Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uzi unanifurahisha mnavyoshushuana
 
Halafu unajiita God_win??
Unajua maana yake? Kama Mungu aliichukia hii dhambi akachoma moto sodoma na gomora we nani uipende hii dhambi.
Pumba kabisa

Maana yake najua,nani kakuambia naipenda….Mungu pia hapendi wezi,wazinzi,waabuduo sanamu,wanafiq nk
 
Kuna mtu nataman asome hapa, ili akili imkae vyema.
 
Maana yake najua,nani kakuambia naipenda….Mungu pia hapendi wezi,wazinzi,waabuduo sanamu,wanafiq nk

Msipende kujihesabia haki mbele za macho ya watu omba rehema wengi naona mwajifanya mwaijua dini sana acheni kutumia maandiko vibaya means ww ni mtakatifu katika hayo makundi walio taja kwenye bible
 
Tuliza kitenesi hicho blaza!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kaka wa DC wa sasa humjui? Afu ktk kundi lao wote ni walaji wa samadi, ila DC tyuuh Ndo sio.
Samadi [emoji2]hili nikawaza samadi ya ng'ombe ilivyo hahah daaah.

Sio mboji
 

Na yule rafiki wa uwoya anaenda nae kila mahala kumbe wana lao jambo
 
Na yule rafiki wa uwoya anaenda nae kila mahala kumbe wana lao jambo
Uwoya ndo mgongo wao, wakijifanya machawa, kumbe watu tunajua mchongo mzima, tunawa zoom tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Samadi [emoji2]hili nikawaza samadi ya ng'ombe ilivyo hahah daaah.

Sio mboji
Unavyopenda sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Siku hizi Inaitwa "blue band" chezea weyeeeeeeeh.
 
Uwoya ndo mgongo wao, wakijifanya machawa, kumbe watu tunajua mchongo mzima, tunawa zoom tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
James d katokomea wapj jamani
 
James d katokomea wapj jamani
Mbna yupo sana, siku hizi madanga hakna ndo maan show off kimya, na rafk ake wema kamuacha. Now zamu ya Aggrey kusumbua, mara yuko na Wema mara yuko na Kajala,. Mara boss uwoya,. Yaan ukiwa shoga na huna maisha ya kueleweka, unahaha sanaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] agrey tatizo tumbo jaman,hata kupunguza hataki woiiiioh.

Now tunatazama N na dimpoz wanavokwaruana,dimpo ana wivu kisa N kuwa na m1 ktk magodoro industry.uwiiiiih
 
Hapo N n nani fumbua kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…