Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
Ndio maana katika sheria za Kiyahudi, umri wa mtu mzima unaanzia miaka 12 .Muisrael mwenye miaka 5 uwezo wake wa akili anamzidi Mtanzania mwenye miaka 40 na Wapalestina ni hivyo hivyo
Wenzenu mambo ya umri siyo kigezo tena!
Hamas imeitwa kundi la kigaidi baada ya oct 7,kabla ya hapo mbona haikuwa hivyo?Inamaana hiyo article West hawakuiona?kuclaim ardhi yako sio ugaidiUmesoma foundind Charter yake?
Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinianmovement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life isIslam. It strives to raise the banner of Allah over every inch ofPalestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam willobliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)The Exclusive Moslem Nature of the Area:----------------------------------------'The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No onecan renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, theLiberation of Palestine is an individual duty for every Moslemwherever he may be.' (Article 13)The Call to Jihad:------------------'The day the enemies usurp part of Moslem land, Jihad becomes theindividual duty of every Moslem. In the face of the Jews' usurpation,it is compulsory that the banner of Jihad be raised.' (Article 15)'Ranks will close, fighters joining other fighters, and masseseverywhere in the Islamic world will come forward in response to thecall of duty, loudly proclaiming: 'Hail to Jihad!'. This cry willreach the heavens and will go on being resounded until liberation isachieved, the invaders vanquished and Allah's victory comes about.'(Article 33)
Siku moja moja utumiage akiliMuisrael mwenye miaka 5 uwezo wake wa akili anamzidi Mtanzania mwenye miaka 40 na Wapalestina ni hivyo hivyo
Wenzenu mambo ya umri siyo kigezo tena!
Umeshapanic 😂😂Akili Za Kindezi na Kitumwa
😂😂😂😂Siku moja moja utumiage akili
Uko brainwashed na unapelekwa tu!Hao Hamas wako occupied West bank?Hamas wako Gaza,sasa hayo niliyoandika yanawakumba wapalestina wote,wa Gaza na West bank!Hamas ndio watu pekee wanawatumia watoto kwenye vita mfano huwatumia watoto kuwarushia mawe wanajeshi wa Israel,huwafindisha watoto chuki kuwatukana wanajeshi wa Israel kuwanenea lugha isiyofaa,pia hamas huficha silaha zao kwenye shule za watoto,kwenye misikiti, hospital na Hamas hujificha shuleni kipindi cha mapambano huwatumia watoto kama kinga na huweka picha za watoto wadogo kutafuta huruma za Dunia, Hamas inafaa washtakiwe ni kwa kuwatumia watoto kwenye ugaidi na kuweka miundo mbinu ya kigaidi shule za watoto na hospital na kambi za wakimbizi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
na uenda na wewe ukaenda kuuhubiri huu uwongo uko mtaani.teh Teh tehDuh! Hiyo namba 4 funga mwaka
Israel is last remaining apartheid country in the world.Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Hapa Mimi nimeleta kile nilichokuwa sijui Kama kipo!Wewe ulichojibu no kuwa kinachofanyika ni sahihi maana Israel anajilinda Kama nimekuelewa!
Ndio nahoji,Kuna uhalali wa collective punishment?
Wewe umeongelea baada ya oct 7 na vita vya Gaza,Mimi nasema wapalestina wamekuwa wakiyaishi maisha hayo kabla ya oct 7!Yaani niliyotaja hapo juu,yote yamekuwa yakifanyika ila Mimi nimeyajua baada ya hii vita!Mkuu unataka twende kwenye rules of War engagements..... Huwa ni za kwenye makaratasi tu! Second World War unafahamu scale of destruction iliyofanyika Ujerumani? Hakuna proportion war, yaani wewe ukiuwa watano, na mimi niuwe upande wako watu watano...Vita siku zote ni destruction of your enemy.PERIOD
Hamas waliopoenda kufanya Mashambulizi October 7 Hawakuwa na guideline yoyote ya rules of engagement! Ilikuwa ni destruction yoyote ile kwa adui yao Myahudi, Sasa kwa nini Israel ipigane kwa different standard!
