Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Mambo ambayo sikuwa nayafahamu kuhusu Israel kabla ya "Gaza war"!

Achana na dini hizo mbili yan wayahud na waislam, nan kamvamia mwenzie kwenye land ambayo sio yake na analeta ubabe kisa tu ana backup ya western countries ?
wewe hujui na hutak kujua , hapo wayaudi walikwepo tangu zamani ila waarab wanakudanganyen wajinga nyiny kuwa wote walikuja mwaka 1861 hadi 1948 , sasa wayaudi waislam wangetokea wap? wayaudi walikwepp hapo na hao ndo wanahalilisha kwa kugawanywa kwa taifa la palestina baina ya waarab na wayaudi na eneo walilopewa wayaudi ndo wakapeleka wazayuni mf leo pakistan apeleke wazungu kama raia halaf India aseme hapana eneo hilo ni langu sio la wazungu wkt washangawana tyr eneo , UKIWASIKILIZA WAISLAM HUTOELEWA LOLOTE , FUATILIA PIA NA UPANDE WA PILI UELEWE
 
Katibu mkuu wa baraza la umoja wa mataifa juz juz tu hapa, alisema hiv haya ambayo wameyafanya Hamas pamoja na ubaya wao kuua raia na nini, sio mambo ambayo yamejitokeza tu yana historia yake, baloz wa israel umoja wa mataifa kamwambia ajiuzuru, akamtukana sana.



Kinachotokea gaza leo kina historia yake na historia yake ina zaid ya miaka sabin, inaanzia 1948, taifa la israel lilipo anzishwa kwenye ardi za waarabu ambao kwa asilimia kubwa huwa ni waislam, taifa la Israel limeanzishwa kwenye ardhi za Wapalestina, kwa kuwafukuza Wapalestina kwenye maeneo yao na kuwafanya wakimbizi, Misri, Lebanon, Jordan ambao hawakukimbia hawakukimbia walipelekwa Gaza na wengine wamepelekwa ukingo wa magharibi wa mto jordan, kwa ambao hawajui Gaza ni gereza au wanasemaga ni consetration camp, Kama zile za wayahud wakat wa hitler, kila kitu kinadhibitiwa na Israel, chakula, maji hayaingii bila Israel kuruhusu, na wamechukua maeneo yote ya West Bank huko na barabarani kuna road block za wanajesh wa Israel hasa jaman huo si ni uonev, haya wanayofanya ISRAEL yangefanywa UKRAINE, wazungu wangeita GENOCIDE,

Hata wewe kwa hali hiyo ungekubali ? Ndio mana kila siku wanagombana na kupelekea wao kutunga hizo sheria zao za kipuuz, me siwatetei hamasi ila LAND NI YA WAPALESTINA
unaandika historia kinafiki sana , hapo wayaudi walikwepo hata kabla ya mwaka 1861 ndio maana unawakuta wayaudi ambao ni waislam , ila waarabu wanawadanganyeni kuwa wayaudi walikuja juz , la pili hao wakimbizi ni matokeo ya ujinga wa viongoz wa kiarab kama unavyoona wakimbiz waliopo ulaya kutoka mataifa ya kiarabu hapo , Mwaka 1948 kila mtu alipewa eneo lake na hakukuwa na mkimbiz yeyote ila waarabu wakaacha kupambana kuunda serikali inayotambulika kimataifa wakawekeza kwenye kuivamia Israel , wkt huo Israel wakapambana kuunda serikali na wakafanikiwa , wakimbiz wa kiarabu wanakuja kutokea baada ya Waarab kuwavamia waisrael , hata wewe ukivamiwa mara mbili na jiran yako lzm utamdunda na kumtoa jiran yako ili upate usingiz mzur na huyu jirab hakomi kutoka huko mbali kidogo anarud kukushambulia , na ndivyo Israel amekuwa akiwasogeza mbali mpk wamefikia kuishi hapo Gaza na kawawekea uzio kbs ili kujihakikishia usalama , waarabu ni watu wajinga wanatengenezaga matatizo hlf baadae wanaaza tia huruma
 
Ni vile tu tumeamua kuchagua sides ila majamaa zetu yanaukatili wa ajabu sana, mpaka inafikia kipindi najiuliza ndo haya kweli majukuu ya Abraham? Tusije kua tunabariki mamluki ya illuminati wakat wa Israel wakweli bado wapo utumwani tabora huko kwenye mashamba ya tumbaku
mnachoma moto wanawaibieni tv ya lak na nusu hlf mnataka israel iwachekee wanaua na kubaka watoto ?
 
