Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Tunaanzia wapi mkuu

1. Pa kuanzia ni kupigania demokrasia vyamani.

2. TLS wameonyesha njia na kwa hakika wako vizuri kuliko wakati wowote.

3. Wengine walioonyesha njia ni kule ngorongoro.

Kumtegemea Awadh kumzuia chura kiziwi kwenye lolote wewe unakuona je ndugu?
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Hata huu uoga wa Watanganyika amesababisha yeye,kiufupi Nyerere alikuwa mroho wa Madaraka.
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Kun wajinga wengi ukiwambia haya hawakuelewi maana kwenye vitabu mashuleni huko wimbo ni nyerere baba wa taifa kafanya mambo ya kizalendo...kumbe ni utapeli tu ametufanyia watanganyika.
 
Hata huu uoga wa Watanganyika amesababisha yeye,kiufupi Nyerere alikuwa mroho wa Madaraka.
Kun wajinga wengi ukiwambia haya hawakuelewi maana kwenye vitabu mashuleni huko wimbo ni nyerere baba wa taifa kafanya mambo ya kizalendo...kumbe ni utapeli tu ametufanyia watanganyika.
Kosa kubwa zaidi alilofanya Mw. Nyerere ni ku-adopt Sera na Itikadi ya Ujamaa/Ukomunisti kutoka Urusi na China na kuifanya kuwa ndio Sera ya Taifa katika nchi hii ya Tanzania.

Hilo ndio lilikuwa KABURI LA DEMOKRASIA, FIKRA HURU na MAENDELEO nchini Tanzania.
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Hata DP World mlisema hivyo hivyo,Kwa hiyo nani anamiliki hayo maeneo? 👇👇

View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1825872210612945347?t=917h-UYDVo75MVQBoDviTw&s=19
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Hizo mamlaka zenyewe ziko compromised.zitawezaje?
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Hizo mamlaka zenyewe ziko compromised.zitawezaje?
 
Wananchi wa Tz kamwe hawataweza kupata utulivu wa mwili na akili hadi hapo wao wenyewe kwa wingi wao watakapoamua kujitungia Katiba yao itakayotokana na fikra na mawazo yao wao wenyewe.
Hili haliwezekani kama sisiemu bado ipo.
Walizuia Rasimu ya Katiba ya Warioba ambayo angalau ilikuwa inaleta mwanga maana ilisheheni maoni na matakwa ya umma
 
Mama anaupiga mwingi, mpk unamwagika! hivi Simba na yanga wanacheza lini eti!?
 
Back
Top Bottom