Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Umesoma foundind Charter yake?

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)The Call to Jihad:------------------'The day the enemies usurp part of Moslem land, Jihad becomes theindividual duty of every Moslem. In the face of the Jews' usurpation,it is compulsory that the banner of Jihad be raised.' (Article 15)'Ranks will close, fighters joining other fighters, and masseseverywhere in the Islamic world will come forward in response to thecall of duty, loudly proclaiming: 'Hail to Jihad!'. This cry willreach the heavens and will go on being resounded until liberation isachieved, the invaders vanquished and Allah's victory comes about.'(Article 33)
Hamas imeitwa kundi la kigaidi baada ya oct 7,kabla ya hapo mbona haikuwa hivyo?Inamaana hiyo article West hawakuiona?kuclaim ardhi yako sio ugaidi
 
Hamas ndio watu pekee wanawatumia watoto kwenye vita mfano huwatumia watoto kuwarushia mawe wanajeshi wa Israel,huwafindisha watoto chuki kuwatukana wanajeshi wa Israel kuwanenea lugha isiyofaa,pia hamas huficha silaha zao kwenye shule za watoto,kwenye misikiti, hospital na Hamas hujificha shuleni kipindi cha mapambano huwatumia watoto kama kinga na huweka picha za watoto wadogo kutafuta huruma za Dunia, Hamas inafaa washtakiwe ni kwa kuwatumia watoto kwenye ugaidi na kuweka miundo mbinu ya kigaidi shule za watoto na hospital na kambi za wakimbizi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Uko brainwashed na unapelekwa tu!Hao Hamas wako occupied West bank?Hamas wako Gaza,sasa hayo niliyoandika yanawakumba wapalestina wote,wa Gaza na West bank!
Yaani mtu anakalia ardhi yako kimabavu,unatakiwa utulie tu!Upangiwe muda wa kutoka ndani na muda wa kurudi,uishi kama mnyama anayefugwa!Halafu eti unaleta story za watoto kufundishwa kurusha mawe,so what?Ndio akimpiga jiwe Askari,ndio apelekwe military court na kuhukumiwa miaka mpaka 20 jela?Uko serious?
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Israel is last remaining apartheid country in the world.
 
Hapa Mimi nimeleta kile nilichokuwa sijui Kama kipo!Wewe ulichojibu no kuwa kinachofanyika ni sahihi maana Israel anajilinda Kama nimekuelewa!
Ndio nahoji,Kuna uhalali wa collective punishment?

Mkuu unataka twende kwenye rules of War engagements..... Huwa ni za kwenye makaratasi tu! Second World War unafahamu scale of destruction iliyofanyika Ujerumani? Hakuna proportion war, yaani wewe ukiuwa watano, na mimi niuwe upande wako watu watano...Vita siku zote ni destruction of your enemy.PERIOD

Hamas waliopoenda kufanya Mashambulizi October 7 Hawakuwa na guideline yoyote ya rules of engagement! Ilikuwa ni destruction yoyote ile kwa adui yao Myahudi, Sasa kwa nini Israel ipigane kwa different standard!
Vita sio kitu kizuri, naamini Hamas anajua hilo ndio maana alifanya investment kubwa kwenye Mahandaki....alikuwa anajua adui yake ana uwezo gani.....Collective punishment is part of War, achana na makaratasi ya Geneva convention ambayo huwa yanatengenezwa wakati wa amani...
 
Mkuu unataka twende kwenye rules of War engagements..... Huwa ni za kwenye makaratasi tu! Second World War unafahamu scale of destruction iliyofanyika Ujerumani? Hakuna proportion war, yaani wewe ukiuwa watano, na mimi niuwe upande wako watu watano...Vita siku zote ni destruction of your enemy.PERIOD

Hamas waliopoenda kufanya Mashambulizi October 7 Hawakuwa na guideline yoyote ya rules of engagement! Ilikuwa ni destruction yoyote ile kwa adui yao Myahudi, Sasa kwa nini Israel ipigane kwa different standard!
Vita sio kitu kizuri, naamini Hamas anajua hilo ndio maana alifanya investment kubwa kwenye Mahandaki....alikuwa anajua adui yake ana uwezo gani.....Collective punishment is part of War, achana na makaratasi ya Geneva convention ambayo huwa yanatengenezwa wakati wa amani...
Wewe umeongelea baada ya oct 7 na vita vya Gaza,Mimi nasema wapalestina wamekuwa wakiyaishi maisha hayo kabla ya oct 7!Yaani niliyotaja hapo juu,yote yamekuwa yakifanyika ila Mimi nimeyajua baada ya hii vita!
So,jielekeze hapo!
 
Uko brainwashed na unapelekwa tu!Hao Hamas wako occupied West bank?Hamas wako Gaza,sasa hayo niliyoandika yanawakumba wapalestina wote,wa Gaza na West bank!
Yaani mtu anakalia ardhi yako kimabavu,unatakiwa utulie tu!Upangiwe muda wa kutoka ndani na muda wa kurudi,uishi kama mnyama anayefugwa!Halafu eti unaleta story za watoto kufundishwa kurusha mawe,so what?Ndio akimpiga jiwe Askari,ndio apelekwe military court na kuhukumiwa miaka mpaka 20 jela?Uko serious?