On May 14, 1948, David Ben-Gurion, the head of the Jewish Agency, proclaimed the establishment of the State of Israel. U.S. President Harry S. Truman recognized the new nation on the same day. Mkuu Muwe mnasoma sasa hata kidogo ndio mana me sipend vya kusimuliwa saaana i dig huku na huku, kwahiyo hapa utajua kwanini mmarekani anamsaidia myahudi
hoja yako ni ipi , sion ulichojichimbia hapo ? bado upo kwenye usukule wa story za waarabu , hakuna jamii inaitwa wapalestina bali hilo ni jina lilitwa na warumi ili kuondoa uhalisia wa wayaudi kuwepo hapo au kuwa wamiliki wa hilo eneo , waarabu walishindwa kuunda nchi mwaka 1948 wakaipenda vita kuliko amani na walikuwa na eneo kubwa tu , unapata wap ujasiri wa kutetea mtu mjinga kiasi hiki , kwann usikemea mauaji ya wana msumbiji wanaoteswa na ugaidi wa kiiislam
 
Angalia revolution ya map ya Palestine alafu ndio utajua nani mkorofi,
wewe huna akili unaangalia picha hujfuatili ilikuwaje mpk kufikia huko , yaan univamie kila siku halafu nkuache jiran yangu , hata babu zako walifyeka misitu na kuwafukuza wanyama hatari ili waishi kwa amani , unajuwa kuwa waarabu tangu mwaka 1948 walikuwa wanaanza wavamia waisrael , sasa ulitaka waisrael wafanye nini kwa akili yako ndogo ?
 
Halikuwepo lakini ardi ilikuwa ya waarabu mkuu wamevia na kila mtu anajua kasoro wewe
fuatilia acha uzezeta palestina ni eneo sio asili ya mtu , wale ni waarabu sio wafilisti unaowajua wewe , ndio maana wanaongea kiarabu , waliivamia hilo eneo karne ya 7 na kuwafukuza waisrael ila wapo wayaudi walibakia mpk kurudi kwa wayaudi wenzao mwaka 1861 , ila waarabu wanaidanganya dunia kuwa hakukuwepo na myaudi yeyote hapo mpk mwaka 1861 ndo wakaja , waarabu waongo kuwa nao makini
 
Muingereza aliitawala hiyo ardhi na alipoondoka akawapa wayahudi na ndio ugomvi ukaanza hapo hapo wayahudi walikuwa na sehemu ndogo sana kwenye hiyo ardhi mkuu waingereza walisema giving palestine to the jews would solve the jewish problem au wanaitaga the jewish question na walivyopewa tatizo likaanza hapo hapo, hii jewish question ni topic nyingine kabisa ni ya siku nyingine masta, nimemaliza kazi yangu hapa ngoja nipumzike, usiku mwema ila hapo Palestine anaonewa wazi wazi
we jamaa muongo [emoji23][emoji23][emoji23] ww ni muislam na umedanganya huko juu kuwa ww ni mkristu , muingereza aligawa nchi kwa israel na waarabu ila waarabu walipewa eneo kubwa kwa uroho wao wakasema waisrael walipewa eneo lenye rutuba zaidi kwa kilimo , ndo ugomvi wa kwaza kabisa kabla ya waarabu kuja kubadili mada na kudai waisrael ni wavamizi baadae baada ya kuona hoja ya rutuba haikuwa na nguvu , FUATILIA HISTORIA ACHA KUSIKILIZA MASHEIKH
 
Nani kakwambia ilikuwa ardhi ya Waarabu.....Unajua Waturuki wameitawala hiyo land inayoitwa Palestine kwa miaka mingapi? Walitawala Waarabu, Wayahudi...na makabila mbali mbal waliokuwepo hapo....Wote wana legitimate attachment na hiyo land.....Ottoman Empire ruled Palestine land for almost 402... Waturuki sio Waarabu, najua unajua hilo....Baadaye Waingereza..... halafu UN ikaifanyia Partion 1947...kwa Waarabu na Waisrael waliokuwepo hapo....

