Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Mamilioni ya pesa anayotaka Jackline Mengi kwa ajili ya malezi ya watoto wake haya hapa!

Kama baba yao yupo yes. Sasa anawaomba watu ambao si wazazi wa hao watoto. Yeye kama mzazi ana uwezo wa kutoa hizo pesa? Tuanzie hapo kwanza.
Una point. Mengi alishafariki na ndiye alikuwa mtafutaji. Kuendelea kudai matumizi ya aina ile ile wkati mtafutaji hayupo tena ni ujuha.
 
Ngoja tuendelee kutafuta hela huku tukiwa mbali na wanawake.
Mwanaume akikaa bila mwanamke anakua amepingu, kwa hiyo changamoto za kukaa bila mwanamke ni nyingi sana.

Lakini kwa mtindo huu ni heri mara elfu kukaa bila mwanamke kwa maslahi ya maisha yako hapa duniani na ahera.

Kama huko ahera kuna kupumzika kwa amani naamini kabisa mzee bado hajapumzika kwa vile bado aliowaacha hawajamruhusu kupumzika.
Why mnafanya conclusion kwa tukio moja au mawili au hata kumi? Tatizo la hii familia limetokana na marehemu kushindwa kuweka mambo sawa kabla hajafariki.
 
Washua mkisha zeeka msioe hawa wanawake wachanga hususani hawa wanao angalia panapo fuka moshi mtasababisha uzao wenu uteseke na kusumbuana na kurogana saana. Mkisha zeeka wazee wetu tafuteni wa bibi wenzenu.
Kweli wewe huoni mbali hata kidogo kwani hujaona wala hujui chanzo cha tatizo. Hao wazee watakaoolewa hawapendi fedha? Hawapendi kurithi mali? Tatizo siyo kuoa ''mchanga'' au mzee bali tatizo ni Mengi mwenyewe kushindwa kuweka mambo vizuri kabla hajafariki.
 
Huyu sister anaweza akauuwa mie navyojua the real chagga ambaye Ni mmachame wengine Kama warombo n.k Ni vyaasaka tu Ila real chagga ambaye alianza kuuona ulaya Ni mmachame.

Ila Ni kweli kwa wahindi hatusikii hii makitu ama waarabu.

Binafsi napendekeza kuoana karibukaribu jamani binafsi nilioa koo ambayo iko karibu yaani history yao inajulikana na sio kisa binti akanivutia kwa nje.

Yaani mkiwa karibu hata kufanyiana umafia Ni kazi mno Kuna Kama karoho kanakusuta.

Nimwambie tu ukiwa nje ulionana na mweusi mwenzako lazima afurahi atabasamu so jiulize why anafurahi. Hata ukiwa umedondoka chini yeye ndiye atapita kukuuliza Kuna Nini angalau aone lkama anaweza akakusaidia
Kwahiyo mtu hasidai haki yake aogope kisa atauwawa
 
Yaani mtu kasota kupata mafanikio, unataka umpangie totoz ya kuwa nayo....eti akachukue kikongwe, hujawaelewa wanaume mama hasa ambao ni matajiri, ni sawasawa una kisu kikali halafu ukate nyama mbovu.
Akili mbovu za kibongo-bongo ndiyo zinawatuma waseme hivyo. Mimi nimewaulize hata akichukuwa kikongwe, hiyo kikongwe hataki fedha na mali? Mimi nadhani wengi wanatoa maoni kwa kuongozwa na wivu. Unajua mtu unapokuwa huwana kitu basi utataka wengine nao wateseke kama wewe ili upate nafuu.
 
Huyu sister anaweza akauuwa mie navyojua the real chagga ambaye Ni mmachame wengine Kama warombo n.k Ni vyaasaka tu Ila real chagga ambaye alianza kuuona ulaya Ni mmachame.

Ila Ni kweli kwa wahindi hatusikii hii makitu ama waarabu.

Binafsi napendekeza kuoana karibukaribu jamani binafsi nilioa koo ambayo iko karibu yaani history yao inajulikana na sio kisa binti akanivutia kwa nje.

