Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

Kazi za jikoni au, sebuleni tunakaa ili kumuwinda house boy/girl, friji ni muhimu kukagua ili tujue nini cha kuongezq kwenye friji,nimetoka seminar nakuja na zawadi gani mm mwenyewe ni zawadi tosha kwao na wanishukiru sana, nisitumie vifaa vya wenyeji yaani hata ndoo ya kuoga na dodoki nije navyo basi nitakuwa ni mkimbizi, taulo ni kanga ya house girl/boy,majirani muhimu kuwatembelea ili kujua tabia na mwendo wa mwenyeji wangu ili nipeleke taarifa kijijini,kama ndo nawakuta Wana Hali mbaya na Mimi ndio mwenye hela kwanini wapate shida nakaa nao mpaka wapate hela.
Ukifika kwa mwenyeji wako vaa bukta na singlend kama ni Dsm ili upate hewa vizuri.Niwashukuru kwa kunisikiliza
 
😀😀😀😀
 
Hiyo namba 3 ilinikuta. Nilipata mgeni ndugu yangu tena mpaka mume wangu akawa uncomfortable nyumbani kwake. Kitoto kinakaa miguu juu sebuleni kimeshikilia remote. Mr anaishia kukaa dining. Mnaenda kulala bado busy na tv na usipomfuata akalale atakesha. Kwakweli kuna baadhi ya wageni wanakera na wengine unatamani wasiondoke.
 
11.Mgeni usitongoze msichana wa kazi wala ndugu wa mke/mume wa mwenyeji wako utaaibika.
Tuliza nyege zako mwenyewe kabla hujatulizwa.
Hpo sasa ndio shughuli...mm nikikuta housegirl mwenye tako huwa simuach sslama
 
Binafsi huwa nasafiri mara nyingi mikoani ila huwa napenda uhuru ninakofika. Kama kuna ndugu nitaenda kumsalimia mchana halafu namdanganya kwamba kuna kazi ya kuandaa report usiku wa leo nipo na wenzangu, nikitoka hapo naenda kuginda pombe nikichoka naenda kulala lodge kwa uhuru hata nikifika saa tisa usiku sawa tu.

Sema kuna siku pale Mwanza nilimdanganya hivo mwenyeji wangu kisha nikapanda boda nikaenda mbali Bundesliga huko kunywa bia, nauli tu ya boda 3000. Bahati mbaya tena tukagongana na mwenyeji wangu, kumbe na yeye anapiga maji kajifunzia mjini. Ile siku tulifurahi sana maana ilibidi nimwambie ukweli kwamba mimi napenda uhuru ndio maana huwa sipendi kulala kwa ndugu kokote niendako. Pale tulipiga maji ikabidi nimrudishe nilikofikia kuendelea kula maji.
 
Hyo nzuri sana...unatembelea mule muleee chief
Siku nyingine ukija mwanza tuchekiane
 
Umesahau moja.
Usitembee na mke/mume wa mwenyeji wako hata Kama ajirahisishe kivipi.
 
Imeandikwa:

1. “Upendo husitiri wingi wa makosa!”

2. “Iweni wakarimu kwa wageni maana wengine hukaribisha Malaika wa Mungu kwa kule kukarimu kwao wageni”
 
Wengine wachoyo kwa wageni hadi mama na baba mkwe [emoji108]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…