Ni nani aliita hiyo Land Palestine?
mwambie akaangalie hata MAGNIFICIENT CENTURY ya Sultan aone kuna pati wanaonesha wayaudi wakienda Kwa sultan Suleiman , hlf aseme na Waturuki waongo
 
1000092654.png




1000092655.png


And this below is worthy of your time.


View: https://x.com/MadridPanther/status/1722547066453254535 t=jD2bF5zDsB21mRcxcRuh_A&s=09

Kwa wale wakristo wanaotetea Israel Kwa hoja kuwa ni taifa teule, they don't give a damn about you guys, kwao nyie ni garbage and it says a lot what they tried to did to Jesus PBUH, your hatred of Muslims veils you to see that Palestine was a nation long before UK and allies decided otherwise, and yet you think that now the colonized, oppressed are terrorists and the Israel's oppressors have a Right to defend themselves. Alhamdulillah the world knows and one day Palestine will be liberated and Jews will taste the fury they once tasted in Adolph Hilters hands.
 
Kwani wale watoto wa Israel zaidi ya 200 waliokuwa kwenye tamasha la muziki wakauliwa na magaidi ya Hamas 7/10, walikuwa na mabomu?!
Sasa ile habari nyingine umesema propaganda, uliwaona hao watoto 200 waliouawa ktk tamasha kuthibitisha?
 
Kwa haya niliyofahamu,basi US na allies wake ni wanafiki wakutupwa na wamejaa double standards!
Huu ndio ukatili wa Israel kwa wapalestina!

1.Israel ndio nchi pekee duniani ambayo watoto wanapelekwa mahakama za kijeshi na kuhukumiwa!

2.Israel Wana administrative detention,hii wanaitumia kuwaweka ndani wapalestina kwa muda wowote watakao bila kushitakiwa!Unaweza kukaa miaka na miaka!

3.Mtoto wa kipalestina wa miaka 8,9,10 anaweza kuhukumiwa Hadi miaka 20 jela kwa kosa la kurusha jiwe kwa waislaeli!Adhabu hii ni kubwa ukilinganisha na Adhabu anayoweza kupata muislael kwa kumuua mpalestina!

4.Mpalestina akifa kabla hajamaliza kifungo basi mwili wake unahifadhiwa bila kuzikwa mpaka maiti ikamilishe kifungo!Mpaka sasa Kuna maiti zaidi ya 394 zinatumikia kifungo Huko kwenye majokofu ya Israel!Na zinapomaliza vifungo basi zinazikwa na kubandikwa namba badala ya jina!

5.Kuna binti kaachiwa,alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 10,kosa lake lilikuwa kumsogelea kwa karibu Askari wa Israel!Ametoka akiwa ametumikia miaka 7 gerezani!

Hayo yote ni kinyume na Sheria za kimataifa ambazo Marekani na washirika wake wamekuwa wakiziwekea nchi nyingine vikwazo kwa kukiuka haki za binadamu!
It's a shame!
Sasa hivi wanaogopa kusema "Urusi anavunja haki za binadamu.......",kwani akileta huu unafaiki watawakumbushia ya Palestina. Juzi mmoja wa Madaktari wa kitengo cha Doctor without border amesema ,kwenye hii vita zaidi ya mabomu mia tatu yalipigwa kuzilenga hospital za Gazza.

Naona Spain na Belgium wanataka Netanyahu na wenzio pamoja na nchi kiujumla wawekee vikwazo kama ilivyo kwa Urusi. Hapa sasa ndipo double standard na Unafiki wa US,Germany,France,UK,Canada ndipo utakapo onekana.
 