Mkuu Borne -e :

Ondoa swala kuwa brainwashed mkuu, kila mtu humu ndani ameamua kufuata narrative yake! Mimi naweza kukuona uko brainwashed.....na wewe kwangu pia! Hata ukileta facts zako hata zangu zitapata interpretation tofauti!

Unaposema amekalia ardhi kimabavu...ni ardhi ipi hiyo? Ni ule mgawanyo uliko katika UN Resolution 181 ya 1947? Au ambao Israel imechukua katika vita vya 1948, 1967, 1973?

Hivyo ni vigumu wote humu kuwa na lense moja....Halafu kuna factor ya dini pia...usisahau yote hayo unapozungumzia mgogoro huu!.
 
Wewe umeongelea baada ya oct 7 na vita vya Gaza,Mimi nasema wapalestina wamekuwa wakiyaishi maisha hayo kabla ya oct 7!Yaani niliyotaja hapo juu,yote yamekuwa yakifanyika ila Mimi nimeyajua baada ya hii vita!
So,jielekeze hapo!

Mkuu mbona husemi pia Israel imekuwa ikiishi maisha gani toka wakati wowote utakao chagua wewe...Iwe 1948....1967...1973...mpaka leo! Ni roketi ngapi zinarushwa mkuu....Kuna narratives ya kulewa kwa kila upande.
 
Mkuu mbona husemi pia Israel imekuwa ikiishi maisha gani toka wakati wowote utakao chagua wewe...Iwe 1948....1967...1973...mpaka leo! Ni roketi ngapi zinarushwa mkuu....Kuna narratives ya kulewa kwa kila upande.
Mkuu Mimi nimeongelea upande wa Palestine na kinachowakuta raia wakubwa kwa watoto!So mbaya nawe ukaandika ambayo wananchi wa Israel wanakumbana nayo kutoka kwa wapalestina!
 
Baby killers mwaka jana kuna wanajeshi wa israel waliwauwa watoto wa wanne wa palestina watoto walikuwa tu wanacheza ufukwen wao wakawapa shaba

Balance your information mkuu....Hamas alichofanya October 7 ni nini mkuu? Kama sio Baby Killers.....Unajua idadi ya suicide kwenye mabasi, mikahawa West bank....? Hao suicidal bombers walikuwa wanaua panya?
 
Hamas ndio watu pekee wanawatumia watoto kwenye vita mfano huwatumia watoto kuwarushia mawe wanajeshi wa Israel,huwafindisha watoto chuki kuwatukana wanajeshi wa Israel kuwanenea lugha isiyofaa,pia hamas huficha silaha zao kwenye shule za watoto,kwenye misikiti, hospital na Hamas hujificha shuleni kipindi cha mapambano huwatumia watoto kama kinga na huweka picha za watoto wadogo kutafuta huruma za Dunia, Hamas inafaa washtakiwe ni kwa kuwatumia watoto kwenye ugaidi na kuweka miundo mbinu ya kigaidi shule za watoto na hospital na kambi za wakimbizi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?

Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini.

Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani.
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Tz chadema akiguswa tu na risasi marekani hao wanalaani. Lkn sasa hivi hatuwasikilizi tena
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Sheria za ugaidi ndizo zinazofanya kazi hiyo hata Tanzania mlilazimishwa kutunga sheria zinazoendana na mdundo huo baada ya kimbembe cha kujilipua kilipotokea mwaka 1998 Dar Es Salaam kwenye ubalozi wa Marekani.

Kwa hiyo hapa wala usisingizie Israel ambayo imezungukwa na nchi zenye jamii ya kijicho, chuki na uchokozi karibu asilimia 80% ya pande zote ikimaanisha Lebanoni, Syria, Jordan, Gaza strip, West bank zikihanikizwa viburi na Iran, Iraq, Yemen na Uturuki.

Nchi za kiarabu zenye watu wenye roho isyo na visasi dhidi ya Israel ni Qatar, Saudi Arabia, UAE na kwa mbali Egypty
 
Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?

Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini.

Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani

Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?

Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini.

Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani.

Mathewa:

Ukivaa viatu vya Israel toka 1947 ...na Vita vya 1948, 1967, 1973 na Mambo tunayoona Gaza lazima uchukue hatua ambayo Israel inachukua....Na Ukivaa viatu vya Wapelestine.....Kabla ya 1948 walikuwa wanajitambulisha kama Waarabu tu...ingawa eneo lilikuwa linaitwa Palestine...na Baada ya kuwa wanashindwa kila Vita, yaani 1948, 1967, 1973....na lazima wafanye walichokifanya October 7! Hawana option, kila option imeshindwa kufanya kazi, na inaonekana hakuna itakayofanya kazi! Hivyo Mkuu ni wewe kuamua ni narrative gani umeamua kuifuata.....
 
Back
Top Bottom