Mambo tofauti tunayokutana nayo Madereva wa malori toka enzi

Sasa ulikuwa unakataa nini mwanzoni?.
 


Wewe ni muha au unavinasaba vya watu wa kule.
 
Wewe kama ulikuwa chooni basi umekurupuka bila hata ya kujiswafi wakti ulikuwa unaharisha.
Unaweza kunionyesha niliposema hakuna Twiga mweupe?
Tafuta comment yangu humu, nimeielezea hiyo Pembampazi ilipo.
Usipende kuwalisha watu maneno
 
PakiJinja Hapa ulikuwa unasema hakuna pori gani na kule umethibitisha nini? au umekunywa chai na unga wa dona mkuu.
 
PakiJinja Hapa ulikuwa unasema hakuna pori gani na kule umethibitisha nini? au umekunywa chai na unga wa dona mkuu.
Umesoma ukaelewa? Tatizo lenu mnaacha sana detail muhimu ambazo ndiyo zinatoa sura ya kitu au tukio. Ningeweza kupandika uwepo wa 'Pori', labda ungenielewa.
Hoja yangu ni kwamba, hilo eneo'Mpembampazi' lipo ndani ya hifadhi ya Ipole
 
Mmeanza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…