Angalia revolution ya map ya Palestine alafu ndio utajua nani mkorofi,

Unajua nini kilitokea baada ya UN Kufanya partion 1947? Waisrael walikubali mgao wa UN, Waarabu walikataa na kuamua kupigana 1948.......that was the greatest mistake! Wao Wanaita Nakba....! Huu ndio ulikuwa Mwanzo wa kushindwa! Kumbuka ukiangalia Ramani ya UN 1947, Jerusalem hawakupewa Waarabu wala Wayahudi...Iliacha iwe International City.......asiwe mtu ana mamlaka nayo....Waarabu Waliaamua kuja kwa njia ya Vita na Israel 1948, yalikuwa mataifa matano! Lebanon, Syria, Iraq, na Egpty,Israel iliyashinda hayo mataifa matano na iliwanyang'anya hata kile walichopewa na UN 1947.

Hili ni kosa la kwanza kubwa, Waarabu Wengi waliokuwepo hapa waliondoka kabla ya Vita vya 1948, kwa sababu walijua "obvious" Israel itashindwa......Na Wakatawanyika katika nchi nyingi za Kiarabu na kuwa Wakimbizi na kutambulikana kama Waplestina. Hivyo vita vya 1948 iliwapa Israel more Land, na kuzidi kuingiza Wayahudi wengi waliokuwa Wamesambaa Ulaya, Waarabu wengi waliondoka, na Israel ikatumia mwanya wa vita kuwaondoa baadhi kwa nguvu!

Waarabu hawakuishia hapo, Wakajaribu tena 1967.....Yalikuwa ni kujihami na mashambulizi ya kushtukiza, Katika vita hii Waarabu ( Egypt, Jordan na Syria walishindwa tena! Unajua walipoteza nini, Israel iliichukua Sinai Peninsula, Ukanda wa Gaza, na milima ya Golan! na East Jerusalem Kama Waarabu wasingelianzisha vita 1967 wasingepoteza maeneo hayo. Kuna mambo mengi yametokea 1967 ambayo yamekuwa kama bench mark ya kujaribu kutatua mgogoro huu

Waarabu wakarusha kete nyingine 1973, October 6, Egypt na Syria walifanya mashambulizi ya kushtukiza kwa pamoja, na Mrusi alikuwa amewaanda kikamilifu, na walikuwa na silaha na vifaru zaidi ya Israel, hili lilikuwa shambulizi kubwa la kustukiza, Mashambulizi yalianzia Sinai Peninsula upande wa Egpty na Syria milima ya Golan, waarabu walishindwa vibaya mno, na msaada wa Marekani ndio uliowaokoa.

Kumbuka Mwaka 1967 August 29 Waarabu walikutana Khartom, Sudan wakala yamini kwa pamoja, na kutoka na Azimio la "THREE NO"

1.No peace deal with Israel.
2 No Recognition with Israel.
3 No negations with Israel!

Baada ya kushindwa 1973, na Egypt kutambua kuwa Kijeshi haiwezi kabisa kuishinda Israel, ikaanza kufanya mapatano na Israel, na kurudishiwa Sinai peninsular 1979, katika mkutano wa Camp David, Waarabu wengi hawakufurahi, maana ili kuipata tena Sinai Peninsular ilibidi iitambue kuwepo kwa taifa la Israel! Mapatano hayo yaliwa waumiza mno baadhi Waarabu, na hata wenye misimamo mikali.....na Kufanya Sadat kuuwawa October 6, 1981 na Yatzhak Rabin 1995!

Kama ni kwa njia ya vita Waarabu wamejaribu na wamekuwa wakishindwa, wengi tulitegemea Iran hasa katika vita hii ya Gaza inaweza kufanya attempt ya Vita kama Waarabu walivyofanya huko nyuma, lakini yunaishia kuona Gaza inagawanywa vipande viwili mbele ya Iran! Imeumiza mno kwa Wapelestina,

Mtazamo wangu binafsi, Mwarabu na Myahudi ni kuwa Wote wana historical attachment na hiyo land! Ushahidi wa historia na imani zao za dini unaonyesha hivyo. Ni mitazamo radical ambayo iko pande zote unafanya washindwe kabisa kufikia muafaka.

Na kuangalia historia toka 1947 ni vigumu kwa upande wangu kuita Israel Wavamizi, UN iliwapa wote Waarabu na Wayahudi kila mtu sehemu yake, Israel ikajitangaza kama taifa katika sehemu yake 1948, Waarabu ( Wapelestine) Hawakujitangaza kabisa kama taifa katika sehemu yao, Walitegemea kwa njia ya vita wataweza kuiondoa Israel mahali hapo, mpaka leo hilo halijafanikiwa, na Israel imeshakuwa taifa imara, ni vigumu kuifuta chini ya jua.

