Mambo muhimu ambayo Mzee Mkapa hajaweka wazi katika kitabu chake ''My Life, My Purpose''

Mambo muhimu ambayo Mzee Mkapa hajaweka wazi katika kitabu chake ''My Life, My Purpose''

samurai,
Nitakukumbuka kama mtu aliyewah kuniuliza swali fikilishi humu jf na lenye kuhitaji akili kubwa + research ili kulijibu!!!!!!, Salute kwako Mkuu
 
Mkapa Ndiye aliyesababisba ushenzi wote unaoendelea mpaka leo!

Ilo la idala ya usalama wa taifa kukataa ni kweli ila kikwete alikuwa akiungwa mkono na JWTZ na Salim alikataliwa na jeshi na ndiye alikuwa apewe nchi so ndio ugumu ulipoanzia apo kwa Mkapa.

Huu mkwara alipigwa na yeye akalegea.
 
NI sawa na Magufuli akimaliza muda wake aamue kujiuzia Dreeamliner moja kwa Tshs milioni kumi. Nani atakubali? Bado ataimbwa fisadi hadi na watoto, pamoja na mengi mazuri aliyoifanyia nchi!
Mkuu, naona leo umeamua kweli kweli.

Mfano huu uliotoa hapa wa hilo li- 'dreamliner', mbona itakuwa noma sana.

Ni nani ataanza kuhoji hilo likifanyika? Mbona 'Chato International Airport' ipo tayari na hakuna aliyehoji?

Airport mhimu kama hiyo kwa nini isiwe na li'dreamliner' lenye makao makuu yake hapo hapo 'airport'?

Tena umetoa wazo zuri sana, ambalo bila shaka wasaidizi wake watalidaka na kulifikisha kwa mhusika.
 
Kifo cha Marehem Dr Omar Ali Juma kilitatatiza sana nacho si familia wala yoyote alieweza kuuona mwili wa marehem Dr Omar Ali Juma. Alifariki baada ya mauaji ya Pemba kutokea.
 
Kwenye TISS kumuondolea sifa kikwete sio kweli,isipokua TISS ndio ilimsaidia kikwete kutangazwa mshindi,hii ni baada ya BM,CDF , IGP na PM wa kipindi kile,walimuogopa kikwete na kutaka kutomtangaza kwa kuhofia mabaya yao,na walikaa kikao cha siri ktk kambi 1 wapo.lakini mchezo kuo ulishtukiwa na TISS wakamtonya jk,na jk ilibidi aombe baraka kwa bibi na bibi hakusita,akawakulupusha kwenye kikaochao cha siri.kwa aibu iliwabidi wakamtangaze mshindi.
Hizi stori sasa zimekuwa nyingi sana hadi zimewapoteza watu
 
Synthesizer,
Wewe ukiambiwa uandike autobiography yako utaandika upuuzi wote uliokwisha fanya maishani ama utachagua tu yale ambayo yana staha na ambayo jamii ingependa kusikia? Ni vyema kama utaona inafaa kuandaa biography yake kama unaijua yeye autobiography aliyojiandikia ni sahihi!
 
hivi umafia wake wa mwemnetea pale magomeni amegusia au kaona kawaida tu kuua.
 
Synthesizer,
Hapo kwa NBC,nakumpa nyerere alivomwita mkapa akiwatuma vijana ,nanukii,mwambiena aje kesho asubuhi na mumuwahi kabla hajanywa konyagizake,mana usiku mzima anatupiaga tu vyombo..
 
Synthesizer,
umewahi sana subiri tusome kwanza hicho kitabu na inaelekea akili kama zako ndiyo chazo cha kuandikwa kwa hicho kitabu
 
Hata benki ambayo mtaji wake ni mishahara ya wafanyakazi wewe unaibinafsisha a.k.a kuiuza? Huu ni ujinga wa hali ya juu
 
samurai,

Nitajalibu kujibu maswali yako yote ingawa kwa awamu
swali la pili:::kipindi cha 2005 Kund la EL na JK Rostam kinara alikuwa ni edo,hapa nadhanj ndio maana umeuliza kwann mkwere not edo..Sababu kwann sio El 2005 na n jk ilikuwa ni la kidin au mgombea atoke zenji...kwa kigezo hiki ndipo wana wanamtandao wakapiga kampen atoke uku lakin muislam ndipo jk akapenya na walijua itakuwa rahisi kumdhibiti ila kama angepita masai pangekuwa na hekaheka sana...
 
Back
Top Bottom