Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

Vyombo vyetu kazi yao kuteka wapinzani, hilo jukumu unalowapa hawawezi
 
Ni katiba yetu ilimuweka madarakani. Ni wakati wa kila mtu kula kulingana na urefu wa kamba yake.
 
Msiowaza ngono mmefanya nini kuzuia nchi isipigwe mnada?

Kwa huu uchawa wa kila mtu anataka rais amuone unategemea mabadiliko gani hapo?
Huu uchawa hata huko taasisi za ulinzi watu hawatumii weledi, Imagine kamishna wa polisi anavunja miwani ya Mnyika 😂Viongozi wakuu wametulia Kama Hakuna linaloendelea
 
1. Nyerere alijua anatuachia katiba mbovu lakini bado akakubali tu kuiacha wakati alikuwa na uwezo wa kusababisha ibadilishwe.

2. Wakati vyama vingi vinaanzishwa Nyerere alijua ccm wamejimilikisha maeneo ya umma na majengo yaliyojengwa na Watz wote bila kujali vyama lakini bado aliona sawa na kuwaacha ccm kupora mali za umma bila kuchukuliwa hatua

3. Muungano tulionao niwa kwake Nyerere na Karume. Haukuwahi kuridhiwa na wananchi. Nyerere pamoja na kujua kuwa Tanganyika imepoteza kila kitu aliacha tu huu muungano uendelee kuwepo ili malengo yake ya kisiasa yatimie

Nyerere hawezi kukwepa hizi lawama ndiyo maana Lissu anamlaumu
Mnaweza mkakuta kule kwa Wajomba yeye ni Jasusi wao kitambo tu na sasa anatekeleza mikakati yao ya Ujasusi wa Kiuchumi. Wanafanya kumpa order tu kama mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa
 
  • Hivi si nyie mliosema Loawasa atauza nchi?
  • Moderators tukumbushie zile nyuzi za kumkashifu Lowasa miaka ya 2014 na 2015.
  • Je kwani mzee wa Msoga anasemaje?
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.

View: https://youtu.be/FHdvKTt41IU?si=cOcMWv8fOXA5-Z-g

View: https://www.youtube.com/live/m9WGFYVzCvU?si=qKVjWaHGJPHyG-Ev
 

Attachments

  • IMG-20240820-WA0073.jpg
    IMG-20240820-WA0073.jpg
    81.4 KB · Views: 1
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Watanganyika ambao wagetukomboa tayari wamelambishwa asali na kugeuka machawa wa uchafuni
 
Huu uchawa hata huko taasisi za ulinzi watu hawatumii weledi, Imagine kamishna wa polisi anavunja miwani ya Mnyika 😂Viongozi wakuu wametulia Kama Hakuna linaloendelea
And he does not think that One Time Mnyika can be a President.


Yaani watu sijui wakishakuwa na madaraka wanakuwaje.
 
Ndugu zangu Watanganyika mliopo kwenye vyombo vya ulinzi na usalama na wale mnaomshauri rais Samia hebu msaidieni asidanganywe na walaghai wenye nia ovu.

Baada ya hapo fanyeni haraka kurudisha umiliki wa eneo la Ngorongoro, KIA na bandari zetu. Pia mchakato wa kuchimba madini kwenye hifadhi na maeneo nyeti usitishwe kwanza.

Ndugu zangu watanganyika kuna leo na Kesho, hakikisheni hamfanyi mambo yatakayofanya vizazi vijavyo vitulaumu.

Nyie ni mashahidi kuwa chifu Mangungo wa Msovero anatukanwa na kudharauliwa mpaka leo kwa kutokuwa makini na kusaini mikataba ya hovyo.

Hili lisijirudie jamani.

Asanteni, nawatakia utekelezaji mwema.
Hatuwezi kujicheka wenyewe,ila tunaohitaji wa tusaidie kwa vile tulivyo nanyo leo ndio watatuzomea na kutucheka.
 
Watu wanaapishwa kwa katiba wakishapata madaraka wanasema katiba ni KIJITABU
 
Back
Top Bottom