Mambo kumi yaliyobebwa ndani ya kikao Kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Tundu Antipas Lissu, Brussels Ubeligiji

Mambo kumi yaliyobebwa ndani ya kikao Kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Tundu Antipas Lissu, Brussels Ubeligiji

Rais Samia amejiweka katika kundi la wanasiasa wenye akili.
Kiburi ni uthibitisho wa upumbavu, yeye hana.
Sisi tunaomfahamu hatukuwa na shaka na hilo.
Nia yake njema ya kuleta maendeleo na mshikamano ipo wazi.
 
Mi nililiona hili nikashtuka kidogo; Mbowe alikaa kimya miezi mitano na siku kadhaa kuwa hawapewi msosi ila ghafla akamwambia judge hilo suala,chap kwa haraka upande wa serikali ukaifunga kesi bila mashahidi kadhaa ambao waliamua kuingia mdikologo(hahaha) ghafla bin vuu mama anakutana na Lissu nchini Ubelgiji na wanapiga story,ok ngoja tuone itakuwaje.
Naendelea kuunganisha dot
Nalog off
 
Itakua umemsahau Robert Amsterdam wewe ama la wewe sio memba wa Chadema.

Wenzako wote wanafahamu kwamba ndoa za jinsia moja ndio agenda kuu ya uchaguzi kwa chadema in 2020.
Naona unapenda sana ndoa ya jinsia moja,olewa tu
 
Nimebaini chadema kuna wivu uongo na unafiki mwingi tendo Hilo lingefanya kiongozi mwingine ingakua usaliti kwa chadema ni uzalendo double standard
 
1. Mhe. Rais ameonyesha wanadamu wenye damu ya siasa Kwamba hakuna Nchi itapiga hatua ikiwa vipande vipande. Tanzania ilimkosea Tundu Lisu Kwa Yale yaliyomkuta, Tanzania ilimkosea Tundu Lisu kumfuta Ubunge na Mwisho Tanzania ilimkosea Tundu Kwa kuacha kuchukua hatua ikiwemo kuchunguza shambulio dhidi yake.

2. Serikali haiwezi kuomba mwananchi wake MSAMAHA ila viongozi waliopewa dhamana wanaoweza wakaingiwa na utu wakaomba Msamaha bila hata kutamka wanaomba Msamaha

3. Tundu Lisu ana roho ya binadamu, anaweza kufanya analysis akabaini pamoja na kuponea kifo Lakini Tanzania Kwanza.

4. Siyo wanasiasa wote walikubaliana na ukatili aliofanyiwa TL ila walikosa nafasi ya kutoka na kukemea. Baadhi wangelazimika kujiuzulu.

5. Chadema ina viongozi na itaendelea kuwa na viongozi

6. Mazungumzo haya yanakwenda kumtoa Mwenyekiti ndani kama siyo ijumaa basi baada ya taratibu za urasimu wa mahakama kutimia.

7. Jaji alikataa Kibatala kuwasilisha oral submission, alishaelekezwa bila kuonekana Kwa mwanga wa Kesi kufungwa Lisu asingeonana na mama

8. Yapo mazingira ya nope nikupe, usipokubali kumwachia Mwenyekiti tutabaki huku ukimbizini. Mama hapendi utawala wake ufananishwe Kwa ndani na mwenda zake. Anawaza kutengeneza Urais wake, yeye ni Rais na afundishwi Urais

9. Wale binadamu wote walioshiriki kumdhuru Lisu adhabu inawaka Kwao, kama siyo Duniani basi Mbinguni. Akiwemo aliyemfuta Ubunge

10. Mama kaupiga mwingi ila Tundulisu kaungana kuongeza sauti.

Mwisho, Tanzania ni kubwa KULIKO CCM na Chadema. Leo Taifa linaamani baada ya wazazi kuelewana. Pamoja na umaskini ila tunapaswa kuungana sisi kwanza kabla ya kuomba misaada nje
Akili ya nyumbu. Mmempata nyumbu mwenzenu. Yuko tayari kuwakabidhi keki yeye alale njaa
 
1. Mhe. Rais ameonyesha wanadamu wenye damu ya siasa Kwamba hakuna Nchi itapiga hatua ikiwa vipande vipande. Tanzania ilimkosea Tundu Lisu Kwa Yale yaliyomkuta, Tanzania ilimkosea Tundu Lisu kumfuta Ubunge na Mwisho Tanzania ilimkosea Tundu Kwa kuacha kuchukua hatua ikiwemo kuchunguza shambulio dhidi yake.