Ujio wa Hamas na mitazamo yake ya kidini, umeleta more confusion kuliko solution, na wala hauwezi kabisa kusogeza hata hatua moja ya kusaidia Wapelestina.
 
Unajua nini kilitokea baada ya UN Kufanya partion 1947? Waisrael walikubali mgao wa UN, Waarabu walikataa na kuamua kupigana 1948.......that was the greatest mistake! Wao Wanaita Nakba....! Huu ndio ulikuwa Mwanzo wa kushindwa! Kumbuka ukiangalia Ramani ya UN 1947, Jerusalem hawakupewa Waarabu wala Wayahudi...Iliacha iwe International City.......asiwe mtu ana mamlaka nayo....Waarabu Waliaamua kuja kwa njia ya Vita na Israel 1948, yalikuwa mataifa matano! Lebanon, Syria, Iraq, na Egpty,Israel iliyashinda hayo mataifa matano na iliwanyang'anya hata kile walichopewa na UN 1947.

Hili ni kosa la kwanza kubwa, Waarabu Wengi waliokuwepo hapa waliondoka kabla ya Vita vya 1948, kwa sababu walijua "obvious" Israel itashindwa......Na Wakatawanyika katika nchi nyingi za Kiarabu na kuwa Wakimbizi na kutambulikana kama Waplestina. Hivyo vita vya 1948 iliwapa Israel more Land, na kuzidi kuingiza Wayahudi wengi waliokuwa Wamesambaa Ulaya, Waarabu wengi waliondoka, na Israel ikatumia mwanya wa vita kuwaondoa baadhi kwa nguvu!

Waarabu hawakuishia hapo, Wakajaribu tena 1967.....Yalikuwa ni kujihami na mashambulizi ya kushtukiza, Katika vita hii Waarabu ( Egypt, Jordan na Syria walishindwa tena! Unajua walipoteza nini, Israel iliichukua Sinai Peninsula, Ukanda wa Gaza, na milima ya Golan! na East Jerusalem Kama Waarabu wasingelianzisha vita 1967 wasingepoteza maeneo hayo. Kuna mambo mengi yametokea 1967 ambayo yamekuwa kama bench mark ya kujaribu kutatua mgogoro huu

Waarabu wakarusha kete nyingine 1973, October 6, Egypt na Syria walifanya mashambulizi ya kushtukiza kwa pamoja, na Mrusi alikuwa amewaanda kikamilifu, na walikuwa na silaha na vifaru zaidi ya Israel, hili lilikuwa shambulizi kubwa la kustukiza, Mashambulizi yalianzia Sinai Peninsula upande wa Egpty na Syria milima ya Golan, waarabu walishindwa vibaya mno, na msaada wa Marekani ndio uliowaokoa.

Kumbuka Mwaka 1967 August 29 Waarabu walikutana Khartom, Sudan wakala yamini kwa pamoja, na kutoka na Azimio la "THREE NO"

1.No peace deal with Israel.
2 No Recognition with Israel.
3 No negations with Israel!

Baada ya kushindwa 1973, na Egypt kutambua kuwa Kijeshi haiwezi kabisa kuishinda Israel, ikaanza kufanya mapatano na Israel, na kurudishiwa Sinai peninsular 1979, katika mkutano wa Camp David, Waarabu wengi hawakufurahi, maana ili kuipata tena Sinai Peninsular ilibidi iitambue kuwepo kwa taifa la Israel! Mapatano hayo yaliwa waumiza mno baadhi Waarabu, na hata wenye misimamo mikali.....na Kufanya Sadat kuuwawa October 6, 1981 na Yatzhak Rabin 1995!

