AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Hivi, inakuwaje unapata mihemko kwenye comment ya mtu ambaye humjui na wala hajui kama kuna user name kama hiyo humu Jf?Uzoefu wako unauhamishia kwa wengine?
Kama ningekuwa nimeonyesha hasira yoyote basi hasira hiyo ingekuwa ni dhidi ya mujinga uliyo nayo kichwani ma si vinginevyo.
We 🐐nisikilize kwa makini tena kaa kitako nikujuze.
Ukiona comment ya mtu humu jukwaani ambayo unaona kabisa kuwa itakupandisha mori, mzuka, nyegge au aina yoyote ile ya mhemko....sio lazima um-quote huyo member.
Wengine najua mko humu kwa ufukunyuku tu na umbea wa kiume.
Mbona wengine wamesoma na kupita hivi?
Wewe ni nani hasa mpaka ujifanye kujibu?
Umetumwa?
Umeagizwa?
Ni ashuo au ndo mnataka muonekane wajuaji sana wa mambo?
We 🐄 hebu pita 👉 , halafu ukome kuniquote kwa kuwa huna la maana la kuniambia nikakusikiliza.
Mtoto wa kiume kabisa unataka ligi na mtoto wa kike?
Nakuuliza moto wangu utauweza?
Kama unanimudu KARIBU, 🐒mmoja we!
Na kuanzia dakika hii ukiona ID hii inapuyanga huko majukwaani KAA NAYO MBALI 💣⚰️🪦🗡️⚔️.
Au unatafuta 👤 wa kukutindua👁️?
🦵🦵🦵🦵🦵👣👣👣👣💨💨💨🖕.