2. Serikali haiwezi kuomba mwananchi wake MSAMAHA ila viongozi waliopewa dhamana wanaoweza wakaingiwa na utu wakaomba Msamaha bila hata kutamka wanaomba Msamaha

3. Tundu Lisu ana roho ya binadamu, anaweza kufanya analysis akabaini pamoja na kuponea kifo Lakini Tanzania Kwanza.

4. Siyo wanasiasa wote walikubaliana na ukatili aliofanyiwa TL ila walikosa nafasi ya kutoka na kukemea. Baadhi wangelazimika kujiuzulu.

5. Chadema ina viongozi na itaendelea kuwa na viongozi

6. Mazungumzo haya yanakwenda kumtoa Mwenyekiti ndani kama siyo ijumaa basi baada ya taratibu za urasimu wa mahakama kutimia.

7. Jaji alikataa Kibatala kuwasilisha oral submission, alishaelekezwa bila kuonekana Kwa mwanga wa Kesi kufungwa Lisu asingeonana na mama

8. Yapo mazingira ya nope nikupe, usipokubali kumwachia Mwenyekiti tutabaki huku ukimbizini. Mama hapendi utawala wake ufananishwe Kwa ndani na mwenda zake. Anawaza kutengeneza Urais wake, yeye ni Rais na afundishwi Urais

9. Wale binadamu wote walioshiriki kumdhuru Lisu adhabu inawaka Kwao, kama siyo Duniani basi Mbinguni. Akiwemo aliyemfuta Ubunge

10. Mama kaupiga mwingi ila Tundulisu kaungana kuongeza sauti.

Mwisho, Tanzania ni kubwa KULIKO CCM na Chadema. Leo Taifa linaamani baada ya wazazi kuelewana. Pamoja na umaskini ila tunapaswa kuungana sisi kwanza kabla ya kuomba misaada nje
Ma Sukuma Gang yamefura mpaka yanataka kupasuka! Pumbavuuu kabisa haya mauaji! Hongera kwa uchambuzi mujarabu!!
 
Tulia mama arudishe utaifa ulipotezwa na Muhutu!
Atarudisha utaifa wa mgao wa umeme na matengenezo ya dharura yanatumika kuihujumu nchi.

Wanamnanga na wanataka kuongea nae. Siyo kama wanampima kipenyo cha kichwa chake.

Tusubiri tuone huo utaifa wa Zanzibar.
 
1. Mhe. Rais ameonyesha wanadamu wenye damu ya siasa Kwamba hakuna Nchi itapiga hatua ikiwa vipande vipande. Tanzania ilimkosea Tundu Lisu Kwa Yale yaliyomkuta, Tanzania ilimkosea Tundu Lisu kumfuta Ubunge na Mwisho Tanzania ilimkosea Tundu Kwa kuacha kuchukua hatua ikiwemo kuchunguza shambulio dhidi yake.

2. Serikali haiwezi kuomba mwananchi wake MSAMAHA ila viongozi waliopewa dhamana wanaoweza wakaingiwa na utu wakaomba Msamaha bila hata kutamka wanaomba Msamaha

3. Tundu Lisu ana roho ya binadamu, anaweza kufanya analysis akabaini pamoja na kuponea kifo Lakini Tanzania Kwanza.

4. Siyo wanasiasa wote walikubaliana na ukatili aliofanyiwa TL ila walikosa nafasi ya kutoka na kukemea. Baadhi wangelazimika kujiuzulu.

5. Chadema ina viongozi na itaendelea kuwa na viongozi

6. Mazungumzo haya yanakwenda kumtoa Mwenyekiti ndani kama siyo ijumaa basi baada ya taratibu za urasimu wa mahakama kutimia.

7. Jaji alikataa Kibatala kuwasilisha oral submission, alishaelekezwa bila kuonekana Kwa mwanga wa Kesi kufungwa Lisu asingeonana na mama

8. Yapo mazingira ya nope nikupe, usipokubali kumwachia Mwenyekiti tutabaki huku ukimbizini. Mama hapendi utawala wake ufananishwe Kwa ndani na mwenda zake. Anawaza kutengeneza Urais wake, yeye ni Rais na afundishwi Urais

9. Wale binadamu wote walioshiriki kumdhuru Lisu adhabu inawaka Kwao, kama siyo Duniani basi Mbinguni. Akiwemo aliyemfuta Ubunge

10. Mama kaupiga mwingi ila Tundulisu kaungana kuongeza sauti.

Mwisho, Tanzania ni kubwa KULIKO CCM na Chadema. Leo Taifa linaamani baada ya wazazi kuelewana. Pamoja na umaskini ila tunapaswa kuungana sisi kwanza kabla ya kuomba misaada nje
Umeandika vzr..ila pale uliposema Tanzania ilimkosea Tundu Lisu sikubaliani nawewe, hapa ungesema waziwazi watu specific kama Spika,Boss wake na baadhi ya watu. Kujumuisha Tanzania ni kuwasema wananchi wote kitu ambacho sio kweli.
 
Back
Top Bottom