua.

Dhumuni langu unalijuaje na kulipimaje kama halipo kwenye hoja nilizoweka hapo juu?

Unasema Jambo uhalisia ni Kwa sababu wewe ni Abunuasi, unaishi kwenye ndoto
 
Wewe ni materialism na sio idealism

Jaribu kutomheshimu huyo mzazi kama utafanikiwa endapo amekulaani

Hakuna kitu kama hicho.
Wapo wanaowaheshimu wazazi wao na Maisha Yao ni zaidi ya Laana.
Wapo wasiowaheshimu na wanaishi Maisha mazuri.

Ninachoeleza hapa ni kuwa Jambo lolote likiwa lenye Pande mbili basi jua Hilo ni uongouongo!
Nikakupa mfano, Moto unaunguza, jibu ni ndio. Hakuna MTU duniani atakayesema Moto hauunguzi. Hivyo jibu ni kweli.

Tukija kwenye Laana, wapo wazazi waliwalaani Watoto wao kuwa hawatafanikiwa iwe kielimu au kitaaluma lakini Watoto haohao wamefanikiwa.
Hapo ndipo tunasema Jambo Hilo ni uongo.

Kama baraka zingekuwa za kweli, basi kila mzazi anavyobariki Watoto wake wangebarikiwa na kufanikiwa katika Maisha.

Nenda Kwa wazazi wako waambie wakubarariki au wewe Wabariki Watoto wako vile utakavyo uone kama watabarikiwa.

MTU kujibariki anashindwa sembuse kubariki MTU mwingine (mtoto) huo ni uongo
 
Hahahahaha!!! Hapa umeua kabisa mwambaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
ROBERT HERIEL laana ipo babu. Acha kabisa ilo eneo. Usiombe yakukute.

Unaelezeaje waliolaaniwa na Wazazi wao lakini Laana haikamati?
Kwenye Logic tunaitaje hiyo Scenario?
Ndio hoja Ipo hivyo.

Uzi huu upo kisayansi, Logically.
Watu wanajadili Mapokeo walioyakuta kwenye jamii.

Ni sawasawa na Albadiri. Wapo walioombewa Albadiri haijawadhuru, na hakuna ushahidi wa walioombewa Albadiri wakadhurika. Hivyo hapo kimantiki jibu ni uongo.
 
Dhumuni langu unalijuaje na kulipimaje kama halipo kwenye hoja nilizoweka hapo juu?

Unasema Jambo uhalisia ni Kwa sababu wewe ni Abunuasi, unaishi kwenye ndoto
Sawa ulichosema, hakika hakuna hoja zaidi ya Sumu.
...isitoshe, ni wewe uliyeleta "Uhalisia" na sumu zako.... na kama kawaida zenu Neanderthal, na reverse psychology na matusi.
Utaeleweka tuu
 
Sawa ulichosema, hakika hakuna hoja zaidi ya Sumu.
...isitoshe, ni wewe uliyeleta "Uhalisia" na sumu zako.... na kama kawaida zenu Neanderthal, na reverse psychology na matusi.
Utaeleweka tuu

Ndio maana nikakuambia jamii bado inaathari Mbaya ya Mapokeo. Wewe ni mmoja wa walioathirika.

Nakupa mfano mwingine,
Maombi yanaponya? Jibu linapande mbili, ndio au hapana. Hivyo kimantiki ni Uongo.
Kwa sababu wapo wanaoombewa hawaponi, na wapo wanaoombewa wanapona.

Hapa tunajadili Logic wewe unaleta mambo ya Mapokeo ya Mababu
 
Ha ha naona sumu uliyonayo hujaishika vizuri. Inakuathiri wewe muathirika Inakuingia sasa. Kanywe uji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…