Kama ni kwa njia ya vita Waarabu wamejaribu na wamekuwa wakishindwa, wengi tulitegemea Iran hasa katika vita hii ya Gaza inaweza kufanya attempt ya Vita kama Waarabu walivyofanya huko nyuma, lakini yunaishia kuona Gaza inagawanywa vipande viwili mbele ya Iran! Imeumiza mno kwa Wapelestina,

Mtazamo wangu binafsi, Mwarabu na Myahudi ni kuwa Wote wana historical attachment na hiyo land! Ushahidi wa historia na imani zao za dini unaonyesha hivyo. Ni mitazamo radical ambayo iko pande zote unafanya washindwe kabisa kufikia muafaka.

Na kuangalia historia toka 1947 ni vigumu kwa upande wangu kuita Israel Wavamizi, UN iliwapa wote Waarabu na Wayahudi kila mtu sehemu yake, Israel ikajitangaza kama taifa katika sehemu yake 1948, Waarabu ( Wapelestine) Hawakujitangaza kabisa kama taifa katika sehemu yao, Walitegemea kwa njia ya vita wataweza kuiondoa Israel mahali hapo, mpaka leo hilo halijafanikiwa, na Israel imeshakuwa taifa imara, ni vigumu kuifuta chini ya jua.

Ujio wa Hamas na mitazamo yake ya kidini, umeleta more confusion kuliko solution, na wala hauwezi kabisa kusogeza hata hatua moja ya kusaidia Wapelestina.
Haya sasa kwanini wenzao waish kama mateka mkuu ? Hapa Israel ndio tatizo mkuu
 
we jamaa muongo [emoji23][emoji23][emoji23] ww ni muislam na umedanganya huko juu kuwa ww ni mkristu , muingereza aligawa nchi kwa israel na waarabu ila waarabu walipewa eneo kubwa kwa uroho wao wakasema waisrael walipewa eneo lenye rutuba zaidi kwa kilimo , ndo ugomvi wa kwaza kabisa kabla ya waarabu kuja kubadili mada na kudai waisrael ni wavamizi baadae baada ya kuona hoja ya rutuba haikuwa na nguvu , FUATILIA HISTORIA ACHA KUSIKILIZA MASHEIKH
I swear to God mimi sio Muslim me napensa haki tu , wewe hii ya ardhi ya rutuba umetoa wapi ? Ebu leta source ? Acheni uwongo jamani…
 
Haya sasa kwanini wenzao waish kama mateka mkuu ? Hapa Israel ndio tatizo mkuu

Mateka wa kujitakia....Gaza imerudishwa mikononi mwao Sept 22, 2005......Mamilion ya fedha from UN through UNRWA na nchi za kiarabu, wangeweza kuifanya kuwa Hongkong, wao wakaamunua kuchimbia Mahandaki, na harakati za kisiasa, nani wa kumlaumu! Pesa yote na akili zao kimekuwa obsessed na destruction of Israel....
 
I swear to God mimi sio Muslim me napensa haki tu , wewe hii ya ardhi ya rutuba umetoa wapi ? Ebu leta source ? Acheni uwongo jamani…

Mkuu toughlendon, unajua sababu ya wa Waarabu kukataa mgao wa UN 1947? , kuna sababu nyingi, mojawapo ni hiyo! Kwamba Israel ilipewa sehemu zenye rutuba, Jipe muda, soma historia, Kwa nini hasa walikataa partition ya UN 1947.
 
Mateka wa kujitakia....Gaza imerudishwa mikononi mwao Sept 22, 2005......Mamilion ya fedha from UN through UNRWA na nchi za kiarabu, wangeweza kuifanya kuwa Hongkong, wao wakaamunua kuchimbia Mahandaki, na harakati za kisiasa, nani wa kumlaumu! Pesa yote na akili zao kimekuwa obsessed na destruction of Israel....
Hapo gaza si hata chakula kinachoingia anakikontrol Israel ? Jaman mbona hamtaki ukweli ? Roadblock za jeshi kila sehemu yan mtu aje Dar ambae sio mtanzania aweke road block magomeni mapipa, hakuna kwenda kigogo bila yeye kujua, hakuna kwenda posta, hakuna kwenda kinondoni alafu anaesema hivyo sio mtanzania we utakubali ? Wakuu ebu tuwe serious kidogo na hizi allegations mnazowapa wapalestina every now and then, mbona hawapo huru hata hapo gaza penyewe ?
 
Back
Top Bottom