Yaani mkiwa karibu hata kufanyiana umafia Ni kazi mno Kuna Kama karoho kanakusuta.

Nimwambie tu ukiwa nje ulionana na mweusi mwenzako lazima afurahi atabasamu so jiulize why anafurahi. Hata ukiwa umedondoka chini yeye ndiye atapita kukuuliza Kuna Nini angalau aone lkama anaweza akakusaidia
Kwa wahindi na waarabu husikii nini? Naona unatania wewe.
 
Hata sijasoma hayo melezo Ngachoka hiso pesa zote hiso ngachokaa.
 
Kifo hakibishi hodi, wakati una afya unajifariji kuwa bado Nina pesa na nguvu kujisahau kunakuwa kwingi, Kuna stage ukifikia unaweka Mambo sawa kabisa ili ukiondoka umeacha Mambo mazuri, mali zinatafutwa kwaajili ya ustawi wa familia hili linajulikana lakini Hali ya hewa inabidi iwe nzuri pale ukiondoka...bint ana watu nyuma yake, hivi ndivyo siku zote inavyokuwa Kama Kuna mianya imeachwa baada ya marehemu kuondoka,hapa ndipo wahuni wanapopenyeza ajenda zao,binti huyu si mjinga anajua nguvu aliyonayo Sasa hivi
 
Tumrudishe katika hali yakr kabla ya ndoa na Mengi.

Matumizi yake yalikuwaje??

This is absurd.
 
Shida ni kwamba mama yao anataka kuwachonganisha hao watoto na ndugu zake. Alifoji wosia wa tamaa na kutaka kujimilikisha IPP yote mwenyewe. Huo ni upuuzi na sijui aliingizwa mjini na matapeli gani..

Jackie angeamua tu kusiwe na purukushani bado angeendelea kuishi vizuri na by the year watoto wanafika 18 wangepewa shares huko IPP na maisha yangeendelea. Sasa haya anayoendelea kuyafanya ashukuru tu ile familia ni wapole, angekutana na vichaa angenyooshwa vizuri tu
Angenyoshwaje ? Ebu toa ufafanuzi
 
Tatizo sio udogo au ukubwa wa pesa tatizo ni value of money kwamba je iyo pesa inaenda mahali stahiki? Mchango wa jack katika mafanikio ya Mzee Mengi haujafikia uhalali wa kukunja mkwanja mkubwa ivyo ingekua ni yule mke wake aliefariki tungesema sawa maana walihustle pamoja kuanzia chini
Pesa anapewa Jack kwa niaba ya watoto.
Watoto walizoea good time toka kwa baba yao wacha wale raha.
 
Kweli wewe huoni mbali hata kidogo kwani hujaona wala hujui chanzo cha tatizo. Hao wazee watakaoolewa hawapendi fedha? Hawapendi kurithi mali? Tatizo siyo kuoa ''mchanga'' au mzee bali tatizo ni Mengi mwenyewe kushindwa kuweka mambo vizuri kabla hajafariki.
Sawa ila kwani sheria inasemaje.. ? Kuhusu hili.? Mm naweza kuwa labda sioni mbali ila nasimamia ninachojua wewe unaeona mbali mbona hutuelezei huo umbali unaosemea.?
 
Mbona kuna ndoa nyingi za vijana zenye ugomvi wa mirathi? Usiwe kama yule kipofu aliyepata uwezo wa kuona kwa sekunde moja, akaona mwezi. Bada ya kurudi katika hali ya upofu akawa kila akimbiwa kitu chenye sifa fulani huwa anafananisha na mwezi.
Tunongelee hili la kwenye huu uzi. Pesa wachume wengine uje kupanga wewe .? How come
 
Nakataa mkuu, mfano kwa hii kesi mwenye kosa muoaji, ndugu au muolewaji?
Muoaji ba muolewaji anaweka tamaa kubwa. Ya kutaka mpaka jasho lile ambalo yeye haja lichuma. Alikuta pesa za watu hivyo asitake zote atake kilicho halali yake
 
Kiufupi huyu kahaba alitakiwa amshitaki marehemu kwa kufariki na kuacha kumhudumia kama alipokuwa hai.
 
Back
Top Bottom