Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Kwenye 6 na saba hakika wewe ni mkatoliki
 
Nyingine ni eti Magufuli alikuwa shujaa!
 
Why are you gay?
 
Mkuu wewe ndiye uliyekosa maarifa kwa concept za kufikirika.

Jambo la kwanza ambalo ni #1 ulivyopangilia: wanawake ni wachache kuliko wanaume!

Una uhakika gani ki takwimu?

Maana kila sensa za mataifa mbali mbali duniani pamwe Tz, zinaonesha uwingi wa wanawake katika mataifa hayo kuliko wanaume isipokuwa kwa mataifa machache sana.

Halafu kupiga punyeto hakuna madhara!

Ulishapigaga ama unaendelea kupiga huku ukidindisha sawasawa?

Ph za 'K' za malaya na wanawake 'wa utulie' ziko sawa, una uzoefu kuliko sisi ukathibitisha vinginevyo?

Hayo mangine ya kiimani siwezi kucomment chochote.

Una elimu ndogo sana kushindwa kupambanua jema na baya!

Kuna mambo duniani yapo kimpangilio kwa makusudi maalum kwa namna 'creater' alivyoona inafaa, kwa mfano: idadi ya wanawake kuzidi ya wanaume, kuna mantiki ya kimsingi ya Muumba hapo.

Ebanaee usituchoshe, rudi katafiti upya maana hoja zako nyingi zinaelea, ama rejea shule kabisa.
 
Hamna sehemu ambayo nimesema Mungu hayupo kwenye facts zangu 9... nimesema dini zote Zina claim kuwa ni za Mungu lakini ni manmade... so Mungu kuwepo au kutowepo sio part ya mada hio...
Mungu anafanya kaz na watu ni kama vile uumbaji wa mtoto Mungu anashirikiana na wazazi kumuuamba mtu. Hata hiz dini hazijaja zenyewe ni Roho zinazotenda kaz pamoja nazo. iwe ni Roho wa Mungu au wa shetan ndio zinazoongoza watu kufikia matamanio yao. Hii dunia imeumbwa kuwili ndio mfumo unaoiendesha hii dunia yaan hasi na chanya au kushoto na kulia au kiume na kike. na huu mfumo ukafungwa kwenye mfumo mwingine wa time. Yaan muda ndio maana kila binadamu maswali yake yanacheza Kati ya mwanzo na mwisho zaid ya hapo sote tunakuwa nje ya mfumo hatujui.
 
Ingia google saa hivi search between men n woman which are more in the world afu ukimaliza search is masturbating harmful... Kama wewe ni wale watu wa kutoamini google ila unaamini pastor/sheikh au kijiwe chako Cha kashata..bac me na wewe hatuwezi ongea lugha moja
 
Yote haya hayaprove dini yoyote Ile kuwa sahihi kwa sababu dini zote ni product ya jamii moja kuamka kusema tumetokewa na Mungu au malaika na amesema hivi na wengine kuandika vitabu na kusambaza itikadi zao... na kila dini inampa sifa Mungu wao tofauti na sheria tofauti kutokana na tamaduni zao jamii hiyo...so religion is a product of man..hayo mambo ya dunia imekaaje my answer is I don't know n I don't care.. ila kwenye swala zima la dini inajulikana kabisa ni man made na hata ukisoma bible or Quran open mindedly utajua kabisa kaandika binadamu mwenye limited knowledge n moral standard. Huu Uzi hauhusu dini hata hivyo...Imani ni kitu personal so Baki nacho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…