mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Rais wa Egypt amewekwa na USA kwa maslahi ya Israel. Sasa wewe hapo unategemea nini?Mkuu usisahau moto ambao Waarabu wamesukumia Wapalestina....! Unajua Mfalme wa Jordan aliwanyia nini mwaka 1970/71....Huwezi kusikia Waarabu wanazungumza......Sina haja ya Kwenda mbali, si umeona vita hii, ni nani kaamunua kwenda kusaidia! Egypty ilifunga kabisa mipaka yake, mpaka ilipobembelezwa na na US kwa hongo nyuma yake! Unajua ni kwa nini....Hamas wana Ideology Moslem Brotherhood....Imeisumbua Misri miaka yote.....Nimekumbuka hata Kuwait iliwafukuza.....Wewe unajua kuliko Waarabu ? Wanajua wanafanya nini....
Una matatizo sio bure wacha nikuache.
Sudan wanapigana wao kwa wao. Sasa hapo kama una akili timamj huwezi kuchagja upandeNdio maana mnashindwa kupinga Boko Haram....kwa sababu ni Waafrika wenzetu......Mbona Sudan mko kimya....? Unajua ni nini kinafanyika huko.....?
Rais wa Egypt amewekwa na USA kwa maslahi ya Israel. Sasa wewe hapo unategemea nini?
Sudan wanapigana wao kwa wao. Sasa hapo kama una akili timamj huwezi kuchagja upande
kisasi hichoKwani wale watoto wa Israel zaidi ya 200 waliokuwa kwenye tamasha la muziki wakauliwa na magaidi ya Hamas 7/10, walikuwa na mabomu?!
Acha ujingaMwisho utasema Ayatollah Ali Khamanei kwawekwa na US.....!
Mimi sikuzote ninachaguwa wanao onewaIla ukiwa na akili unachagua Hamas...?
Kwa hiyo Sudan hakuna wanao onewa? Ni akili kweli?M
Mimi sik
M
Mimi sikuzote ninachaguwa wanao onewa
Nani mjinga...kama Rais wa Egypt kawekwa na USA....Kwa nini asiwe pia na wa Iran...? Mwisho utaishia kusema hata kiongozi wa Hamas kawekwa na Israel.....Huna hoja...!Acha ujinga
Hakuna zaidi ya kugombania madarakaKwa hiyo Sudan hakuna wanao onewa? Ni akili kweli?
Madaraka ili wanyie nayo nini...? Sio kutawala nchi.....Hamas anataka nini.....si kutawala pia....Lakini nani anataka kumuonea mwenzake....Hilo hilioni?Hakuna zaidi ya kugombania madaraka
Kwahiyo akili yako inakutuma kama USA amefanikiwa Egypt, basi atafanikiwa kila nchi?Nani mjinga...kama Rais wa Egypt kawekwa na USA....Kwa nini asiwe pia na wa Iran...? Mwisho utaishia kusema hata kiongozi wa Hamas kawekwa na Israel.....Huna hoja...!
Kwahiyo akili yako inakutuma kama USA amefanikiwa Egypt, basi atafanikiwa kila nchi?
Kwaio watu kujilinda na ardhi yao mnawaita magaidi miaka yote wamavizi wa israel wanavyowaua wapalestina mlikuwa hamuon
hii ishadhihirika kwamba ni uongoResistance group ya kuchoma vitoto vidogo moto, kuteka, kubaka na kuua raia wasiokua na silaha.
Ushahidi video za hamas tena wamejirecord wenyewe wakifanya ukatiliToa ushaidi wa hizo tuhuma
Mm hii vita ya Israel na Hamas imezidi kunithibitishia kuwa Waislam ni majitu yenye hasira wakati woteKwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!
1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!
2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!
3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!
4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!
5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!
Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
hii ishadhihirika kwamba ni uongo