Vita sio kitu kizuri, naamini Hamas anajua hilo ndio maana alifanya investment kubwa kwenye Mahandaki....alikuwa anajua adui yake ana uwezo gani.....Collective punishment is part of War, achana na makaratasi ya Geneva convention ambayo huwa yanatengenezwa wakati wa amani...
Uko brainwashed na unapelekwa tu!Hao Hamas wako occupied West bank?Hamas wako Gaza,sasa hayo niliyoandika yanawakumba wapalestina wote,wa Gaza na West bank!
Yaani mtu anakalia ardhi yako kimabavu,unatakiwa utulie tu!Upangiwe muda wa kutoka ndani na muda wa kurudi,uishi kama mnyama anayefugwa!Halafu eti unaleta story za watoto kufundishwa kurusha mawe,so what?Ndio akimpiga jiwe Askari,ndio apelekwe military court na kuhukumiwa miaka mpaka 20 jela?Uko serious?
Wewe umeongelea baada ya oct 7 na vita vya Gaza,Mimi nasema wapalestina wamekuwa wakiyaishi maisha hayo kabla ya oct 7!Yaani niliyotaja hapo juu,yote yamekuwa yakifanyika ila Mimi nimeyajua baada ya hii vita!
So,jielekeze hapo!
Mkuu Mimi nimeongelea upande wa Palestine na kinachowakuta raia wakubwa kwa watoto!So mbaya nawe ukaandika ambayo wananchi wa Israel wanakumbana nayo kutoka kwa wapalestina!Mkuu mbona husemi pia Israel imekuwa ikiishi maisha gani toka wakati wowote utakao chagua wewe...Iwe 1948....1967...1973...mpaka leo! Ni roketi ngapi zinarushwa mkuu....Kuna narratives ya kulewa kwa kila upande.
Baby killers mwaka jana kuna wanajeshi wa israel waliwauwa watoto wa wanne wa palestina watoto walikuwa tu wanacheza ufukwen wao wakawapa shaba
Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?Hamas ndio watu pekee wanawatumia watoto kwenye vita mfano huwatumia watoto kuwarushia mawe wanajeshi wa Israel,huwafindisha watoto chuki kuwatukana wanajeshi wa Israel kuwanenea lugha isiyofaa,pia hamas huficha silaha zao kwenye shule za watoto,kwenye misikiti, hospital na Hamas hujificha shuleni kipindi cha mapambano huwatumia watoto kama kinga na huweka picha za watoto wadogo kutafuta huruma za Dunia, Hamas inafaa washtakiwe ni kwa kuwatumia watoto kwenye ugaidi na kuweka miundo mbinu ya kigaidi shule za watoto na hospital na kambi za wakimbizi
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuhubiri uongo ilihali una smartphone yenye internet na resources zote zenye kukuwezesha kutambua uhalisia wa jambo husika ni matumizi mabaya ya mtandao, bila kusahau teknolojia inaumbua.na uenda na wewe ukaenda kuuhubiri huu uwongo uko mtaani.teh Teh teh
Tz chadema akiguswa tu na risasi marekani hao wanalaani. Lkn sasa hivi hatuwasikilizi tenaKwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Sheria za ugaidi ndizo zinazofanya kazi hiyo hata Tanzania mlilazimishwa kutunga sheria zinazoendana na mdundo huo baada ya kimbembe cha kujilipua kilipotokea mwaka 1998 Dar Es Salaam kwenye ubalozi wa Marekani.Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?
Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini.
Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani
Hivi umewahi kufuatilia Israel wanachowafanyia wapalestina wa ukingo wa magharibi?
Ukitaka kuuelewa huu mgogoro usichague upande kwanza. Fuatilia kwa kina utajua nani anafanya nini.
Halafu jaribu kuvaa viatu vya kila mmoja wao uone ungechukua hatua gani.